The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Mkuu weka hapa mkataba uliosema ni miaka 100Bila shaka, marekebisho yamefanyika,ndomaana unaona mambo ya mkataba wa miaka 100,yamekua miaka 30,bandari zote,imekua baadhi ya ghati n.k.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu weka hapa mkataba uliosema ni miaka 100Bila shaka, marekebisho yamefanyika,ndomaana unaona mambo ya mkataba wa miaka 100,yamekua miaka 30,bandari zote,imekua baadhi ya ghati n.k.
Hiyo siyo Siri mkuu. Rais alipokuwa ziarani nadhani kama Singida ametoa milioni 100Unaweza kuweka wazi ushahidi wa maaskofu kupewa hiyo milioni 100?, vinginevyo na wewe unatenda dhambi ya kusingizia watu kwa sababu tu unayo maumivu ya moyoni.
Naona unaishi kwa imani na matumaini.Bila shaka, marekebisho yamefanyika,ndomaana unaona mambo ya mkataba wa miaka 100,yamekua miaka 30,bandari zote,imekua baadhi ya ghati n.k.
Kwanza si walisema Bandari imeuzwa?Mara miaka mia mara mile,miaka mia we uliona wapi!?..na nani alisema bandari zote?..mbona tunajua ni gati kadhaa toka mwanzo,ukute wametishiwa kusitishiwa ruzuku kwenye hospital zao na kupitisha city free bandarini
Wajinga haoKwanza si walusema Bandari imeuzwa?
Sasa hivi wanatafuta vikauli vya kujifariji tu.Wajinga hao
TEC wamepuuzwa mbaya!Sasa hivi wanatafuta vikauli vya kujifariji tu.
Waliosema yamerekebishwa ndo maana wamehudhuria ikiwemo miaka na uwajibikaji ulitaka mikataba ifutwe upate faida gani?Kama walihudhuria basi watakuwa wametenda dhambi hizi:-
*wamesaliti waraka wao waliousoma kwa majuma 6 mfululizo kupinga uwekezaji huo;:-
*wamepofushwa na fedha sh milioni 100 waliopewa hivi karibuni na rais Samia .
*wamedharau waumini wao. Kwann kama wameukubali waraka hawajapeleka mrejesho makanisani kwa majuma 6 kama walivyosoma waraka?
* wamepigwa kijembe cha waziwazi Kwasabb Mrisho Mpoto na makamu wa Rais Philip Mpango wamesikika wakisema "na waliokuwa wanapinga mkataba wa DP World, hivi sasa wanaukubali, wamealikwa na wapo hapa. Hakika kama waliokuwepo hawa TEC wamedhalilika.
Kama hawakuwepo, well and good. Nasubiria waraka wao mpya.
Yuko ,Yuko marekani kikazi mwanasheria wa wakitanzania msema kweli kipenzi Cha watu[emoji848]Itakuwa ni U turn ya Mwaka,au labda Vipengele vya Mkataba vimebadilishwa.
Umeviona kuwa wamerekebisha? Au unapelekwa tu kama ling'ombe?Maaskofu walisema hawapingi uwekezaji bali ni baadhi ya vipengele kwenye mkataba, vimerekebishwa ndio maana wakahudhuria.
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Lakini kwenye waraka wao walikuwa hawakubaliani na uwekezaji kabisa bali walisema wanaamini kuwa watz wanauwezo wa kuendesha bandari wenyewe.Hakuna tunda la Roho linaitwa fitina. Kama wamejiridhisha kuwa changamoto zao zimefanyiwa kazi yanini kuwa na roho ya kukwamisha
Huo ni msimamo wa kanisa la kkt na bakwata msimamo wa tec ulikuwa ni mkataba ufutwe na bandari iendeshwe na wtz wenyewe.Maaskofu walisema hawapingi uwekezaji bali ni baadhi ya vipengele kwenye mkataba, vimerekebishwa ndio maana wakahudhuria.
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] mwambie mdude na mwabukusi sasa maandamano ya tarehe 9 basi yaishe maana naona anaendeleza mjadala wa kuuzwa kule XWakerekebisha pakubwa......wanasheria wa k
Hamkusoma au hamkuelewa tangu mwanzo ilisemwa baadhi ya gati naona mnapiga u-turn ya hatari [emoji23]Bila shaka, marekebisho yamefanyika,ndomaana unaona mambo ya mkataba wa miaka 100,yamekua miaka 30,bandari zote,imekua baadhi ya ghati n.k.
Babati mbona ilitangazwa TBCHiyo siyo Siri mkuu. Rais alipokuwa ziarani nadhani kama Singida ametoa milioni 100
Mbona wa bongo tunauweza sana uchonganishi,fitina na majungu.siri ni ipi iliyofichika katika hili,wewe unaonaje iwapo wameshiriki,je hujasikia kama hakuna maoni ya yeyote yaliyopuuzwa.Je pia hujasikia kama upo ufafanuzi wa maswali magumu yaliyoulizwa?Kama walihudhuria basi watakuwa wametenda dhambi hizi:-
*wamesaliti waraka wao waliousoma kwa majuma 6 mfululizo kupinga uwekezaji huo;:-
*wamepofushwa na fedha sh milioni 100 waliopewa hivi karibuni na rais Samia .
*wamedharau waumini wao. Kwann kama wameukubali waraka hawajapeleka mrejesho makanisani kwa majuma 6 kama walivyosoma waraka?
* wamepigwa kijembe cha waziwazi Kwasabb Mrisho Mpoto na makamu wa Rais Philip Mpango wamesikika wakisema "na waliokuwa wanapinga mkataba wa DP World, hivi sasa wanaukubali, wamealikwa na wapo hapa. Hakika kama waliokuwepo hawa TEC wamedhalilika.
Kama hawakuwepo, well and good. Nasubiria waraka wao mpya.