Mbona hukuandamana kuhusu wamasai ngorongoroNdugu zangu katika Imani tupinge mashambulizi makali ya Mzayuni huko Kwa ndugu zetu katika Imani, Lebanon kwa maandamano ya Amani.
Tarehe: Ijumaa, 03 Oktoba, 2024 baada ya Salat Al jummah
Mahali (route): Magomeni Kichangani - Jangwani - Viwanja vya Mnazi Mmoja
Wabillah Taufiq
Ha ha haMbona hukuandamana kuhusu wamasai ngorongoro
Ova
God Bless IsraelNdugu zangu katika Imani tupinge mashambulizi makali ya Mzayuni huko Kwa ndugu zetu katika Imani, Lebanon kwa maandamano ya Amani.
Tarehe: Ijumaa, 03 Oktoba, 2024 baada ya Salat Al jummah
Mahali (route): Magomeni Kichangani - Jangwani - Viwanja vya Mnazi Mmoja
Wabillah Taufiq
ndugu yenu katekwa hapa nyumbani, kauwawa ulikuwa wapi hukuandamana, leo hii ndio ukatetee ndugu wa mbali. Huoni aibuNdugu zangu katika Imani tupinge mashambulizi makali ya Mzayuni huko Kwa ndugu zetu katika Imani, Lebanon kwa maandamano ya Amani.
Tarehe: Ijumaa, 03 Oktoba, 2024 baada ya Salat Al jummah
Mahali (route): Magomeni Kichangani - Jangwani - Viwanja vya Mnazi Mmoja
Wabillah Taufiq
Tujifunze kukizoea kifo.Naunga mkono. Na hiyo ni kusema kufa siyo kufa tu, muuaji anayedhurum uhai wa wegine asikubalike mahali popote. Sasa, tuanze na wauaji walio kati ya jamii. yetu wenyewe
Ndugu zako watakuwa wamekuelewa. Sisi wengine tunasema kazi iendelee!Ndugu zangu katika Imani tupinge mashambulizi makali ya Mzayuni huko Kwa ndugu zetu katika Imani, Lebanon kwa maandamano ya Amani.
Tarehe: Ijumaa, 03 Oktoba, 2024 baada ya Salat Al jummah
Mahali (route): Magomeni Kichangani - Jangwani - Viwanja vya Mnazi Mmoja
Wabillah Taufiq
Ukichekelea msiba wangu leo, kesho nitachekelea msiba wako. Tusichoshane, kila mtu ashinde mechu zake.Ndugu zangu katika Imani tupinge mashambulizi makali ya Mzayuni huko Kwa ndugu zetu katika Imani, Lebanon kwa maandamano ya Amani.
Tarehe: Ijumaa, 03 Oktoba, 2024 baada ya Salat Al jummah
Mahali (route): Magomeni Kichangani - Jangwani - Viwanja vya Mnazi Mmoja
Wabillah Taufiq
MechiUkichekelea msiba wangu leo, kesho nitachekelea msiba wako. Tusichoshane, kila mtu ashinde mechu zake.
Hawa ndugu zenu katika imani hamna mpango nao?Ndugu zangu katika Imani tupinge mashambulizi makali ya Mzayuni huko Kwa ndugu zetu katika Imani, Lebanon kwa maandamano ya Amani.
Tarehe: Ijumaa, 03 Oktoba, 2024 baada ya Salat Al jummah
Mahali (route): Magomeni Kichangani - Jangwani - Viwanja vya Mnazi Mmoja
Wabillah Taufiq
ninyi si mlisema myahudi hana ubavu wa kuingia lebanoni sasa maandamano ya kazi gani,kobazi bhana pedophile mudi kawahalibu bongo zenu.Ndugu zangu katika Imani tupinge mashambulizi makali ya Mzayuni huko Kwa ndugu zetu katika Imani, Lebanon kwa maandamano ya Amani.
Tarehe: Ijumaa, 03 Oktoba, 2024 baada ya Salat Al jummah
Mahali (route): Magomeni Kichangani - Jangwani - Viwanja vya Mnazi Mmoja
Wabillah Taufiq
Tumechelewa sana mkuu. Netanyau piga kazi.Usituletee mambo ya kigaidi hapa. Huo ushekhe ubwabwa wako uishie huko huko.
Yaani unataka tuipinge juhudi za Israel kupambana na magaidi? Mwishowe magaidi yataenea dunia nzima.
Netanyahu kanyaga twende baba!!
Tena auwe kabisa takataka zile.Tumechelewa sana mkuu. Netanyau piga kazi.
Kama kawaida miafrica inajionyesha ilivyo mbululu. Kwanini msiandamane kwa mauaji yanayoendelea hapo sudanNdugu zangu katika Imani tupinge mashambulizi makali ya Mzayuni huko Kwa ndugu zetu katika Imani, Lebanon kwa maandamano ya Amani.
Tarehe: Ijumaa, 03 Oktoba, 2024 baada ya Salat Al jummah
Mahali (route): Magomeni Kichangani - Jangwani - Viwanja vya Mnazi Mmoja
Wabillah Taufiq