Maandamano ya Amani kupinga mashambulizi ya Israel huko Lebanon Kwa Hezbollah

Maandamano ya Amani kupinga mashambulizi ya Israel huko Lebanon Kwa Hezbollah

Ndugu zangu katika Imani tupinge mashambulizi makali ya Mzayuni huko Kwa ndugu zetu katika Imani, Lebanon kwa maandamano ya Amani.

Tarehe: Ijumaa, 03 Oktoba, 2024 baada ya Salat Al jummah

Mahali (route): Magomeni Kichangani - Jangwani - Viwanja vya Mnazi Mmoja

Wabillah Taufiq
Mbona hukuandamana kuhusu wamasai ngorongoro

Ova
 
Kutoka "Hamas na Hezbollah wanaenda kuipoteza Israel kutoka uso wa dunia" hadi Maandamano ya kuomba Poo! 😆😆🤣🤣

Tulisema mapema msije kulia lia huko mbeleni, kiko wapi sasa?
 
Ndugu zangu katika Imani tupinge mashambulizi makali ya Mzayuni huko Kwa ndugu zetu katika Imani, Lebanon kwa maandamano ya Amani.

Tarehe: Ijumaa, 03 Oktoba, 2024 baada ya Salat Al jummah

Mahali (route): Magomeni Kichangani - Jangwani - Viwanja vya Mnazi Mmoja

Wabillah Taufiq
God Bless Israel
 
Ndugu zangu katika Imani tupinge mashambulizi makali ya Mzayuni huko Kwa ndugu zetu katika Imani, Lebanon kwa maandamano ya Amani.

Tarehe: Ijumaa, 03 Oktoba, 2024 baada ya Salat Al jummah

Mahali (route): Magomeni Kichangani - Jangwani - Viwanja vya Mnazi Mmoja

Wabillah Taufiq
ndugu yenu katekwa hapa nyumbani, kauwawa ulikuwa wapi hukuandamana, leo hii ndio ukatetee ndugu wa mbali. Huoni aibu
 
Ndugu zangu katika Imani tupinge mashambulizi makali ya Mzayuni huko Kwa ndugu zetu katika Imani, Lebanon kwa maandamano ya Amani.

Tarehe: Ijumaa, 03 Oktoba, 2024 baada ya Salat Al jummah

Mahali (route): Magomeni Kichangani - Jangwani - Viwanja vya Mnazi Mmoja

Wabillah Taufiq
Ndugu zako watakuwa wamekuelewa. Sisi wengine tunasema kazi iendelee!
 
Ndugu zangu katika Imani tupinge mashambulizi makali ya Mzayuni huko Kwa ndugu zetu katika Imani, Lebanon kwa maandamano ya Amani.

Tarehe: Ijumaa, 03 Oktoba, 2024 baada ya Salat Al jummah

Mahali (route): Magomeni Kichangani - Jangwani - Viwanja vya Mnazi Mmoja

Wabillah Taufiq
Ukichekelea msiba wangu leo, kesho nitachekelea msiba wako. Tusichoshane, kila mtu ashinde mechu zake.
 
Ndugu zangu katika Imani tupinge mashambulizi makali ya Mzayuni huko Kwa ndugu zetu katika Imani, Lebanon kwa maandamano ya Amani.

Tarehe: Ijumaa, 03 Oktoba, 2024 baada ya Salat Al jummah

Mahali (route): Magomeni Kichangani - Jangwani - Viwanja vya Mnazi Mmoja

Wabillah Taufiq
Hawa ndugu zenu katika imani hamna mpango nao?
 
Aliuwawa Mohammed Kibao hukuandamana. Maisha ya Waislamu wa Tanzania hayana thamani kwako?
 
Ni
Ndugu zangu katika Imani tupinge mashambulizi makali ya Mzayuni huko Kwa ndugu zetu katika Imani, Lebanon kwa maandamano ya Amani.

Tarehe: Ijumaa, 03 Oktoba, 2024 baada ya Salat Al jummah

Mahali (route): Magomeni Kichangani - Jangwani - Viwanja vya Mnazi Mmoja

Wabillah Taufiq
ninyi si mlisema myahudi hana ubavu wa kuingia lebanoni sasa maandamano ya kazi gani,kobazi bhana pedophile mudi kawahalibu bongo zenu.
 
Usituletee mambo ya kigaidi hapa. Huo ushekhe ubwabwa wako uishie huko huko.

Yaani unataka tuipinge juhudi za Israel kupambana na magaidi? Mwishowe magaidi yataenea dunia nzima.

Netanyahu kanyaga twende baba!!
Tumechelewa sana mkuu. Netanyau piga kazi.
 
Ndugu zangu katika Imani tupinge mashambulizi makali ya Mzayuni huko Kwa ndugu zetu katika Imani, Lebanon kwa maandamano ya Amani.

Tarehe: Ijumaa, 03 Oktoba, 2024 baada ya Salat Al jummah

Mahali (route): Magomeni Kichangani - Jangwani - Viwanja vya Mnazi Mmoja

Wabillah Taufiq
Kama kawaida miafrica inajionyesha ilivyo mbululu. Kwanini msiandamane kwa mauaji yanayoendelea hapo sudan
 
Back
Top Bottom