Maaskofu wa TEC wamehudhuria utiaji saini wa mikataba 3 ya DP World?

Maaskofu wa TEC wamehudhuria utiaji saini wa mikataba 3 ya DP World?

Walitaka vifungu vifanyiwe kazi na serikali imefanyia kazi wakawa hawana sababu ya kupinga mkataba.

Samia ni bonge la kiongozi, bonge la rais. Kathibitisha uwezo wake wa kiuongozi kwenye suala hili la bandari kuingia mkataba mkubwa wa kibiashara.
Wagalatia hawakuuyaka ubia kabisa, walisema tubinafsishe vyote na sio bandari
 
Maoni yao na ya wadau wengine yamezingatiwa kwenye mikataba hii,ni kwa mujibu wa kauli ya Rais Samia. Serikali imetumia kauli ya tafsida kuwa wamejirekebisha, ule wa kwanza waliingizwa chaka.
Umethibitisha wapi?...,unamwamini mwanasiasa??....
 
Kama walihudhuria basi watakuwa wametenda dhambi hizi:-
*wamesaliti waraka wao waliousoma kwa majuma 6 mfululizo kupinga uwekezaji huo;:-
*wamepofushwa na fedha sh milioni 100 waliopewa hivi karibuni na rais Samia .
*wamedharau waumini wao. Kwann kama wameukubali waraka hawajapeleka mrejesho makanisani kwa majuma 6 kama walivyosoma waraka?
* wamepigwa kijembe cha waziwazi Kwasabb Mrisho Mpoto na makamu wa Rais Philip Mpango wamesikika wakisema "na waliokuwa wanapinga mkataba wa DP World, hivi sasa wanaukubali, wamealikwa na wapo hapa. Hakika kama waliokuwepo hawa TEC wamedhalilika.

Kama hawakuwepo, well and good. Nasubiria waraka wao mpya.
Kanisa Catholic Lina Karne zaidi ya 18! Wanaishigi na Wanasiasa wa rangi yeyote Ile!! Awanaga Papara. CCm awajafikisha ata miaka 70! Brazil huko Chama chenye miaka 80+ kilidondoka!! Yes Utawaibisha.ila Haibu yako itakuwa mara billions.
hachette.co.uk
Hachette UK › titles
The Vulture is a Patient Bird by James Hadley Chase
 
Katika hili la bandari TEC wakubali kuchutama,
Wasiingie kichwa kichwa tena kwenye masuala ya siasa, mnaishia kujiaibisha mwishoni kama hivi, mnasemwa mpaka na Mrisho Mpoto 💔

Wacheze kwa step za uangalifu zaidi
 
Wagalatia hawakuuyaka ubia kabisa, walisema tubinafsishe vyote na sio bandari
THEIR DAYS ARE NUMBERED --hachette.co.uk
Hachette UK › titles
The Vulture is a Patient Bird by James Hadley Chase | Hachette UK!! Their Days are Numbered!
 
Acha uongo, walipinga uwekezaji wote wa bandari, walisema bandari isimamiwe na wazawa tu, yatizo wagalatia hawataki kuonekana wameshindwa
Umefika wakati wa TEC KUDHAULIKA au kuendelea KUHESHIMIKA.......TEC MLIPINGA KABISA LIMKATABA ...., kwenye utiani wa sign mlienda kutafuta nini?...MSIMAMO WENU NI ULE ULE....[Fr Kitima unasubiriwa huku][emoji16]
 
Mimi ni mkatoliki maisha yangu yote ila kwenye suala la mkataba kati ya serikali na DP World nipo upande wa biashara hii yenye lengo la kuinua viwango vya ufanisi pale TPA.
😂😂😂
Muungeni mkono mama Samia mkiwa objective na sio subjective.
 
Hakuna takwa la wagala lililofanyiwa kazi
Na Wao Wagalatia awanaga Haraka! Lao lazima litimie! Awampigii Magoti yeyote yule. Magufuli Askofu aliemnyanganya Uraia WA Tanzania .ndo aliesoma misaa yake ya MAZISHI! Kanisa Catholic Alina Cha kupoteza Wala Awana any political biass!
 

Attachments

  • images - 2023-10-22T221221.176.jpeg
    images - 2023-10-22T221221.176.jpeg
    16.1 KB · Views: 1
Na Wao Wagalatia awanaga Haraka! Lao lazima litimie! Awampigii Magoti yeyote yule. Magufuli Askofu aliemnyanganya Uraia WA Tanzania .ndo aliesoma misaa yake ya MAZISHI! Kanisa Catholic Alina Cha kupoteza Wala Awana any political biass!
Thubutuuu
 
Back
Top Bottom