Maaskofu wa TEC wamehudhuria utiaji saini wa mikataba 3 ya DP World?

Maaskofu wa TEC wamehudhuria utiaji saini wa mikataba 3 ya DP World?

Lakini kwenye waraka wao walikuwa hawakubaliani na uwekezaji kabisa bali walisema wanaamini kuwa watz wanauwezo wa kuendesha bandari wenyewe.
Sio mara zote unapata unachohitaji wakati fulani kwenye maamuzi tuna weka sababu nyingi lakini kuna zile tunaita za msingi. Kama yale ya msingi yametendewa kazi basi bushra ni vyema ikatumika
 
Sasa mikataba ndiyo inaanza.
Mtu anaweza kuhoji ni mkataba wa shilingi ngapi??
Ule wa awali ni makubaliano ya jumla.
Sasa ni kipande kwa kipande.
Pole sana Mwabukusi na TAL kwa umbumbu wenu
 
Kama walihudhuria basi watakuwa wametenda dhambi hizi:-
*wamesaliti waraka wao waliousoma kwa majuma 6 mfululizo kupinga uwekezaji huo;:-
*wamepofushwa na fedha sh milioni 100 waliopewa hivi karibuni na rais Samia .
*wamedharau waumini wao. Kwann kama wameukubali waraka hawajapeleka mrejesho makanisani kwa majuma 6 kama walivyosoma waraka?
* wamepigwa kijembe cha waziwazi Kwasabb Mrisho Mpoto na makamu wa Rais Philip Mpango wamesikika wakisema "na waliokuwa wanapinga mkataba wa DP World, hivi sasa wanaukubali, wamealikwa na wapo hapa. Hakika kama waliokuwepo hawa TEC wamedhalilika.

Kama hawakuwepo, well and good. Nasubiria waraka wao mpya.
Kwani bado serikali inachanganya dini na siasa? Walisema maaskofu wasichanganye dini na siasa.
 
Hiyo siyo Siri mkuu. Rais alipokuwa ziarani nadhani kama Singida ametoa milioni 100
Hakuwapa maaskofu usilete uhuni hapa, rais alitoa mchango wa ujenzi huko singida. Hakutoa TEC ili maaskofu wagawane.
 
Yuko ,Yuko marekani kikazi mwanasheria wa wakitanzania msema kweli kipenzi Cha watu

Kiboko ya ccm na dawa ya mchwa waliopo ccm ndg yetu

Tundu Antipas LISU tutajua tu
Kama walihudhuria basi watakuwa wametenda dhambi hizi:-
*wamesaliti waraka wao waliousoma kwa majuma 6 mfululizo kupinga uwekezaji huo;:-
*wamepofushwa na fedha sh milioni 100 waliopewa hivi karibuni na rais Samia .
*wamedharau waumini wao. Kwann kama wameukubali waraka hawajapeleka mrejesho makanisani kwa majuma 6 kama walivyosoma waraka?
* wamepigwa kijembe cha waziwazi Kwasabb Mrisho Mpoto na makamu wa Rais Philip Mpango wamesikika wakisema "na waliokuwa wanapinga mkataba wa DP World, hivi sasa wanaukubali, wamealikwa na wapo hapa. Hakika kama waliokuwepo hawa TEC wamedhalilika.

Kama hawakuwepo, well and good. Nasubiria waraka wao mpya.
Maaskofu ikiwa wamekubali kuunga mkono mkataba wa DPW....,...INAWAPASA KUANDIKA WARAKA KWA WAUMINI WAO.....ukionyesha kukubali kwao na sababu ya kuukuba sababu awali ....WALIUKATAA KABISAAAA....,na WARAKA HUO Usomwe week 6 kama ule wa awali....,Ikipita kimya kimya....WATAKUWA hawana tofauti na bumunda au Zitwe au Prof Lupumba.......NA NUSU YA WAUMINI WATAACHA KUSALI
 
Wamehudhuria sababu Hangaya na genge lake walirekebisha mkataba!
Sasa wangeturudia makanisani na kutueleza kuwa, zile kasoro zimefanyiwa kazi. Nimejicheka na kujidharau sana. Sisi leo kanisani kwetu, tumekomaa na mkataba wa DPW kumbe U turn imeshapigwa kitambo sana.

Funzo nililolipata ni kuwa, sitashabikia kitu kwa kufuata mkumbo wa Viongozi wa dini au wanasiasa au wanaharakati. Chochote kile nitakuwa nasoma mwenyewe, akili ikiniambia okay..naifuata. Na ikiniambia, no..naifuata.

Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
 
Maaskofu ikiwa wamekubali kuunga mkono mkataba wa DPW....,...INAWAPASA KUANDIKA WARAKA KWA WAUMINI WAO.....ukionyesha kukubali kwao na sababu ya kuukuba sababu awali ....WALIUKATAA KABISAAAA....,na WARAKA HUO Usomwe week 6 kama ule wa awali....,Ikipita kimya kimya....WATAKUWA hawana tofauti na bumunda au Zitwe au Prof Lupumba.......NA NUSU YA WAUMINI WATAACHA KUSALI
Sawa
 
Kama walihudhuria basi watakuwa wametenda dhambi hizi:-
*wamesaliti waraka wao waliousoma kwa majuma 6 mfululizo kupinga uwekezaji huo;:-
*wamepofushwa na fedha sh milioni 100 waliopewa hivi karibuni na rais Samia .
*wamedharau waumini wao. Kwann kama wameukubali waraka hawajapeleka mrejesho makanisani kwa majuma 6 kama walivyosoma waraka?
* wamepigwa kijembe cha waziwazi Kwasabb Mrisho Mpoto na makamu wa Rais Philip Mpango wamesikika wakisema "na waliokuwa wanapinga mkataba wa DP World, hivi sasa wanaukubali, wamealikwa na wapo hapa. Hakika kama waliokuwepo hawa TEC wamedhalilika.

Kama hawakuwepo, well and good. Nasubiria waraka wao mpya.
Na ikiwa matakwa na matarajio yao na ya Watanzania yamefanyiwa kazi Kuna dhambi gani.
 
Punguza uzushi, walichotaka kwenye mkataba kimezingatiwa na ndio maana wakaudhuria, Ukomo wa mkataba, kujitoa wakati wowote, kutopewa gati zote kampuni moja nk.
 
Kama walihudhuria basi watakuwa wametenda dhambi hizi:-
*wamesaliti waraka wao waliousoma kwa majuma 6 mfululizo kupinga uwekezaji huo;:-
*wamepofushwa na fedha sh milioni 100 waliopewa hivi karibuni na rais Samia .
*wamedharau waumini wao. Kwann kama wameukubali waraka hawajapeleka mrejesho makanisani kwa majuma 6 kama walivyosoma waraka?
* wamepigwa kijembe cha waziwazi Kwasabb Mrisho Mpoto na makamu wa Rais Philip Mpango wamesikika wakisema "na waliokuwa wanapinga mkataba wa DP World, hivi sasa wanaukubali, wamealikwa na wapo hapa. Hakika kama waliokuwepo hawa TEC wamedhalilika.

Kama hawakuwepo, well and good. Nasubiria waraka wao mpya.
Maoni yao na ya wadau wengine yamezingatiwa kwenye mikataba hii,ni kwa mujibu wa kauli ya Rais Samia. Serikali imetumia kauli ya tafsida kuwa wamejirekebisha, ule wa kwanza waliingizwa chaka.
 
Hakuna cha marekebisho wala nini. wao waraka wao ulikuwa ni Bandari wasipewe wawekezaji na sio marekebisho Mama Ni strong sna. wamenyweaaa usicheze na mamlaka
 
Back
Top Bottom