Maandamano ya chadema hayatakuwa na uzito, Jumatatu topic kubwa ni simba na Yanga kwenye mashindao ya Caf ya weekend hii.

Maandamano ya chadema hayatakuwa na uzito, Jumatatu topic kubwa ni simba na Yanga kwenye mashindao ya Caf ya weekend hii.

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Tanzania ni nchi ya kipekee ambayo mpira una kipaumbele kufuatiliwa kuliko siasa, Nenda Misri, Nenda Uingerez, Nenda Sauzi, Mpira unapendwa lakini hauwezi kuzidi watu kufuatilia mienendo ya kisiasa

Kama mnavyojua, watanzania wengi huthamini zaidi mpira kuliko siasa na mambo ya mienendo ya maisha yao, Mtu yupo radhi asile usiku aende kuangalia mechi kibanda umiza.

Leo hii jumamosi Yanga ameshafuzu, Simba ni Kesho, Jumatatu talk of the nation itakuwa ni Simba na Yanga, Maandamano kuangukia siku hii ni mpango ambao haukutathminiwa vizuri kwa muenendo wa hali ya nchi yetu.
 
Tanzania ni nchi ya kipekee ambayo mpira una kipaumbele kufuatiliwa kuliko siasa, Nenda Misri, Nenda Uingerez, Nenda Sauzi, Mpira unapendwa lakini hauwezi kuzidi watu kufuatilia mienendo ya kisiasa

Kama mnavyojua, watanzania wengi huthamini zaidi mpira kuliko siasa na mambo ya mienendo ya maisha yao, Mtu yupo radhi asile usiku aende kuangalia mechi kibanda umiza.

Leo hii jumamosi Yanga ameshafuzu, Simba ni Kesho, Jumatatu talk of the nation itakuwa ni Simba na Yanga, Maandamano kuangukia siku hii ni mpango ambao haukutathminiwa vizuri kwa muenendo wa hali ya nchi yetu.
Wakati huu hali ni tofauti machona machikio ni kwa linalo zonga taifa zaidi kwa sasa.
 
Tanzania ni nchi ya kipekee ambayo mpira una kipaumbele kufuatiliwa kuliko siasa, Nenda Misri, Nenda Uingerez, Nenda Sauzi, Mpira unapendwa lakini hauwezi kuzidi watu kufuatilia mienendo ya kisiasa

Kama mnavyojua, watanzania wengi huthamini zaidi mpira kuliko siasa na mambo ya mienendo ya maisha yao, Mtu yupo radhi asile usiku aende kuangalia mechi kibanda umiza.

Leo hii jumamosi Yanga ameshafuzu, Simba ni Kesho, Jumatatu talk of the nation itakuwa ni Simba na Yanga, Maandamano kuangukia siku hii ni mpango ambao haukutathminiwa vizuri kwa muenendo wa hali ya nchi yetu.
Rubbish

Take it to the dustbin
 
Vitoto vya afumbili vinaakili ya kuwaza kuchambua mpira na kubeti tuu..
Jeneresheni Zero!
Nigaz wisi attitudi tunawaza maisha na siasa Hawa makwarukwaru wanaharibu nchi sijui nivile wanajua wanakanchi kwao kakukimbiliamo
 
Back
Top Bottom