Maandamano ya CHADEMA yapuuzwa na kukataliwa na Wananchi

Ukiangalia nyuso za baadhi ya hao maaskari Wengi HAZINA furaha na zimejaa haya.

Soon wakikaa juani week nzima boda boda na bajaji wanao pita mwendokasi kilwa road wajiandae MAANA ASKARI WAMEPEWA NYAVU ALAFU WAONE SAMAKI WANAKATIZA KATIZA MBELE YAO.
Nenda basi barabarani ukawape faraja na siyo kupiga porojo zako hapa.
 
Wewe maandamano Ujayaona Yaaani.Nchi nzima polisi wametusaidia kuandamana na Ujumbe umefika kwamba wameitikia Wito wa Chama kupinga mauaji,utekaji,kuumiza watu
 
Kwa hiki kinachoonekana tafsiri yake Chadema wanatisha.. Leo hadi Muliro yupo doria kmmke..serikali yote ipo roho juu..
 
Kwenda zako huko wewe . Sasa mbona hujaenda kuandamana na badala yake upo hapa kutukana matusi? Kama unajiamini nenda ukaandamane ukione cha mtema kuni .kwa hakika hilo bichwa lako litarudi limejaa akiliπŸ˜€πŸ˜€
 
Hiyo story umeitoa ukoo gani? Wa Yoashua au Nebokadneza??
 
Kwa hiki kinachoonekana tafsiri yake Chadema wanatisha.. Leo hadi Muliro yupo doria kmmke..serikali yote ipo roho juu..
Msianze kuhamisha magoli .wewe nenda ukafanye maandamano na siyo kujificha huku
 
Reactions: Tui
Basi nenda kaandamane na siyo kutukana Mimatusi yako huku .sasa kama wewe huandamani na upo huku umejificha kama Bata unataka nani na mtoto wa nani akaandamane kwa ajili yako?
Siku moja kwa kujua au kuto kujua utayakumbuka haya maneno.
" The saddest thing about betrayal is that it never comes from your enemies; it comes from those you trust the most. ..." Ipo siku utayakumbuka haya maneno wewe Endelea kutumika Kama TOILET PAPER 🧻 🚽
 
ilidhihirika wazi mapema, kwamba huenda hata tangazo la maandamano hayo haramu lilichochewa kwa mihemko, baada ya mtoa tangazo kutumia kinywaji cha kusisimua na kuhamasisha ubongo kusema yasiostahili .
 
ilidhihirika wazi mapema, kwamba huenda hata tangazo la maandamano hayo haramu lilichochewa kwa mihemko, baada ya mtoa tangazo kutumia kinywaji cha kusisimua na kuhamasisha ubongo kusema yasiostahili .
Muda huu wamejikunyata na kujificha huko mitandaoni huku wakichungulia kwa mbali utafikiri wapo shimoni. Wameona aibu kubwa sana baada ya kuona ujinga wao umepuuzwa na watanzania.
 
Hadi muda huu bado hujakwenda kuandamana? Kweli wewe na wenzako ni matapeli kwelikweli.nenda huko ukafundishwe adabu
 
Unaandika huku umejifungia Lumumba ,umepita mitaani uone hali halisi?
 
Yamekataliwa au Police wameandamana toka wiki iliyopita badala na hata leo WAMEENDA NYUMBANI KWA VIONGOZI WA CHADEMA TOKA USIKU KUKESHAA NAO mbonaa huandiki hichi CDM ni kilakitu kwa nchii hiii
 
We waoni makamanda kibao wamevaa magandwa yao wakiandamana huko Barabarani tena safari wametoka na silaha kweli CDM ni chama hatari sana yaani wanaandamana na silaha
 
We waoni makamanda kibao wamevaa magandwa yao wakiandamana huko Barabarani tena safari wametoka na silaha kweli CDM ni chama hatari sana yaani wanaandamana na silaha
Acheni porojo zenu.si mlisema mtaandamana na hakuna wa kuwazuia.
 
Yamekataliwa au Police wameandamana toka wiki iliyopita badala na hata leo WAMEENDA NYUMBANI KWA VIONGOZI WA CHADEMA TOKA USIKU KUKESHAA NAO mbonaa huandiki hichi CDM ni kilakitu kwa nchii hiii
Nenda na wewe uandamane.mmeanza porojo zenu za siku zote baada ya kupuuzwa na watanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…