Maandamano ya Februari 20 Mbeya, kiongozi wetu atakuwepo nchini?

Maandamano ya Februari 20 Mbeya, kiongozi wetu atakuwepo nchini?

Duh,

Kuwakamata madon wanaohujumu upatikanaji wa Sukari nchini SI rahisi.

Magu amewahi kukiri kuwa, kuwakamata baadhi ya watu Nchi hii, LAZIMA mtikisiko utokee!!

Tubadili mifumo ya Nchi yetu, Kwa kupata Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi wowote.
Ni lini viongozi wa kiafirca waliheshimu katiba? Au katiba hiyo ikitungwa wazungu watakuja kuisimamia?
 
Salaam,Shalom!!

Baada ya kumaliza msiba, tuendelee na ujenzi wa Nchi yetu.

Yalifanyika maandamano katika majiji makubwa nchini ,Dar es Salaam na Mwanza,maandamano hayo yameendelea kupata mwitikio mkubwa wa wananchi, hayo yametokea kiongozi wetu ,Mkuu wa Nchi akiwa nje ya Nchi ziarani. Je ni coincidence au planned?

Kunako TAREHE 20 mwezi February 2024, yatafanyika tena maandamano ya Amani jijini Mbeya. HOJA kuu za wananchi zikiwa;

1. Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi, kabla ya Uchaguzi wowote.

2. Kukithiri Kwa Mgao wa Umeme,

3. Kuadimika sukari nchini.

4. Kupanda gharama za Maisha.

5. Madai ya Tume HURU ya UCHAGUZI Kwa kuondoa Miswada iliyo bungeni, Ili irejeshwe UPYA Kwa kubadili vifungu vya Katiba kumwondoa Rais kuteua Tume ya Uchaguzi na wasimamizi wake nknk, HOJA ambazo hazijapatiwa majibu Hadi sasa.

Ningependa kujua ikiwa kiongozi wetu, mkuu wa Nchi, Rais Samia Suluhu Hassan atakuwepo nchini siku hiyo au ataendelea na ziara nje ya Nchi.

Karibuni [emoji120]

Yawezekana ni muoga. Anachukua tahadhari. Endapo maandamano yatachukua sura mpya, yeye tayari aliishajiondoa nchini kabla ya shari.
 
Yawezekana ni muoga. Anachukua tahadhari. Endapo maandamano yatachukua sura mpya, yeye tayari aliishajiondoa nchini kabla ya shari.
Angekuwa muoga ,asingekomaa na Dili la Bandari pamoja na kelele zote zile.

Ukisema ana dharau, nitakubaliana nawe.
 
Salaam,Shalom!!

Baada ya kumaliza msiba, tuendelee na ujenzi wa Nchi yetu.

Yalifanyika maandamano katika majiji makubwa nchini ,Dar es Salaam na Mwanza,maandamano hayo yameendelea kupata mwitikio mkubwa wa wananchi, hayo yametokea kiongozi wetu ,Mkuu wa Nchi akiwa nje ya Nchi ziarani. Je ni coincidence au planned?

Kunako TAREHE 20 mwezi February 2024, yatafanyika tena maandamano ya Amani jijini Mbeya. HOJA kuu za wananchi zikiwa;

1. Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi, kabla ya Uchaguzi wowote.

2. Kukithiri Kwa Mgao wa Umeme,

3. Kuadimika sukari nchini.

4. Kupanda gharama za Maisha.

5. Madai ya Tume HURU ya UCHAGUZI Kwa kuondoa Miswada iliyo bungeni, Ili irejeshwe UPYA Kwa kubadili vifungu vya Katiba kumwondoa Rais kuteua Tume ya Uchaguzi na wasimamizi wake nknk, HOJA ambazo hazijapatiwa majibu Hadi sasa.

Ningependa kujua ikiwa kiongozi wetu, mkuu wa Nchi, Rais Samia Suluhu Hassan atakuwepo nchini siku hiyo au ataendelea na ziara nje ya Nchi.

Karibuni 🙏
Rais akae kuangalia maandamano ya chadema kuweni serious ,toka mmeandamana kipi kimebadilika ?faida ipi imepatikana
 
Rais akae kuangalia maandamano ya chadema kuweni serious ,toka mmeandamana kipi kimebadilika ?faida ipi imepatikana
Kwamba tukitaka akae huko huko,

Maandamano yawe daily?
 
Kwamba tukitaka akae huko huko,

Maandamano yawe daily?
Endeleeni kuandamana sisi tutafanya kazi mwisho wa siku mnawasaidia wanasiasa kufanya kazi zao ,Rais yupo busy kufanya kazi zake,hawezi kupangiwa na kakikundi
 
Endeleeni kuandamana sisi tutafanya kazi mwisho wa siku mnawasaidia wanasiasa kufanya kazi zao ,Rais yupo busy kufanya kazi zake,hawezi kupangiwa na kakikundi
Mnafanya KAZI zipi Nchi ikiwa gizani?

Ni wachawi pekee ndo hufurahia Giza!!
 
Salaam,Shalom!!

Baada ya kumaliza msiba, tuendelee na ujenzi wa Nchi yetu.

Yalifanyika maandamano katika majiji makubwa nchini ,Dar es Salaam na Mwanza,maandamano hayo yameendelea kupata mwitikio mkubwa wa wananchi, hayo yametokea kiongozi wetu ,Mkuu wa Nchi akiwa nje ya Nchi ziarani. Je ni coincidence au planned?

Kunako TAREHE 20 mwezi February 2024, yatafanyika tena maandamano ya Amani jijini Mbeya. HOJA kuu za wananchi zikiwa;

1. Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi, kabla ya Uchaguzi wowote.

2. Kukithiri Kwa Mgao wa Umeme,

3. Kuadimika sukari nchini.

4. Kupanda gharama za Maisha.

5. Madai ya Tume HURU ya UCHAGUZI Kwa kuondoa Miswada iliyo bungeni, Ili irejeshwe UPYA Kwa kubadili vifungu vya Katiba kumwondoa Rais kuteua Tume ya Uchaguzi na wasimamizi wake nknk, HOJA ambazo hazijapatiwa majibu Hadi sasa.

Ningependa kujua ikiwa kiongozi wetu, mkuu wa Nchi, Rais Samia Suluhu Hassan atakuwepo nchini siku hiyo au ataendelea na ziara nje ya Nchi.

Karibuni 🙏
Hv kuna mtu ana muda na huo upuuzi? Maandamano yatapunguza ugumu wa maisha? Badala mfanye kazi mnazurura mitaani
 
Endeleeni kuandamana sisi tutafanya kazi mwisho wa siku mnawasaidia wanasiasa kufanya kazi zao ,Rais yupo busy kufanya kazi zake,hawezi kupangiwa na kakikundi
Kupuuza maoni na kero za wananchi kumbe nayo ni sifa sikuhz?
 
Waziri biteko ulikuwa unawahi wapi ndugu?
 
Back
Top Bottom