Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakatoliki shida yao ni wale jamaa wa ni zamu yetu hawana shida na mama,,,, kuna vita hazipiganwi waziwazi......... Kuna safu inarudi sasa hadi mwaka wa uchaguzi pataelewekaHakuna cha marekebisho wala nini. wao waraka wao ulikuwa ni Bandari wasipewe wawekezaji na sio marekebisho Mama Ni strong sna. wamenyweaaa usicheze na mamlaka
Roma locuta, causa finita estHakuna kilichorekebishwa..naombeni ule msemo wa kilatini
Wanafarijiana mazuzu haoSasa hivi wanatafuta vikauli vya kujifariji tu.
TeCc hawana nguvu yoyote,mapunga tuhSio mara zote unapata unachohitaji wakati fulani kwenye maamuzi tuna weka sababu nyingi lakini kuna zile tunaita za msingi. Kama yale ya msingi yametendewa kazi basi bushra ni vyema ikatumika
HahahaaaaRoma locuta, causa finita est
Ni zile 100m auItakuwa wamekubaliana some shekels
Kwan ni siri mkuu au umeamua tu kujizima dataUnaweza kuweka wazi ushahidi wa maaskofu kupewa hiyo milioni 100?, vinginevyo na wewe unatenda dhambi ya kusingizia watu kwa sababu tu unayo maumivu ya moyoni.
Kama walihudhuria basi watakuwa wametenda dhambi hizi:-
*wamesaliti waraka wao waliousoma kwa majuma 6 mfululizo kupinga uwekezaji huo;:-
*wamepofushwa na fedha sh milioni 100 waliopewa hivi karibuni na rais Samia .
*wamedharau waumini wao. Kwann kama wameukubali waraka hawajapeleka mrejesho makanisani kwa majuma 6 kama walivyosoma waraka?
* wamepigwa kijembe cha waziwazi Kwasabb Mrisho Mpoto na makamu wa Rais Philip Mpango wamesikika wakisema "na waliokuwa wanapinga mkataba wa DP World, hivi sasa wanaukubali, wamealikwa na wapo hapa. Hakika kama waliokuwepo hawa TEC wamedhalilika.
Kama hawakuwepo, well and good. Nasubiria waraka wao mpya.
Walitaka vifungu vifanyiwe kazi na serikali imefanyia kazi wakawa hawana sababu ya kupinga mkataba.Kwan ni siri mkuu au umeamua tu kujizima data
Wagalatia hawana akili, sijui nani kawaroga aisee, utaskia hii nchi inaongozwa na kanisa mara wakatoliki wakigoma hakipiti kitu! PUMBAVUUUUUUKama walihudhuria basi watakuwa wametenda dhambi hizi:-
*wamesaliti waraka wao waliousoma kwa majuma 6 mfululizo kupinga uwekezaji huo;:-
*wamepofushwa na fedha sh milioni 100 waliopewa hivi karibuni na rais Samia .
*wamedharau waumini wao. Kwann kama wameukubali waraka hawajapeleka mrejesho makanisani kwa majuma 6 kama walivyosoma waraka?
* wamepigwa kijembe cha waziwazi Kwasabb Mrisho Mpoto na makamu wa Rais Philip Mpango wamesikika wakisema "na waliokuwa wanapinga mkataba wa DP World, hivi sasa wanaukubali, wamealikwa na wapo hapa. Hakika kama waliokuwepo hawa TEC wamedhalilika.
Kama hawakuwepo, well and good. Nasubiria waraka wao mpya.
Wameona hayo marekebisho?Wamehudhuria sababu Hangaya na genge lake walirekebisha mkataba!
Kip kilimsumkuma huyo ajuza ,kusaini taratibu za kumpata mwekezaji hazijulikaniWaliosema yamerekebishwa ndo maana wamehudhuria ikiwemo miaka na uwajibikaji ulitaka mikataba ifutwe upate faida gani?
Hapo nilipo bold wakati utoaji saini uko live ulikuwa unacomment kishabiki sana nashangaa saa hizi unawatetea TEC😂😂😂Walitaka vifungu vifanyiwe kazi na serikali imefanyia kazi wakawa hawana sababu ya kupinga mkataba.
Samia ni bonge la kiongozi, bonge la rais. Kathibitisha uwezo wake wa kiuongozi kwenye suala hili la bandari kuingia mkataba mkubwa wa kibiashara.
Wao hawakupinga vipengele bali walitaka bandari iongozwe na watz🤔Itakuwa ni U turn ya Mwaka,au labda Vipengele vya Mkataba vimebadilishwa.
Watanzania wengi ni wezi, na huo ndio ukweli.Wao hawakupinga vipengele bali walitaka bandari iongozwe na watz
Bado ni mapema....,nadhani watatoka kulitolea ufafanuzi....,Huendi walifatwa na bunduki kuhudhuria utiani saini......HUWEZ JUA...Kama Mwenezi an ZERO, Unategemea nini....Sasa wangeturudia makanisani na kutueleza kuwa, zile kasoro zimefanyiwa kazi. Nimejicheka na kujidharau sana. Sisi leo kanisani kwetu, tumekomaa na mkataba wa DPW kumbe U turn imeshapigwa kitambo sana.
Funzo nililolipata ni kuwa, sitashabikia kitu kwa kufuata mkumbo wa Viongozi wa dini au wanasiasa au wanaharakati. Chochote kile nitakuwa nasoma mwenyewe, akili ikiniambia okay..naifuata. Na ikiniambia, no..naifuata.
Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app