Maariv Media Israel : Iran yapokea SU 35 fighter jets, S-400 Air defense System kutoka Russia na laser Anti - drone system silent Hunter" kutoka China

Maariv Media Israel : Iran yapokea SU 35 fighter jets, S-400 Air defense System kutoka Russia na laser Anti - drone system silent Hunter" kutoka China

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
12,835
Reaction score
23,584
Chombo cha habari Maariv kutoka Israel kinaripoti kuwa tayari Iran imepokea silaha za kisasa ikiwemo ndege vita Chapa SU 35 kutoka Russia na air defense system S-400 , Hali kadhalika Iran imepokea kutoka China Laser Anti -drone system. Habari hii pia imeripotiwa na vyombo mbalimbali vya habari nje ya Israeli.

Haya ni maandalizi kamili ya majibu yatakayotokana na Israel kujibu shambulio la Oktoba 1.
Screenshot_20241020-141116_1.jpg
20241020_151858.jpg
20241020_151851.jpg
20241020_151855.jpg
 
Chombo cha habari Maariv kutoka Israel kinaripoti kuwa tayari Iran imepokea silaha za kisasa ikiwemo ndege vita Chapa SU 35 kutoka Russia na air defense system S-400 , Hali kadhalika Iran imepokea kutoka China Laser Anti -drone system. Habari hii pia imeripotiwa na vyombo mbalimbali vya habari nje ya Israeli.

Haya ni maandalizi kamili ya majibu yatakayotokana na Israel kujibu shambulio la Oktoba 1.
View attachment 3130743View attachment 3130745View attachment 3130746View attachment 3130747
Israel kila kukicha analeta habari oh mara hivi mara hivi sa mbona wao wanasaidiwa na Europe na US pamoja na Warabu, mbona Iran kapiga Israel na US alikuwa anampa warning asiguse . Iran wanaume Israel hawezi gusa Iran, anajua wazi hapo ndio taifa fake la mungu wa kikristo litapotezwa.
 
Labda marekani na washirika wake walale usingizi wa pono waiache israel ipambane peke yake na majahili hayo yanayoisaidia iran zana za kivita
Inafahamika Marekani yupo bega kwa bega na Israel. Ila washirika Wana hati hati hawataki kuburuzwa na marekani kupigana vita isiyo wahusu. Waziri wa mambo ya nje wa Iran amemaliza ziara yake katika eneo lote lenye Kambi za kijeshi za marekani hapo mashariki ya kati na wameahidi kuwa hawatakubali kutumika na marekani kuishambulia Iran. Iran ametoa ONYO yeyote atakaeruhusu ardhi yake au anga lake kutumika basi atakua halali yake kupigwa na Iran. Ngoja tuone mwisho wa hii picha.
 
Chombo cha habari Maariv kutoka Israel kinaripoti kuwa tayari Iran imepokea silaha za kisasa ikiwemo ndege vita Chapa SU 35 kutoka Russia na air defense system S-400 , Hali kadhalika Iran imepokea kutoka China Laser Anti -drone system. Habari hii pia imeripotiwa na vyombo mbalimbali vya habari nje ya Israeli.

Haya ni maandalizi kamili ya majibu yatakayotokana na Israel kujibu shambulio la Oktoba 1.
View attachment 3130743View attachment 3130745View attachment 3130746View attachment 3130747
T14 Armata
 
Kuna watu mnapenda vita sio poa
Bro ukisoma vitabu vya Dini na vile vya historia unakuta maisha yalikuwa ni mwendo wa vita tu. Inaonyesha ni program iliyowekwa tangu Adam na Hawa walivyoharibu pale aden.

Halafu hii ni moja ya nature ambayo mwanadamu hawezi kui control.

Binadamu hataki magonjwa na hataki vita na wakati huohuo binadamu anataka awe na familia na kupata watoto wakae kwenye ARDHI HIIHII
 
Back
Top Bottom