Wakiristo wa jf watakuwa wakali sana humuNdugu zangu katika Imani tupinge mashambulizi makali huko Israel huko Lebanon Kwa maandamano ya Amani.
Tarehe: Ijumaa, 03 Oktoba, 2024 baada ya Swala.
Mahali (pa kuanzia): Magomeni Kichangani.
Ndugu zangu katika Imani tupinge mashambulizi makali huko Israel huko Lebanon Kwa maandamano ya Amani.
Tarehe: Ijumaa, 03 Oktoba, 2024 baada ya Swala.
Mahali (pa kuanzia): Magomeni Kichangani.
IDF: Hezbollah chief Nasrallah killedWakiristo wa jf watakuwa wakali sana humu
Taarifa za 'kiintelejensia' zinaonesha kuna viashiria vya uvunjifu wa amani; hivyo maandamano kwa sasa hayataruhusiwa!Ndugu zangu katika Imani tupinge mashambulizi makali huko Israel huko Lebanon Kwa maandamano ya Amani.
Tarehe: Ijumaa, 03 Oktoba, 2024 baada ya Swala.
Mahali (pa kuanzia): Magomeni Kichangani.
Kuimba kupokelezana tulia hivyohivyo..!Ndugu zangu katika Imani tupinge mashambulizi makali huko Israel huko Lebanon Kwa maandamano ya Amani.
Tarehe: Ijumaa, 03 Oktoba, 2024 baada ya Swala.
Mahali (pa kuanzia): Magomeni Kichangani.
Intelijensia imeonesha wafuasi wa Chadema nao watashiriki.Ndugu zangu katika Imani tupinge mashambulizi makali huko Israel huko Lebanon Kwa maandamano ya Amani.
Tarehe: Ijumaa, 03 Oktoba, 2024 baada ya Swala.
Mahali (pa kuanzia): Magomeni Kichangani.
Ya kwetu bado ni kitendawili.Ndugu zangu katika Imani tupinge mashambulizi makali huko Israel huko Lebanon Kwa maandamano ya Amani.
Tarehe: Ijumaa, 03 Oktoba, 2024 baada ya Swala.
Mahali (pa kuanzia): Magomeni Kichangani.
Masunni wenzao huko Uarabuni wanafanya sherehe kuuawa kwa NasrallahUjinga mtupu.
Huna kazi ya kufanya?
Kwenda Kizimkazi.Mnaandamana kwenda wapi?
Israel haina ubalozi TZ...
Usituletee mambo ya kigaidi hapa. Huo ushekhe ubwabwa wako uishie huko huko.Ndugu zangu katika Imani tupinge mashambulizi makali huko Israel huko Lebanon Kwa maandamano ya Amani.
Tarehe: Ijumaa, 03 Oktoba, 2024 baada ya Swala.
Mahali (pa kuanzia): Magomeni Kichangani.
Ndugu zangu katika Imani tupinge mashambulizi makali huko Israel huko Lebanon Kwa maandamano ya Amani.
Tarehe: Ijumaa, 03 Oktoba, 2024 baada ya Swala.
Mahali (pa kuanzia): Magomeni Kichangan
Naunga mkono. Na hiyo ni kusema kufa siyo kufa tu, muuaji anayedhurum uhai wa wegine asikubalike mahali popote. Sasa, tuanze na wauaji walio kati ya jamii. yetu wenyeweKwenda Kizimkazi.