eliasmisinzo
JF-Expert Member
- Aug 13, 2021
- 1,259
- 1,321
Umeonyesha kiwango dini sana Cha akili.Wasituletee agenda za ushoga, wangekuwa na uwezo wa mikataba, waache kwanza kuwadhalilisha watoto makanisani tumechoka kuwasikia maaskofu kwani wao ni akina nani? Enzi za roman empire zimekwisha, Dunia kwa sasa ina dini nyingi na mitazamo tofauti.THIS IS NEW ERA.
Allah naye ana Mungu wake anayeapa kwake, rejea Quran 92:1Maaskofu wakiona picha yenye hijab ktk afisi zao roho zinawauma wnatamani wapasuke. Allah ni muweza. 2035 haipo mbali
Mwili wa Kristo ndiyo kanisa. Una elimu ya dini gani?sio kweli yesu hakuacha kanisa na isitoshe hakuwahi kuingia kanisani kanisa ni la yule muungwana aliekuwa akiwauwa je ni nani huyo
[emoji83][emoji83]salamu Sa 100 umejaa laana ,umelaaniwa kuliko wanawake wote na abdul mzaliwa wa tumbo lako amelaaniwa , tokea sasa vizazi vyote watakuita mlaaniwa.[emoji83][emoji83]Habarini wapendwa kanisa kama taasisi imara itakaa na kupitia kwa kina kile walichokikosoa kwenye mkataba wa dp world na samia km kweli yamefanyiwa kazi au kiini nacho tu.
Ikumbukwe mkataba haujaonyeshwa kwa umma ila viongozi wamekuwa wakitamka yale yaliyomo kwenye mkataba.
Kwa kuwa bunge halitimizi wajibu wake kanisa linawajibu wa kufanya kazi bila kuwa na konakona.
Katibu wa TEC alitoa muda kwa Maaskofu kupitia mikataba iliyosainiwa kabla ya kukutana.
Mungu ni mwema.
Kulaani ni kazi ya Mungu, chunga sana chuki moyoni mwako kwani inakutafuna.[emoji83][emoji83]salamu Sa 100 umelaaniwa kuliko wanawake wote na abdul mzaliwa wa tumbo lako amelaaniwa , tokea sasa vizazi vyote watakuita mlaaniwa.[emoji83][emoji83]
Na ndiyo huyo mungu aliye mlaani ...mtu aliye laaniwa utamjua tu kwa matendo yake yasiyo koma ya kihuniKulaani ni kazi ya Mungu, chunga sana chuki moyoni mwako kwani inakutafuna.
Usijihesabie haki mkuu, kuangamia kunatuhusu sote.Na ndiyo huyo mungu aliye mlaani ...mtu aliye laaniwa utamjua tu kwa matendo yake yasiyo koma ya kihuni
Muhuni ni muhuni tu...mbona kuna watu wanajita mitume wao awajihesabii hakiUsijihesabie haki mkuu, kuangamia kunatuhusu sote.
Elezea vizuri. Wamekutana baada ya kupewa mikataba na nani, eleza vizuri. Hii ni habari nyeti sanaHabarini wapendwa kanisa kama taasisi imara itakaa na kupitia kwa kina kile walichokikosoa kwenye mkataba wa dp world na samia km kweli yamefanyiwa kazi au kiini nacho tu.
Ikumbukwe mkataba haujaonyeshwa kwa umma ila viongozi wamekuwa wakitamka yale yaliyomo kwenye mkataba.
Kwa kuwa bunge halitimizi wajibu wake kanisa linawajibu wa kufanya kazi bila kuwa na konakona.
Katibu wa TEC alitoa muda kwa Maaskofu kupitia mikataba iliyosainiwa kabla ya kukutana.
Mungu ni mwema.
Caveat lectorLocuta causa finita !
safi sana maana alikufa kwaajili ya dhambi zenu yaani muna bahati sana ufalme wa mbinguni ni wenu mulishasamehewaMwili wa Kristo ndiyo kanisa. Una elimu ya dini gani?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Acha bangiKanisa ni mwili wa Kristo, Kristo ndiye kanisa, kanisa siyo jengo.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Anahitajika mwenye nguvu au mwenye akili timamu?Sema "gufu moya"!Yangu macho tuone dini na serikali nani mwenyewe nguvuView attachment 2802808
Hao uliowaorodhesha kama ni mazezeta kipi kifanyike?Hawa wamedekeshwa miaka mingi na kujiona kichwa kikubwa kutaka kuingilia yasio wahusu.
Kama kuna tatizo la bandari, ni tatizo la watanzania wote na kuna njia na taasisi za dola kushughulikia ikiwamo bunge, mahakama, serikali au baraza la mawaziri n.k
Hii ta TEC kushupalia ni uchochezi ambao hauwezi kuvumilika.
Unamaanisha nini? Kwamba kuna mahali panahitajika msaada ila huyu aliyejitokeza kutoa msaada hafai? Ungependa nani aje kusaidia?Haisaidiii kitu wanakutana tu kama kikundi cha ngoma
"Kuna mikataba mibovu mingi TUMEINGIA nyuma huko", ndiyo maana na bandari mnapigwa,maana hata akijitokeza mtu wa kuwasaidia mnamuuliza "ulikuwa wapi?"Kanisa waseme wazi kama kunamaslahi yao yamefutwa waache ulaghai mikataba mibovu mingi tumeingia nyuma huko mbona walikuwa kimya bandarini tunapigwa wao kimya
Pumbavu, kuna tofauti gani kati ya serikali,bunge,na mahakama? Wakatoliki ni watanzania,kwa nini mambo yanayotokea Tanzania yasiwahusu? Yamuhusu nani sasa?Hawa wamedekeshwa miaka mingi na kujiona kichwa kikubwa kutaka kuingilia yasio wahusu.
Kama kuna tatizo la bandari, ni tatizo la watanzania wote na kuna njia na taasisi za dola kushughulikia ikiwamo bunge, mahakama, serikali au baraza la mawaziri n.k
Hii ta TEC kushupalia ni uchochezi ambao hauwezi kuvumilika.
Hana huo ubavu. Na sio yeye tu, hata Biden au Putin hawana uwezo huo ktk nchi zao.Mi ningekuwa Samia ningelifuta kanisa katoliki
Umeandika kama hujawahi kumiliki vidole.Pendelea kujifunza mambo.Mi ningekuwa Samia ningelifuta kanisa katoliki halafu nione kama wataenda mahakamani. Sema tu ukilifunga unapukutisha ajira za mapadre na maaskofu mana huku mtaani hawaajiriki. Hakuna kampuni inayotaka elimu ya theology