Tetesi: Maaskofu Katoliki wadaiwa kukutana na kujadili juu ya mkataba wa Serikali ya Samia na waarabu wa DP World

Umeonyesha kiwango dini sana Cha akili.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
[emoji83][emoji83]salamu Sa 100 umejaa laana ,umelaaniwa kuliko wanawake wote na abdul mzaliwa wa tumbo lako amelaaniwa , tokea sasa vizazi vyote watakuita mlaaniwa.[emoji83][emoji83]
 
[emoji83][emoji83]salamu Sa 100 umelaaniwa kuliko wanawake wote na abdul mzaliwa wa tumbo lako amelaaniwa , tokea sasa vizazi vyote watakuita mlaaniwa.[emoji83][emoji83]
Kulaani ni kazi ya Mungu, chunga sana chuki moyoni mwako kwani inakutafuna.
 
Elezea vizuri. Wamekutana baada ya kupewa mikataba na nani, eleza vizuri. Hii ni habari nyeti sana
 
Katiba inaruhusu kufanya hivyo kwa hiyo hakuna tatizo kufanya hivyo.
 
Hao uliowaorodhesha kama ni mazezeta kipi kifanyike?
 
Kanisa waseme wazi kama kunamaslahi yao yamefutwa waache ulaghai mikataba mibovu mingi tumeingia nyuma huko mbona walikuwa kimya bandarini tunapigwa wao kimya
"Kuna mikataba mibovu mingi TUMEINGIA nyuma huko", ndiyo maana na bandari mnapigwa,maana hata akijitokeza mtu wa kuwasaidia mnamuuliza "ulikuwa wapi?"
 
Pumbavu, kuna tofauti gani kati ya serikali,bunge,na mahakama? Wakatoliki ni watanzania,kwa nini mambo yanayotokea Tanzania yasiwahusu? Yamuhusu nani sasa?
 
Mi ningekuwa Samia ningelifuta kanisa katoliki halafu nione kama wataenda mahakamani. Sema tu ukilifunga unapukutisha ajira za mapadre na maaskofu mana huku mtaani hawaajiriki. Hakuna kampuni inayotaka elimu ya theology
Umeandika kama hujawahi kumiliki vidole.Pendelea kujifunza mambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…