Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Tukitafuta wahu 10 wanaoongoza kwa wehu hapa Tanzania, huchomoki kwenye nafasi ya 2 na ni kwa vile tu nafasi ya kwanza yupo THE BIG SHOWGentleman,
umeeleza jambo la maana kwa uzito unaostahili kabisa..
ni dhahiri ikiwa kazi ya kuhubiri neno la Mungu imewashinda, ni vyema wakaanzisha chama cha siasa na kuomba usajili,
halafu makanisa yao ndiyo yakawa ofisi za hicho chama chao, ambapo ubatizo na maungamo yawe yanatolewa kwenye mikutano ya hadhara🐒
Ebu punguza lugha chafu jadili mambo kwa hoja.Wewe shetani mwehu, huna uwezo wa kuwatisha viongozi wa dini wanaosimama katika viapo vyao.
Unasema eti serikali haiwaogopi, kwani hiyo serikali itawafanya nini, wakati hawajavunja sheria yoyote ya nchi? Au ule ushetani wenu wa kuteka na kuua watu ndiyo dhihirisho kuwa hamuwaogopi watu wanaonena ukweli?
Mfahamu tu kuwa, kadiri mnavyozidisha ushetani wenu, ndivyo sauti za wenye haki zitakavyoongezeka.
Hii laana umeitafuta kwa nguvu yako mwenyewe ,hivi walifaham kanisa hili? Mkuu fanya yako ,ila kaa pembeni na kanisa hili , tunza hii kwa siku zijazoFriends and Our Enemies,
Kuendelea kuwapuuzia MAASKOFU kwa hizi fujo zao wanazoendelea nazo eti kwa kujificha kwao nyuma ya kivuli cha uzalendo na kuwasemea wananchi kunaleta ukakasi sana.
Kwanza Tokea lini MAASKOFU wakawa na uchungu na Taifa hili?
Kipindi hiko watu wanapigania uhuru wa nchi hii kanisa halikua na habari hata chembe na vugu vugu hilo na badala yake walikuwa baridi wakiunga mkono mkoloni kwa kuwa ndie hasa alikuwa anawapa wao kipaombele KATIKA Kila nyanja zikiwemo Afya,Elimu na kadhalika.
Ni kawaida yao MAASKOFU kuwa kimbele mbele hasa Regime zikiwa sizo za wanakondoo wao.
Tunawaambia MAASKOFU waache choko choko na fujo,kama wanaitaka SIASA waende kwa MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA,wapewe utaratibu wa kufungua CHAMA chao ili waingie ulingoni,tujue moja kazi YENU ni kuongoza Wana kondoo wenu au kupambana na serikali?
Kwa hiyo wakati wa Biashara ya utumwa Mashehe ndio walikuwa wapo kipaumbele kupigania Uhuru ?Friends and Our Enemies,
Kuendelea kuwapuuzia MAASKOFU kwa hizi fujo zao wanazoendelea nazo eti kwa kujificha kwao nyuma ya kivuli cha uzalendo na kuwasemea wananchi kunaleta ukakasi sana.
Kwanza Tokea lini MAASKOFU wakawa na uchungu na Taifa hili?
Kipindi hiko watu wanapigania uhuru wa nchi hii kanisa halikua na habari hata chembe na vugu vugu hilo na badala yake walikuwa baridi wakiunga mkono mkoloni kwa kuwa ndie hasa alikuwa anawapa wao kipaombele KATIKA Kila nyanja zikiwemo Afya,Elimu na kadhalika.
Ni kawaida yao MAASKOFU kuwa kimbele mbele hasa Regime zikiwa sizo za wanakondoo wao.
Tunawaambia MAASKOFU waache choko choko na fujo,kama wanaitaka SIASA waende kwa MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA,wapewe utaratibu wa kufungua CHAMA chao ili waingie ulingoni,tujue moja kazi YENU ni kuongoza Wana kondoo wenu au kupambana na serikali?
Shehe Mwaipopobawa je ?Uovu Gani MAASKOFU wenyewe ni wezi tuh, MAASKOFU wameshiriki hadi kupokea mgao wa fedha haramu za Escrow kipindi kile wanajifanya wazalendo uzalendo wautoe wapi?
Wewe ndiyo maana tunasema huna akili.Uovu Gani MAASKOFU wenyewe ni wezi tuh, MAASKOFU wameshiriki hadi kupokea mgao wa fedha haramu za Escrow kipindi kile wanajifanya wazalendo uzalendo wautoe wapi?
Bams achana na mtu anatukana wazazi wakati wanaojadili hapa ni Wasizwa..SIbishani na wapumbavu wa kiwango chako. Katafute wenye akili inayokaribiana na yako.
Sasa kwani ni uongo kuwa kanisa lilinufaika na pesa zile za wizi?Wewe ndiyo maana tunasema huna akili.
Tuambie nani mpaka leo hii aliwahi kuhukumiwa kwa kuhusika kwenye pesa ya Escrow account? Rugemerila walimlazimisha akiri kosa, akakataa, na hawakuweza kumfanya chochote kwa sababu hakuwa na kosa.na mwisho akaachiwa.
Hizi PC zilikuwepo Mahakama kuu kitengo cha Computer ukiingia huko kabla ya blower kufika watu walikua wanavua viatu Computer room wasipeleke vumbi..Mawazo yenu yalivyo👇
View attachment 3164817
Wewe ni mjinga sana, unafurahia hali hii mbaya nchi inakopekekwa? Unadhani utabaki na hiyo nafasi milele?Friends and Our Enemies,
Kuendelea kuwapuuzia MAASKOFU kwa hizi fujo zao wanazoendelea nazo eti kwa kujificha kwao nyuma ya kivuli cha uzalendo na kuwasemea wananchi kunaleta ukakasi sana.
Kwanza Tokea lini MAASKOFU wakawa na uchungu na Taifa hili?
Kipindi hiko watu wanapigania uhuru wa nchi hii kanisa halikua na habari hata chembe na vugu vugu hilo na badala yake walikuwa baridi wakiunga mkono mkoloni kwa kuwa ndie hasa alikuwa anawapa wao kipaombele KATIKA Kila nyanja zikiwemo Afya,Elimu na kadhalika.
Ni kawaida yao MAASKOFU kuwa kimbele mbele hasa Regime zikiwa sizo za wanakondoo wao.
Tunawaambia MAASKOFU waache choko choko na fujo,kama wanaitaka SIASA waende kwa MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA,wapewe utaratibu wa kufungua CHAMA chao ili waingie ulingoni,tujue moja kazi YENU ni kuongoza Wana kondoo wenu au kupambana na serikali?
Na hapo wewe ndie kwa hapo masjid kwenu.. ELIMU ELIMU ELIMUMara Leo wake na DP World,kesho waje na la wamasai shida YENU Nini?
Kukaa kimya kwa huu utawala siyo kwamba eti unawaogopa kama mnavyodhani,hamna mamlaka ya kuipangia serikali kitu chochote,hapa siyo Vatican tambueni.
Kiongozi wa dini kwa kiapo cha imani yake, anastahili kukemea uovu wa aina yoyote, uwe wa kijamii, kisiasa, kiuchumi, kimaadili au kiroho. Ukemeaji wa uovu hauna mipaka.Hakuna baya juu ya hilo ila tatizo ni kuwa wanafanya harakati zao kwa mgongo wa viongozi wa dini badala ya kutoa maoni kama raia wa kawaida.
Hii tabia ya viongozi wa dini kuingilia siasa yalisha pigwa marufuku katika nchi nyingi sana maana wanagawa watu.
Hawatakaa kimya na utawala hautawafanya lolote. Wakati wanakomaa na magufuli alipokuwa anawakaanga kule kibiti mlikuwa wapi?Mara Leo wake na DP World,kesho waje na la wamasai shida YENU Nini?
Kukaa kimya kwa huu utawala siyo kwamba eti unawaogopa kama mnavyodhani,hamna mamlaka ya kuipangia serikali kitu chochote,hapa siyo Vatican tambueni.
Wanapopokea hongo SI uovu huoBibilia inatutaka tusishuhudie uovu.Hivyo,Maaskofu wanakemea maovu Kwa watawala maana wakikaa kimya itaonekana wanaunga mkono maovu ya awamu hii ya sita inayoongoza Kwa ukatili
Hukuwaskia Hawa nguchiro enzi za magufuli wakiwa wanaleta Fujo kama hizi,pamoja na kuminya kwake Demokrasia kanisa lilikaa kimya kabisa,Leo midomo mireefu kama kakakuona.Hawatakaa kimya na utawala hautawafanya lolote. Wakati wanakomaa na magufuli alipokuwa anawakaanga kule kibiti mlikuwa wapi?