Maandamano ya Amani kupinga mashambulizi ya Israel huko Lebanon Kwa Hezbollah

Nani alianza shobo kwa mwenzie??Israel au hamas&hezbollah??
Maana kama watu mliwachokoza wenyewe,sisi tuandamane kupinga ili iweje
 
Daah mzee kuna haja ya kutukana mama yake mtu kweli!!? Mungu akusamehe kwakweli.
 
KANZU nyeupe kuashiria amani
 

Siwezi kuandama kwa ajili Shia ambaye ameua and he was starving Sunnis Idlib Syria..
 
Na wao wawashambulie Israel.
 
Mimi sipendi kinachoendelea Lebanon sababu wengine hawana hatia wanaumia pia..ila umekosea uliposema ijumaa baada ya swala...basi mkatangaziane uko misikitini sio umu
🤪🤪🤪🏃🏃🏃
 
Nimecheka mpaka nimeangukia jiko la Mkaa, bahati yako sijaumia

Hebu rudia tena, unasemaa.......
 
Ndugu yenu katika imani, Mzee Kibao kauwawa lakini mmeshindwa kuandamana wala hao mnaowaandamania hawakuandama. Ninyi vipi?
 
kumbe ndo manake mwenyenzi MUNGU alishusha SURATUL MUNAFIQUN[sura ya wanafiki]yaaniHAMAS walianza kuishambulia israil,na kubaka kuaa mpaka watoto,lakini mkwa mnasema TAKBIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIR!!...baada ya HAMAS kuzidiwa kivita HEBOLA nao wakaanza kuivamia ISRAIL... mkasema TAKBIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIR,,,sasa wanachezea kichapo mnatka muanze maandamano,,,mamamae,,kwa taarifa yenu akishaidhoofisha IZBOLAH anaivaimia IRAN,,{kwa sasa anacheza na mkia,muda sio mrefu anaanza kucheza na kichwa}...alafu.....kwa nini SURATUL BAN ISRAIL haisomwi ktk msikiti wowote duniani"""na hakika hakika hii sura inaelezea namna MUSA alivoagizwa na ALLAH kwenda kuwakomboa wana wa ISRAIL kutoka kwa FIRAUN kwa kusaidiana na HARUN na akawapa nchi ya ahani ambayo ndo wanaishi mpaka leo{QURAN hiyo]...lakini wanafiki wa kiislam hawakubali hilo,,,wanapinga mpaka QURAN mamamae,,,,na ndo ndo manake QURAN ina seama "hakika waislam wote wataenda motoni"
 
Maandamano Ni lazima
 
Nafikiri tungeanza na ndugu zetu wa damu wakongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…