Maaskofu Katoliki Malawi, Zambia, Kenya wamepinga waraka wa Papa Francis, Kwanini maaskofu Tanzania wapo kimya wakati hata waumini hatuungi mkono ?


Papa ameshawapa baraka wakatoliki kushikana makalio. Kazi kwenu sasa
 
Papa ameshawapa baraka wakatoliki kushikana makalio. Kazi kwenu sasa
Kuelewa kilichoandikwa kwenye hiyo document mpaka uwe na akili timamu. Otherwise, ni mipasho ya kihuni huni tu kama huu wa kwako.
 
Namba 666 ni Papa na kanisa lake Katoliki wanaobariki ndoa za jinsia moja
Yaani wewe bado umelala usingizini maana hata hujui kilichoongelewa kwenye hiyo document iliyotoka. Kwa kifupi document inasema hivi: 1) Tangu zamani Kanisa Katoliki linatambua na litaendelea kufanya hivyo kwamba ndoa halali ni ya "mume mmoja na mke mmoja" waliokubaliana kwa uhuru wao kuishi pamoja. Hakuna ndoa nyingine inayotambulika nje ya hii. 2) Watu ambao wana ndoa ambazo siyo halali (irregular marriage) au ambao wanaishi pamoja kama mashoga, kama moyoni mwao wametambua kwamba wanahitaji kubadilika na kuishi maisha ambayo Mungu anataka wayaishi, hawa wakiomba baraka kama ilivyo kwa waumini wengine wanaohitaji, wanaweza kupata baraka kwa lengo la kuomba neema ya Mungu iendelee kuwaangaza na kuwavuta waondokane katika hali yao hiyo, lakini isije ikawa kwa mantiki ya kuhalalisha hali zao (soma document hiyo Nos 31-41). Kama hutaweza kuelewa, uliza ueleweshwe na kama hutaki kuelewa to hell with you!
 
Kashoga hako.... Hakuna kidume hapo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mda nawachukia sn mashoga ... Akil hawana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko ukiwachukia wao wanapungukiwa nn? Unateseka ukiwa wapiii??
 
Kanisa ni kama unavyoona serikali na pope ndio kama rais wa kanisa (institution) tamko la rais ni tamko la nchi, same applied to tamko la pope ni tamko la kanisa full stop.
Bora usemee wee.
 
Siku nitakapoona parokiani kwetu jinsia moja inafungishwa pingu za maisha, ndio utakuwa mwisho wa kwenda kanisani. MILELE.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata sahivi usipotaka kwenda, acha tyuuh. Huna cha kupunguza wala kuongeza ktk kanisa.
Tutolee uchuro wako hapa
 
Sio kweli, papa hatoi amri hutangaza kilichojadiliwa na kukubaliwa ukiona kitu kina bishaniwa basi hayo yalikuwa ni maoni yake binafsi na sio makubaliano
Wee huna akili kabisaa, toka lini Rais anapingwa ktk jambo lake?
Pope huwa anatoa maagizo, kuwa muelewa mngoni koko wee.
 
Pope kwa kanisa ni mtu wa kupita tu wakitaka kumchomoa hachukui round na hatakuwa wakwanza kuondolewa madarakani
Hebu wajaribu tuoneee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Marekani tayari wamesha ji bless.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata sahivi usipotaka kwenda, acha tyuuh. Huna cha kupunguza wala kuongeza ktk kanisa.
Tutolee uchuro wako hapa
I love you too😘
 
Ina maana jambo hili Papa amejiamulia yeye mwenyewe binafsi bila kwanza kuwashirikisha wenzake? Hivi Utaratibu wa Ufanyaji wa Maamuzi ukoje huko Vatican??Hakuna Vikao vya Mashauriano???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…