DIRIMULAINA
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 921
- 1,720
Ni lini viongozi wa kiafirca waliheshimu katiba? Au katiba hiyo ikitungwa wazungu watakuja kuisimamia?Duh,
Kuwakamata madon wanaohujumu upatikanaji wa Sukari nchini SI rahisi.
Magu amewahi kukiri kuwa, kuwakamata baadhi ya watu Nchi hii, LAZIMA mtikisiko utokee!!
Tubadili mifumo ya Nchi yetu, Kwa kupata Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi wowote.
🤣🤣🤣🤣Baada tu ya msiba, kadandia mwewe, saiz Yuko Ethiopia!!
Yaani anaenda kuhudhuria uzinduzi wa sanamu la Nyerere wakati Nchi Iko gizani, sukari hamna.Cha uzululaji
Salaam,Shalom!!
Baada ya kumaliza msiba, tuendelee na ujenzi wa Nchi yetu.
Yalifanyika maandamano katika majiji makubwa nchini ,Dar es Salaam na Mwanza,maandamano hayo yameendelea kupata mwitikio mkubwa wa wananchi, hayo yametokea kiongozi wetu ,Mkuu wa Nchi akiwa nje ya Nchi ziarani. Je ni coincidence au planned?
Kunako TAREHE 20 mwezi February 2024, yatafanyika tena maandamano ya Amani jijini Mbeya. HOJA kuu za wananchi zikiwa;
1. Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi, kabla ya Uchaguzi wowote.
2. Kukithiri Kwa Mgao wa Umeme,
3. Kuadimika sukari nchini.
4. Kupanda gharama za Maisha.
5. Madai ya Tume HURU ya UCHAGUZI Kwa kuondoa Miswada iliyo bungeni, Ili irejeshwe UPYA Kwa kubadili vifungu vya Katiba kumwondoa Rais kuteua Tume ya Uchaguzi na wasimamizi wake nknk, HOJA ambazo hazijapatiwa majibu Hadi sasa.
Ningependa kujua ikiwa kiongozi wetu, mkuu wa Nchi, Rais Samia Suluhu Hassan atakuwepo nchini siku hiyo au ataendelea na ziara nje ya Nchi.
Karibuni [emoji120]
Angekuwa muoga ,asingekomaa na Dili la Bandari pamoja na kelele zote zile.Yawezekana ni muoga. Anachukua tahadhari. Endapo maandamano yatachukua sura mpya, yeye tayari aliishajiondoa nchini kabla ya shari.
Rais akae kuangalia maandamano ya chadema kuweni serious ,toka mmeandamana kipi kimebadilika ?faida ipi imepatikanaSalaam,Shalom!!
Baada ya kumaliza msiba, tuendelee na ujenzi wa Nchi yetu.
Yalifanyika maandamano katika majiji makubwa nchini ,Dar es Salaam na Mwanza,maandamano hayo yameendelea kupata mwitikio mkubwa wa wananchi, hayo yametokea kiongozi wetu ,Mkuu wa Nchi akiwa nje ya Nchi ziarani. Je ni coincidence au planned?
Kunako TAREHE 20 mwezi February 2024, yatafanyika tena maandamano ya Amani jijini Mbeya. HOJA kuu za wananchi zikiwa;
1. Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi, kabla ya Uchaguzi wowote.
2. Kukithiri Kwa Mgao wa Umeme,
3. Kuadimika sukari nchini.
4. Kupanda gharama za Maisha.
5. Madai ya Tume HURU ya UCHAGUZI Kwa kuondoa Miswada iliyo bungeni, Ili irejeshwe UPYA Kwa kubadili vifungu vya Katiba kumwondoa Rais kuteua Tume ya Uchaguzi na wasimamizi wake nknk, HOJA ambazo hazijapatiwa majibu Hadi sasa.
Ningependa kujua ikiwa kiongozi wetu, mkuu wa Nchi, Rais Samia Suluhu Hassan atakuwepo nchini siku hiyo au ataendelea na ziara nje ya Nchi.
Karibuni 🙏
Kwamba tukitaka akae huko huko,Rais akae kuangalia maandamano ya chadema kuweni serious ,toka mmeandamana kipi kimebadilika ?faida ipi imepatikana
Endeleeni kuandamana sisi tutafanya kazi mwisho wa siku mnawasaidia wanasiasa kufanya kazi zao ,Rais yupo busy kufanya kazi zake,hawezi kupangiwa na kakikundiKwamba tukitaka akae huko huko,
Maandamano yawe daily?
Mnafanya KAZI zipi Nchi ikiwa gizani?Endeleeni kuandamana sisi tutafanya kazi mwisho wa siku mnawasaidia wanasiasa kufanya kazi zao ,Rais yupo busy kufanya kazi zake,hawezi kupangiwa na kakikundi
Ulipo ni giza?Mnafanya KAZI zipi Nchi ikiwa gizani?
Ni wachawi pekee ndo hufurahia Giza!!
Hv kuna mtu ana muda na huo upuuzi? Maandamano yatapunguza ugumu wa maisha? Badala mfanye kazi mnazurura mitaaniSalaam,Shalom!!
Baada ya kumaliza msiba, tuendelee na ujenzi wa Nchi yetu.
Yalifanyika maandamano katika majiji makubwa nchini ,Dar es Salaam na Mwanza,maandamano hayo yameendelea kupata mwitikio mkubwa wa wananchi, hayo yametokea kiongozi wetu ,Mkuu wa Nchi akiwa nje ya Nchi ziarani. Je ni coincidence au planned?
Kunako TAREHE 20 mwezi February 2024, yatafanyika tena maandamano ya Amani jijini Mbeya. HOJA kuu za wananchi zikiwa;
1. Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi, kabla ya Uchaguzi wowote.
2. Kukithiri Kwa Mgao wa Umeme,
3. Kuadimika sukari nchini.
4. Kupanda gharama za Maisha.
5. Madai ya Tume HURU ya UCHAGUZI Kwa kuondoa Miswada iliyo bungeni, Ili irejeshwe UPYA Kwa kubadili vifungu vya Katiba kumwondoa Rais kuteua Tume ya Uchaguzi na wasimamizi wake nknk, HOJA ambazo hazijapatiwa majibu Hadi sasa.
Ningependa kujua ikiwa kiongozi wetu, mkuu wa Nchi, Rais Samia Suluhu Hassan atakuwepo nchini siku hiyo au ataendelea na ziara nje ya Nchi.
Karibuni 🙏
Sasa sie vinyozi tukafanye KAZI Gani umeme hamna👀Hv kuna mtu ana muda na huo upuuzi? Maandamano yatapunguza ugumu wa maisha? Badala mfanye kazi mnazurura mitaani
Kupuuza maoni na kero za wananchi kumbe nayo ni sifa sikuhz?Endeleeni kuandamana sisi tutafanya kazi mwisho wa siku mnawasaidia wanasiasa kufanya kazi zao ,Rais yupo busy kufanya kazi zake,hawezi kupangiwa na kakikundi