eliasmisinzo
JF-Expert Member
- Aug 13, 2021
- 1,259
- 1,321
Umeonyesha kiwango dini sana Cha akili.Wasituletee agenda za ushoga, wangekuwa na uwezo wa mikataba, waache kwanza kuwadhalilisha watoto makanisani tumechoka kuwasikia maaskofu kwani wao ni akina nani? Enzi za roman empire zimekwisha, Dunia kwa sasa ina dini nyingi na mitazamo tofauti.THIS IS NEW ERA.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app