Maandamano ya Februari 20 Mbeya, kiongozi wetu atakuwepo nchini?

Maandamano ya Februari 20 Mbeya, kiongozi wetu atakuwepo nchini?

Tusubiri Arusha ikiwa atakuwepo!
 
Baada ya Maziko ya aliyekuwa Rais wa Namibia,

Kiongozi wetu atakuwepo nchini Ili kusikilizia kero za waandamanaji Arusha?

Au atapangiwa safari ingine?
 
Revealed, kiongozi wetu anakimbia HOJA za waandamanaji.

Anyway, CNN, ALJAZEERA, BBC watamfikishia habari huko aliko.

Arusha mbarikiwe Kwa KAZI nzuri.
 
Kagera, hatimaye Leo Shinyanga,

Yupo nchini?
 
Back
Top Bottom