Maandiko haya mbona kama yana ukakasi na mashaka makubwa?

Hujui kutaja namba nianze kuwacheka nyote humu
Nimekuwekea link maana ni Sheria tunazungumzia sio nataje tu bila nukuu kasome imeelezwa vizuri kabisa

Nanusirudie tena kutetea ma child molester tutaanza na wewe viboko 12 jela miaka 30
 
Nimekuwekea link maana ni Sheria tunazungumzia sio nataje tu bila nukuu kasome imeelezwa vizuri kabisa

Nanusirudie tena kutetea ma child molester tutaanza na wewe viboko 12 jela miaka 30
Hujui kutaja namba au sheria haikutaja namba

Ulio weka haina namba
 
Hujui kutaja namba au sheria haikutaja namba

Ulio weka haina namba
Kote huku unaangaika kumtetea child molester

e) Umri: Kigezo cha umri kimetajwa katika muktadha tofautitofauti, lakini kwa ujumla, wanandoa wanapaswa kuwa na umri wa miaka 18 au zaidi.

Apo ondoa wanafunzi ndio maana nimekwambia kasome
 
Kote huku unaangaika kumtetea child molester

e) Umri: Kigezo cha umri kimetajwa katika muktadha tofautitofauti, lakini kwa ujumla, wanandoa wanapaswa kuwa na umri wa miaka 18 au zaidi.

Apo ondoa wanafunzi ndio maana nimekwambia kasome
Haya hapo sio sheria ngoja uletewe sheria rasmi sasa
Moja umejikanyaga mwenyewe ulipo sema umri umetajwa kwa muktadha tofauti tofauti
Ngoja utajiwe hiyo miktadha sasa
 
Haya hapo sio sheria ngoja uletewe sheria rasmi sasa
Moja umejikanyaga mwenyewe ulipo sema umri umetajwa kwa muktadha tofauti tofauti
Ngoja utajiwe hiyo miktadha sasa
Na uende ukasome pia hukumu ya maakama kuu kuhusu umri
 
Ngoja upewe miktadha wewe
Unachotaka kuleta kumeshatolewa hukumu na mahakama kuu na mahakma ya rufaa ikapigilia msumari hakuna ndoa za watoto
Kumtetea child molester ni kazi Sana 😂
Soma kwanza hii
Serikali ya Tanzania Jumatano imeshindwa tena katika kesi ya ndoa za utotoni baada ya Mahakama ya Rufaa nchini humo kutupilia mbali pingamizi la serikali liliokuwa likitaka sheria ya ndoa chini ya miaka 18 iendelee.
Serikali ilikata rufaa kupinga hukumu ya Mahakama Kuu iliyotoa ushindi kwa watetezi wa haki za binadamu (Msichana Initiative) waliokuwa wakipinga baadhi ya vipengele vya sheria ya ndoa kwa madai vilikuwa vikimkandamiza mtoto wa kike.

Uamuzi wa mahakama hiyo ya rufaa unakamilisha safari ya miaka mingi ya watetezi wa haki za binadamu wakipigania ustawi wa mtoto wa kike ambao unadaiwa kukandamizwa na sheria ya ndoa ya mwaka 1971.

Katika shauri lao mbele ya mahakama kuu na baadaye mahakama ya rufaa, asasi za kiraia zilidai kitendo cha sheria ya ndoa kutamka kwamba mtoto wa kike anaweza kuolewa akiwa na umri wa miaka 14 wakati yule wa kiume anaweza kuoa akiwa na umri wa miaka 15, inakandamiza ustawi wa watoto wote na pia inaleta mazingira ya kibaguzi kwa watoto hao jambo ambalo ni kinyume cha katiba ya nchi.
 
We kuutaja umri sahihi wa mwanamke kuolewa Tanzania pia huujui

Au Data inajizima
Huu apa

Mahakama ya juu zaidi Tanzania imebatilisha sheria inayoruhusu familia kuwaoza wasichana wadogo wenye umri wa kuanzia miaka 14.

Mahakama kuu ya rufaa imebatilisha uamuzi uliotolewa awali na mahakama nyingine nchini kwa misingi ya kuwa ndoa za watoto zinakiuka haki za wasichana, na nii kinyume cha sheria na katiba ya nchi hiyo.

Mahakama hii leo ilisema kuwa wasichana hawawezi kuolewa kabla ya kutimiza umri wa miaka 18, umri ambao wavulana pia wanaruhusiwa kuoa.
 
Hayo maelezo yake nilishayatoa mapema sana nashangaa huelewi chalii angu.

I told you Jesus died because of those sins and laana but alifufuka ( tofauti na wanadamu wengine kuwahi kutokea) na kufufuka kwake ina maana ameyashinda mauti ambayo yanaletwa na dhambi na laana zake. Maelezo haya nimekwambia mapema tu sema kichwa kizito ndugu yangu.

Yesu hana dhambi na wala hazibebi tena, alizibeba na alishazilipia. He is
Kwa hiyo tukubaliane sasa Hadith sio za kuaminika tena tutafute vyanzo vyengine vya hadith preferably GOOGLE au sio?

Mdogo mdogo mnaanza kuingia kwenye mfumo. Taratibu mnaanza kutambua kuwa kuna vitu ni ushetani na kwa hiyo lazima Hadith zitakuwa zinadanganya maana Mtume hawezi kuwa katili namna hiyo au sio?

Sasa tukatae Hadith zote au tuwe tunachagua vya kukubali ktoka kwenye Hadith? Mnatuchanganya sasa. Now tutumie google tu au tuendelee kuleta reference za kwenye Hadith za Sahih Bukhali?
 
Mtakoma wenyewe sisi tunajikusanya ukoo tunarudi kijijini kwetu tunacheza ngoma weeee tunakunywa mapombe yetu ya jadi, tunachinja mbuzi tunakula minyama weee tunaongea na ndugu zetu walio kwisha kufa alafu tunafunga tukio kwa mkutano mkubwa. Tunaongea vitu vyetu tunafahamiana kwa ukaribu kabisa, tunaonyana, tunapeana ramani za kutoka tukija huku mjini kwenu alafu mwisho kabisa tunarudi kila mtu kwenye makazi yake, baada ya hapo sasa kila mtu anachukua rozari yake na biblia yake
 
Majibu yapo tayari
Majibu kutoka kwenye Hadith au Google? Maana Hadith zinasema namna hii mwenye macho na ajionee.

Narrated `Aisha:

that the Prophet (ﷺ) married her when she was six years old and he consummated his marriage when she was nine years old. Hisham said: I have been informed that `Aisha remained with the Prophet (ﷺ) for nine years (i.e. till his death).

حَدَّثَنَا مُعَلَّى بْنُ أَسَدٍ، حَدَّثَنَا وُهَيْبٌ، عَنْ هِشَامِ بْنِ عُرْوَةَ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ عَائِشَةَ، أَنَّ النَّبِيَّ صلى الله عليه وسلم تَزَوَّجَهَا وَهْىَ بِنْتُ سِتِّ سِنِينَ، وَبَنَى بِهَا وَهْىَ بِنْتُ تِسْعِ سِنِينَ‏.‏ قَالَ هِشَامٌ وَأُنْبِئْتُ أَنَّهَا كَانَتْ عِنْدَهُ تِسْعَ سِنِينَ‏.‏

Reference
Sahih al-Bukhari 5134
Book 67, Hadith 70
Vol. 7, Book 62, Hadith 65

Haya ndo yaliyoandikwa kwenye Hadith haya mengine mnasema nyinyi. Ila nafurahi kuona mmetambua kuwa kilichofanyika ni ukatili kiasi kwamba mnatafuta namna ya kukitolea maelezo. Bahati mbaya ni kwamba Sahih Bukhari was the greatest Hadith writer na kumpinga huyu ni kama kupinga Hadith zote za Mtume.

Nimekupa mpaka Reference haya endelea kubisha sasa.
 
Hayo maelezo yake nilishayatoa mapema sana nashangaa huelewi chalii angu.

I told you Jesus died because of those sins and laana but alifufuka ( tofauti na wanadamu wengine kuwahi kutokea) na kufufuka kwake ina maana ameyashinda mauti ambayo yanaletwa na dhambi na laana zake. Maelezo haya nimekwambia mapema tu sema kichwa kizito ndugu yangu.

Yesu hana dhambi na wala hazibebi tena, alizibeba na alishazilipia. He is
Kwa hiyo Hadith zinadanganya ? Kwa hiyo Sahih Bukhari muongo au mbona mnatuchanganya?

Sasa tutaamini vipi yale yaliyoandikwa kwenye Hadith kama Waislamu wenyewe mnayapinga?
 
We chizi kweli mwanangu tunatoka kwenye habari za Mtume unaleta habari za wazungu. Sasa nani kasema kuwa wazungu ndo standard ya ukristu?sisi msingi wetu ni Biblia sio wazungu usichanganye mafaili mzee.

Hapa hata sisi hatuzungumzii Waarabu tunazungumzia Mtume specifically.

Choice your examples and references wisely.
 
Hapa nimeweka mpaka Source ilukatafute usome. Ili uelewe.

According to Tabari
According to Ibn-e-Qatibeh Dinvari
So tumsikilze nani? Tabari au Bukhari? Ni nani ni reliable kati ya hawa wanaopingana maana nilivyofundishwa mimi ni kwamba Sahihi Bukhari ndo greatest story (hadith)teller in Islamic traditions.

Kwa hiyo mmoja hapa muongo au sio?
Na kwakuwa kaandika vitabu vingi itakuwa kadanganya pakubwa sana basi.
 
Kwenye academic writing tunafundishwa sio kila source inafaa kwa reference. Sisi tumetumia the most reliable source in telling Hadith according to Muslims traditions,wewe source yako ni reliable? Sio kila source watu wapite nayo tu.
 
Ulisoma mpaka mwisho lakini?.. maana laana iliwafuata

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
DINI YA KUFUGA MAJINI HII. AMA SIIPENDI JAMANI.


YANI HAWAELEWI KITU.
HATA MA SHULENI NA DARASANI AKINA MODI WALIKUWA WANABURUZA MKIA
 
Wameshapotezana , mpaka maandiko yao wanayapinga kweupe

Alafu hii ya kupinga maandiko yao ni kwa waislamu tu , sijawahi ona mkristo yupo ashamed na maandiko yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…