Maaskofu matamko yenu yametosha sasa, ni muda umefika muende kwa Msajili wa Vyama vya Siasa mfungue chama chenu

Hopeless black skin...Njaa zitakuua
 
Siku zote nyinyi makafiri ndiyo mnakuwa choko choko wa kuleta machafuko.

Na huwa mnaanzaga hivi hivi,hata kwa kagame Yale mauaji ya kimbari,kanisa limeshiriki kwa kias kukubwa sana,kanisa litambue halina hati miliki ya nchi hii na haitokuja kuwa nayo
 
Maaskofu wangetamka uchaguzi swafii, huru na haki mitano tena kwa mama - CCM meno 32 nje siyo!! kaeni kwa kutulia hizo ndiyo 4R.
Sasa MAASKOFU kama wanaona chagadema wameonewa si waungane nao?

MATAMKO yao wapeleke Vatican.

Waraka zao wakafungie vitumbua.
 
Tatizo serikali inawalea sana hawa wapuuzi,kazi ya taasisi za kidini ni kulea watu kiroho na sio kutwa kurumbana na wana siasa.
Sana,Askofu katoka zake huko kulala na wake za watu eti anakuja mbele ya umma kujifanya yeye ni mtu wa Mungu anataka haki na usawa,haki wanaijua haki Hawa washamba??

Kama vipi wavue magauni wavae magwanda tujue moja .
 
Kweli wewe huna akili,kubwa jinga,huelewi Mambo hata kidogo.

Rwanda 98 ni wakristu,issue ya kule ni ukabila .

Tutsi na Hutu.

Nakuuliza swali japo umebakiwa na akili za kuvukia barabara tu.

Waliouwwawa wakati wa Uchaguzi wameuwawa na nani???
Kweli Taifa Bado Lina watu wajinga sana aina yako.

Mnashabikia ujinga unaotaka kuruga amani ya nchi .

Ni wajinga mnaowazodoa wanaongea Kukemea viashiria vya kuvuruga amani ya nchi.

Hongera kubwa JINGA kwa kuchagua UJINGA.
 
NYERERE AHOJI MAASKOFU WAMEKUWA WAPOLE : Julius Nyerere katika hotuba yake kuhusu kanisa na Theolojia ya Ukombozi katika Amerika ya Kusini

JUNTA (BARAZA LA KIJESHI) LATINO AMERIKA, WALIVYOJARIBU KUKAMDAMIZA UMMA, NYERERE AHOJI

Julius Nyerere katika hotuba yake kuhusu kanisa na Theolojia ya Ukombozi katika Amerika ya Kusini akiwa nchini Managua, Nicaragua. Hotuba yake hii ya mwaka 1988 inaigusa Tanzania ya 2024 kuhusu masuala ya hali ya kisiasa.

Ambapo watawala hawafanyi siasa zinazo wanufaisha wananchi walio wengi na wakikosolewa wanakuwa wakali wanatumia wanaoitwa watu wasiojulikana ambao wanafahamika na watawala kuwauliza maaskofu na kina sheikh Ponda uraia wao, kuua mzee Ali Mohamed Kibao, Ben Saanane, kutesa kutupa porini Mdude Nyagali, Sativa, 'panya road' n.k :


JULIUS NYERERE Former President of Tanzania Speech in Nicaragua in 1988


On August 15th, 1988, Julius Nyerere, former president of Tanzania, gave a public lecture at a church in Managua. President Daniel Ortega spoke next.

THIS VIDEO PRESENTS THE TALK BY NYERERE. In 1979 the Nicaraguan people, under the leadership of the Sandinista Front for National Liberation, had overthrown the Somoza dictatorship.

Many Christians had participated in various ways in the struggle for liberation and continued to take part in the programs of the revolutionary government.

During the 1980s the Sandinista Revolutionary Government, which included three priests in the cabinet, sought to move Nicaragua in a socialist direction but had to concentrate resources on defending the country and the revolution against the US-supported counter-revolutionaries (Contras).

In early 1990, Daniel Ortega was defeated at the polls by a broad coalition which had Violeta Chamorro as its candidate. Julius Nyerere (1922 – 1999) was a Tanzanian anti-colonial activist, politician, and political theorist. He governed Tanganyika as Prime Minister from 1961 to 1962 and then as President from 1963 to 1964, after which he led its successor state, Tanzania, as President from 1964 to 1985. Ideologically an African nationalist and African socialist, he promoted a political philosophy known as Ujamaa.
Source : Joseph Mulligan

El 15 de agosto de 1988, Julius Nyerere, ex presidente de Tanzania, dio una conferencia pública en una iglesia de Managua. El presidente Daniel Ortega habló a continuación

20 August 2022
Managua, Nicaragua

Mwanamapinduzi rais Daniel Ortega alisakama Kanisa kwa kuikosoa serikali


View: https://m.youtube.com/watch?v=1CVkoAWRhAs
Police in Nicaragua have arrested a Catholic bishop known for his criticism of President Daniel Ortega. Rolando Alvarez is being detained at his home in the capital, Managua. This is part of a wider government crackdown on dissent among members of the clergy.

Cracks down on Catholic Church

Daniel Ortega’s regime targets last bastion of dissent with trial of outspoken bishop of Matagalpa Rolando Álvarez, bishop of Matagalpa and Esteli and a critic of president Daniel Ortega, celebrates mass online at a church where he was taking refuge in May. He was arrested in August

.Dressed in a blue shirt rather than clerical garb and gaunt after nearly four months under house arrest, Bishop Rolando Álvarez sat alone in a Nicaraguan court, charged with conspiracy to undermine national integrity and spreading false news.

Last week’s appearance was his first in public since being arrested in August during a raid on his diocesan headquarters in Matagalpa, where he had been holed up with 11 colleagues in protest at Catholic media outlets being closed.

The detention of Nicaragua’s most outspoken prelate, whose trial will begin in January, has sent an unmistakable message to opponents of the regime of president Daniel Ortega and his wife, vice-president Rosario Murillo.

“He’s been very direct and one of the few priests not afraid to speak out,” said Yader Morazán, a lawyer who fled Nicaragua in 2018. “This is about punishing him and sowing terror in the population and other clergy, too.” The business community was cowed into silence after it voiced support for anti-government protesters in 2018.

The leaders of Cosep, the main business organisation, were imprisoned. The regime has shut down more than 3,000 NGOs and forced 54 media outlets to close, according to Confidencial, a Nicaraguan newspaper operating from neighbouring Costa Rica.

Now, it is stepping up its repression of the Catholic Church, which has criticised Ortega’s persecution of protesters and his authoritarian excesses while supporting the families of political prisoners.“It has the objective of closing the last remaining civic space in the country, which is the space for freedom of conscience, freedom of preaching, religious freedom, even of the church,” said Carlos Chamorro, director of Confidencial.

A Nicaraguan exiled in Costa Rica holds a sign reading: ‘Ortega and Murillo Out! #SOSNicaragua’ at a protest against the detention of Bishop Alvarez, in San Jose in August
View attachment 3092476
© Mayela Lopez/ReutersThe persecution of Álvarez and the church comes as Ortega and Murillo consolidate power and imprison opponents.

The ruling Sandinista National Liberation Front swept all 153 municipalities in elections last month that the US called “a pantomime”.The regime continues to hold 225 political prisoners, including “relatives of detained political opponents, allegedly to coerce the latter into surrendering”, the UN high commissioner for human rights, Volker Türk, said last week.“It’s on the way to becoming a virtual North Korea in Central America,” said Tiziano Breda, Central America analyst for the International Crisis Group. “It’s a country where Ortega has reckoned that, to maintain control of the state and to remain in power, the only way to do it is through total suppression of any minimal dissident voice.”

Daniel Ortega and Murillo have routinely condemned bishops as “terrorists” and “coup mongers”. Police have thwarted feast-day processions and officers routinely patrol outside churches in acts of intimidation, according to priests.

The Missionaries of Charity, the order founded by Mother Teresa, left in July after losing its registration. The Vatican’s ambassador, Archbishop Waldemar Sommertag, was expelled in March.

“The last institution left standing as a beacon of hope was the church,” said an exiled priest, who requested anonymity for security reasons.Ortega uses the Catholic Church as a kind of useful device if he needs it and like a carpet if he needs to lay the blame somewhere Ryan Berg The church has had a chequered relationship with Ortega since he first became president in 1979 when the Sandinistas ousted Anastasio Somoza.

Daniel Ortega lost power in 1990, but regained office in 2007, presenting himself as a proper Catholic and courting close relations with the church hierarchy, according to analysts. Ortega and Murillo married in a Catholic ceremony in 2005. He later backed a draconian abortion law in 2006, passed two weeks before an election he won, which bans the procedure in all circumstances.“[The bishops] were distracted by this effort by the Ortegas to crack down on abortion and they didn’t see the rest of the picture,” said Ryan Berg, director of the Americas programme at the Center for Strategic and International Studies, a think-tank.“Ortega uses the Catholic Church as a kind of useful device if he needs it and like a carpet if he needs to lay the blame somewhere.”

The church became an outspoken Ortega critic after protests erupted in 2018 over proposed social security reform.Priests opened their parishes to wounded protesters being pursued by police and paramilitaries.

The bishops’ conference convened a national dialogue to find an exit from the protests and political crisis but then withdrew, alleging bad faith on the government side. Pope Francis has spoken tepidly on Nicaragua. He expressed concern after Álvarez’s arrest in August and called for dialogue. He said in a press conference the following month: “There is dialogue. That doesn’t mean we approve of everything the government is doing or disapprove of it.” Analysts said dialogue between the government and protesters had gone from trying to find a political solution to the 2018 protests to simply seeking to improve conditions for prisoners held in El Chipote prison on the outskirts of the capital, Managua.
View attachment 3092480
Photo: President Daniel Ortega of Nicaragua leader of Sandinistas

Daniel Ortega first came to power in 1979 when the Sandinistas overthrew the dictator Anastasio Somoza

“Dialogue doesn’t make sense with the dictatorship because it’s holding participants from the first dialogue in prison,” said Father Edwin Román, a Nicaraguan priest exiled in Miami.“I don’t think the Catholic Church will lend itself to another circus, when there’s a bishop and priests imprisoned.”The Nicaraguan bishops’ conference has remained silent on Álvarez’s arrest. It did not respond to a request for comment.“The bishops have opted for silence and prayer and not mentioning the problem to not be persecuted,” said the exiled priest.
Source : Financial Times
 
Mara Leo waje na DP World,kesho waje na la wamasai shida YENU Nini?
Kukaa kimya kwa huu utawala siyo kwamba eti unawaogopa kama mnavyodhani,hamna mamlaka ya kuipangia serikali kitu chochote,hapa siyo Vatican tambueni.
Akili yako inafanana na Bashite. Pathetic
 
Kwahiyo wewe fa.la Rwanda kama ishu kubwa ni ukabila na idadi kubwa ni makafiri,kwani kunaondoa Nini ushiriki wa kanisa katoliki KATIKA kuhamisha mauaji yale ya halaiki..??

Kwani uongo kuwa kanisa lilishiriki kwa kiwango kikubwa KATIKA mauaji yale??

Kumbe ukiwa kafiri akili nazo unazipeleka kwa yesu?
 
Akili yako inafanana na Bashite. Pathetic
Waambieni hao MAASKOFU wavue magauni yao wavae magwanda waingie ulingoni.

MATAMKO yao wapeleke Vatican,na waraka zao wakafungie kiti moto.
 
Waambieni hao MAASKOFU wavue magauni yao wavae magwanda waingie ulingoni.

MATAMKO yao wapeleke Vatican,na waraka zao wakafungie kiti moto.
Ukirudia kusoma hii comment yako utajua kwanini wadau wanakuona kama Bashite
 
SHEIKH PONDA UCHAFUZI WA UCHAGUZI WA TAMISEMI 2024

SHEIKH PONDA AKIWASHA -APANGA KUTOA TAMKO/ ACHUKIZWA NA MWENENDO MZIMA WA UCHAGUZI ULIVYO KWENDA.



View: https://m.youtube.com/watch?v=8QgOseTC8MQ
Hayo ni maoni yake,na hakuna aliezuiwa kutoa maoni.

Na kama SUALA la kuuwawa,hata viongozi wa ccm wameuawawa vile vile mfano yule mama wa Iringa aliepigwa Risasi.

Cha kushangaza MAASKOFU wanakuja na mashinikizo na vitisho kwa serikali as if wao ndie wenye mamlaka juu ya mustakbali wa Taifa hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…