Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Vatican si cha serikali ya tz, matamko yanapelekea kwa muhusika na wahahusika periodMATAMKO yao wapeleke Vatican.
Sisi hatuna haja nayo,na waraka zao wakachambie mavi,sisi hatuna haja nazo...
Wakae wakitambua hizi siyo zama za kuungama kwa kanisa,tushatoka huko .
Watawadanganya huko huko parokiani,sisi kwetu hao ni wahuni tuh kama wahuni wengine,Pole sana maaskafu haswa wa katholic hawana uchawa na unafki, wanachosema ni ukweli always.
Isitoshe daily wanawachana waumini ukweli max pro iwe kanisani or jumuiya
Pole kama huwez ku take that, only waseminary wataelewa
Lengo lao limeshafahamika,hizo ni kelele za chura tuh,serikali inaendelea na kazi kama kawaida.Vatican si cha serikali ya tz, matamko yanapelekea kwa muhusika na wahahusika period
No kufumbia macho upumbav
Kazi yetu ni kupambana na waizi wa Nchi kama wwFriends and Our Enemies,
Kuendelea kuwapuuzia MAASKOFU kwa hizi fujo zao wanazoendelea nazo eti kwa kujificha kwao nyuma ya kivuli cha uzalendo na kuwasemea wananchi kunaleta ukakasi sana. Kwanza Tokea lini MAASKOFU wakawa na uchungu na Taifa hili?
Kipindi hiko watu wanapigania uhuru wa nchi hii kanisa halikua na habari hata chembe na vugu vugu hilo na badala yake walikuwa baridi wakiunga mkono mkoloni kwa kuwa ndie hasa alikuwa anawapa wao kipaombele KATIKA Kila nyanja zikiwemo Afya,Elimu na kadhalika.
Ni kawaida yao MAASKOFU kuwa kimbele mbele hasa Regime zikiwa sizo za wanakondoo wao.
Tunawaambia MAASKOFU waache choko choko na fujo,kama wanaitaka SIASA waende kwa MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA, wapewe utaratibu wa kufungua CHAMA chao ili waingie ulingoni, tujue moja kazi YENU ni kuongoza Wana kondoo wenu au kupambana na serikali?
Kuna wezi nchi hii kushinda kanisa katoliki?Kazi yetu ni kupambana na waizi wa Nchi kama ww
Sawa endeleeni kuua Wapinzani kwa raha zenu. Then mnywe kisusio cha damu zao kwa kutii kiu yenu.Friends and Our Enemies,
Kuendelea kuwapuuzia MAASKOFU kwa hizi fujo zao wanazoendelea nazo eti kwa kujificha kwao nyuma ya kivuli cha uzalendo na kuwasemea wananchi kunaleta ukakasi sana. Kwanza Tokea lini MAASKOFU wakawa na uchungu na Taifa hili?
Kipindi hiko watu wanapigania uhuru wa nchi hii kanisa halikua na habari hata chembe na vugu vugu hilo na badala yake walikuwa baridi wakiunga mkono mkoloni kwa kuwa ndie hasa alikuwa anawapa wao kipaombele KATIKA Kila nyanja zikiwemo Afya,Elimu na kadhalika.
Ni kawaida yao MAASKOFU kuwa kimbele mbele hasa Regime zikiwa sizo za wanakondoo wao.
Tunawaambia MAASKOFU waache choko choko na fujo,kama wanaitaka SIASA waende kwa MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA, wapewe utaratibu wa kufungua CHAMA chao ili waingie ulingoni, tujue moja kazi YENU ni kuongoza Wana kondoo wenu au kupambana na serikali?
Ule sahani moja na nani? Utaishia hapahapa kwenye keyboardWewe ndie unasema,kumbe hao MAASKOFU kutwa kushinda kwenye vizimba vya kanisa kuleta fujo na taharuki nchini hapa kumbe kisa huyu mama siyo kondoo wao siyo??
Waambie hao nguchiro safari hii tutakula nao sahani moja.
Mustakabali wa nchi ndiyo ataujuwa Padri Kitima? Mbona ya kwake yanamshinda!!Mpumbavu wewe. Ibilisi kaa kimya na uovu wako.
Punguani mkubwa wewe. Hata hujui kuwa ticket ya mwalimu Nyerere kwenda kudai uhuru iligharamiwa ba Kanisa.
Mjinga wewe, hujui kuwa hata mwalimu Nyerere alipofukuzwa kazi ya uwalimu, familia yake ilihifadhiwa na kugharamiwa na Kanisa pale Tosamaganga, kupitia shirika la Mtakatifu Consolata.
Ninyi mashetani wadhulumu haki za wananchi msidhani maneno yenu haya ya kishetani yatawakatisha tamaa viongozi wa dini wanaosimama katika haki.
Asante sana, MAASKOFU wavue magauni wavae magwanda....mbona simple tuuh.Mustakabali wa nchi ndiyo ataujuwa Padri Kitima? Mbona ya kwake yanamshinda!!
Aamue moja avue mavazi ya altareni kama Dr Slaa aje kwenye mapambano. Asitumie madhabahu kutetea itikadi yake kisiasa.
Nami pia ni MKATOLIKI kindakindaki na natoa zaka na sadaka kwa muujibu wa amri za kanisa. Nasali Parokia ya Msewe
### MAASKOFU wavue magauni wavae magwanda.Allah akupe hikma na akupe majinn wazuri ili unene yaliyo mema na ya hakhi thabeet.
###Maaskofu wavue magauni wavae magwanda.Ule sahani moja na nani? Utaishia hapahapa kwenye keyboard
###Maaskofu wavue magauni wavae magwanda.Sawa endeleeni kuua Wapinzani kwa raha zenu. Then mnywe kisusio cha damu zao kwa kutii kiu yenu.
###Maaskofu wavue magauni wavae magwanda.Kazi yetu ni kupambana na waizi wa Nchi kama ww
Hayo ndo makosa yanayo endelea kufanywa na serikali ya nchi hii.serikali yenyewe inatumia dini kufanya mambo yake. Waumini huambiwa watii mamlaka maana yatoka kwa mungu, wanakuwa wapole na wenyenyekevu kwa serikali. Kwa hiyo kuna miingiliano ili kudhibiti nidhamu ya wananchi. Hata serikali hukemea viongozi wa dini wasioendana na matakwa yao
Tatizo serikali inawalea sana hawa wapuuzi,kazi ya taasisi za kidini ni kulea watu kiroho na sio kutwa kurumbana na wana siasa.Umeongea vizur sana,hakuna aliekatazwa kutoa maoni wala kukosoa,ila MAASKOFU wamekuwa kero shenzy Hawa,Kila siku kwenye vizimba vya dini mara serikali hiviii mara serikali vileee ...wanataka Nini??
Kazi yao ni kubishana na serikali au kuongoza kondoo??
TEC wamekuwa wakitoa waraka wa kukemea MAOVU ya serikali nyakati zote. Kukemea MAOVU ni wajibu wa Kila mwananchi mzalendo. WEZI siku zote hawapendi kuambiwa UKWELI.Friends and Our Enemies,
Kuendelea kuwapuuzia MAASKOFU kwa hizi fujo zao wanazoendelea nazo eti kwa kujificha kwao nyuma ya kivuli cha uzalendo na kuwasemea wananchi kunaleta ukakasi sana. Kwanza Tokea lini MAASKOFU wakawa na uchungu na Taifa hili?
Kipindi hiko watu wanapigania uhuru wa nchi hii kanisa halikua na habari hata chembe na vugu vugu hilo na badala yake walikuwa baridi wakiunga mkono mkoloni kwa kuwa ndie hasa alikuwa anawapa wao kipaombele KATIKA Kila nyanja zikiwemo Afya,Elimu na kadhalika.
Ni kawaida yao MAASKOFU kuwa kimbele mbele hasa Regime zikiwa sizo za wanakondoo wao.
Tunawaambia MAASKOFU waache choko choko na fujo,kama wanaitaka SIASA waende kwa MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA, wapewe utaratibu wa kufungua CHAMA chao ili waingie ulingoni, tujue moja kazi YENU ni kuongoza Wana kondoo wenu au kupambana na serikali?
Wewe kweli ni MJINGA na BUMUNDA,POPOMA MKUBWA.Friends and Our Enemies,
Kuendelea kuwapuuzia MAASKOFU kwa hizi fujo zao wanazoendelea nazo eti kwa kujificha kwao nyuma ya kivuli cha uzalendo na kuwasemea wananchi kunaleta ukakasi sana. Kwanza Tokea lini MAASKOFU wakawa na uchungu na Taifa hili?
Kipindi hiko watu wanapigania uhuru wa nchi hii kanisa halikua na habari hata chembe na vugu vugu hilo na badala yake walikuwa baridi wakiunga mkono mkoloni kwa kuwa ndie hasa alikuwa anawapa wao kipaombele KATIKA Kila nyanja zikiwemo Afya,Elimu na kadhalika.
Ni kawaida yao MAASKOFU kuwa kimbele mbele hasa Regime zikiwa sizo za wanakondoo wao.
Tunawaambia MAASKOFU waache choko choko na fujo,kama wanaitaka SIASA waende kwa MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA, wapewe utaratibu wa kufungua CHAMA chao ili waingie ulingoni, tujue moja kazi YENU ni kuongoza Wana kondoo wenu au kupambana na serikali?
Mwambie ukweli huyu chawa hajielewi kabisa!Bibilia inatutaka tusishuhudie uovu.Hivyo,Maaskofu wanakemea maovu Kwa watawala maana wakikaa kimya itaonekana wanaunga mkono maovu ya awamu hii ya sita inayoongoza Kwa ukatili
Umemaliza
Wasomi Gani?TUNAWAUNGA MKONO HAWA WASOMI AMBAO WANASIMAMIA MASLAHI YA WATANZANIA. NI JUKUMU LAO KUKEMEA UOZO NA UHUNI WA SERIKALI BILA WOGA WALA KUPINDISHA MANENO. TAIFA LINATAKA WATU KAMA HAWA NA SIYO WALE WA UBWABWA NA NJAA WANAOHONGEKA.