Nikiwaambiaga watu ya kwamba Afrika tamaduni zetu na dini zetu za asili ni bora kuliko hizi dini zilizoletwa kwa ajili ya biashara ambazo ni ukristu na uislamu huwa wanabisha.
Hebu tazama maasai, hawa jamaa wanaweza ishi na mtu yeyote. Hawana tabia za ajabu ajabu na za kishenzi kama hawa jamaa walioshika tamaduni na dini za kigeni. Maasai anaridhika na kidogo alichonacho, hana tamaa za kijinga jinga.
Kabla ya uvamizi wa dini na tamaduni zao, sisi tulikuwa na maadili yetu na misingi iliyobora kwa ajili ya ustawi wa jamii zetu.
Kama tukikusanya tamaduni zilizo bora kwa kila jamii ya kiafrika na kisha tunatengeneza kitabu kama Bible ya kiafrika si tutaweza kuokoa kizazi hiki na kijacho?
Hawa jamaa walioleta tamaduni na dini ndiyo wanaleta na mambo ya ushoga na kama ushakubali tamaduni zao na dini zao na wamekubatiza majina yao ni lazima ukubaliane na ushoga wao.
Kwa sasa tuseme basi, tuwaachie tamaduni zao na dini zao. Wabaki na akina yesu na mohamadi wao sisi tutengeneze wa kwetu. Na inawezekana sana. Kama sisi tumepewa uzazi kwa nini unatulazimisha tusizae? Kama tuna nguvu za kufanya mapenzi kwa nini useme ni dhambi?
Ni sawa, tamaduni zetu nyingi zimekwisha haribiwa na hawa jamaa watenda laana. Tuige mfano wa jamii ya ki maasai ambao bado hawajachakachuliwa kwa kiasi kikubwa kulinganisha na jamii zingine. Tutengeneze mfumo mpya wa maadili kwa ajili ya kunusuru kizazi hiki na kijacho.
Hebu tazama maasai, hawa jamaa wanaweza ishi na mtu yeyote. Hawana tabia za ajabu ajabu na za kishenzi kama hawa jamaa walioshika tamaduni na dini za kigeni. Maasai anaridhika na kidogo alichonacho, hana tamaa za kijinga jinga.
Kabla ya uvamizi wa dini na tamaduni zao, sisi tulikuwa na maadili yetu na misingi iliyobora kwa ajili ya ustawi wa jamii zetu.
Kama tukikusanya tamaduni zilizo bora kwa kila jamii ya kiafrika na kisha tunatengeneza kitabu kama Bible ya kiafrika si tutaweza kuokoa kizazi hiki na kijacho?
Hawa jamaa walioleta tamaduni na dini ndiyo wanaleta na mambo ya ushoga na kama ushakubali tamaduni zao na dini zao na wamekubatiza majina yao ni lazima ukubaliane na ushoga wao.
Kwa sasa tuseme basi, tuwaachie tamaduni zao na dini zao. Wabaki na akina yesu na mohamadi wao sisi tutengeneze wa kwetu. Na inawezekana sana. Kama sisi tumepewa uzazi kwa nini unatulazimisha tusizae? Kama tuna nguvu za kufanya mapenzi kwa nini useme ni dhambi?
Ni sawa, tamaduni zetu nyingi zimekwisha haribiwa na hawa jamaa watenda laana. Tuige mfano wa jamii ya ki maasai ambao bado hawajachakachuliwa kwa kiasi kikubwa kulinganisha na jamii zingine. Tutengeneze mfumo mpya wa maadili kwa ajili ya kunusuru kizazi hiki na kijacho.