Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu hana muda wa kusikiliza upuuzi huoHata hivyo waraka wa TEC uliongea.
Kufikia hiyo miaka wanayotamka was not a simple way.
Tuendelee kuomba.
Sio mara zote unapata unachohitaji wakati fulani kwenye maamuzi tuna weka sababu nyingi lakini kuna zile tunaita za msingi. Kama yale ya msingi yametendewa kazi basi bushra ni vyema ikatumikaLakini kwenye waraka wao walikuwa hawakubaliani na uwekezaji kabisa bali walisema wanaamini kuwa watz wanauwezo wa kuendesha bandari wenyewe.
Kwani bado serikali inachanganya dini na siasa? Walisema maaskofu wasichanganye dini na siasa.Kama walihudhuria basi watakuwa wametenda dhambi hizi:-
*wamesaliti waraka wao waliousoma kwa majuma 6 mfululizo kupinga uwekezaji huo;:-
*wamepofushwa na fedha sh milioni 100 waliopewa hivi karibuni na rais Samia .
*wamedharau waumini wao. Kwann kama wameukubali waraka hawajapeleka mrejesho makanisani kwa majuma 6 kama walivyosoma waraka?
* wamepigwa kijembe cha waziwazi Kwasabb Mrisho Mpoto na makamu wa Rais Philip Mpango wamesikika wakisema "na waliokuwa wanapinga mkataba wa DP World, hivi sasa wanaukubali, wamealikwa na wapo hapa. Hakika kama waliokuwepo hawa TEC wamedhalilika.
Kama hawakuwepo, well and good. Nasubiria waraka wao mpya.
Hakuwapa maaskofu usilete uhuni hapa, rais alitoa mchango wa ujenzi huko singida. Hakutoa TEC ili maaskofu wagawane.Hiyo siyo Siri mkuu. Rais alipokuwa ziarani nadhani kama Singida ametoa milioni 100
Yuko ,Yuko marekani kikazi mwanasheria wa wakitanzania msema kweli kipenzi Cha watu
Kiboko ya ccm na dawa ya mchwa waliopo ccm ndg yetu
Tundu Antipas LISU tutajua tu
Maaskofu ikiwa wamekubali kuunga mkono mkataba wa DPW....,...INAWAPASA KUANDIKA WARAKA KWA WAUMINI WAO.....ukionyesha kukubali kwao na sababu ya kuukuba sababu awali ....WALIUKATAA KABISAAAA....,na WARAKA HUO Usomwe week 6 kama ule wa awali....,Ikipita kimya kimya....WATAKUWA hawana tofauti na bumunda au Zitwe au Prof Lupumba.......NA NUSU YA WAUMINI WATAACHA KUSALIKama walihudhuria basi watakuwa wametenda dhambi hizi:-
*wamesaliti waraka wao waliousoma kwa majuma 6 mfululizo kupinga uwekezaji huo;:-
*wamepofushwa na fedha sh milioni 100 waliopewa hivi karibuni na rais Samia .
*wamedharau waumini wao. Kwann kama wameukubali waraka hawajapeleka mrejesho makanisani kwa majuma 6 kama walivyosoma waraka?
* wamepigwa kijembe cha waziwazi Kwasabb Mrisho Mpoto na makamu wa Rais Philip Mpango wamesikika wakisema "na waliokuwa wanapinga mkataba wa DP World, hivi sasa wanaukubali, wamealikwa na wapo hapa. Hakika kama waliokuwepo hawa TEC wamedhalilika.
Kama hawakuwepo, well and good. Nasubiria waraka wao mpya.
Sasa wangeturudia makanisani na kutueleza kuwa, zile kasoro zimefanyiwa kazi. Nimejicheka na kujidharau sana. Sisi leo kanisani kwetu, tumekomaa na mkataba wa DPW kumbe U turn imeshapigwa kitambo sana.Wamehudhuria sababu Hangaya na genge lake walirekebisha mkataba!
Kwann awape wiki moja kabla ya kisaini mikataba ya DP World?Hakuwapa maaskofu usilete uhuni hapa, rais alitoa mchango wa ujenzi huko singida. Hakutoa TEC ili maaskofu wagawane.
SawaMaaskofu ikiwa wamekubali kuunga mkono mkataba wa DPW....,...INAWAPASA KUANDIKA WARAKA KWA WAUMINI WAO.....ukionyesha kukubali kwao na sababu ya kuukuba sababu awali ....WALIUKATAA KABISAAAA....,na WARAKA HUO Usomwe week 6 kama ule wa awali....,Ikipita kimya kimya....WATAKUWA hawana tofauti na bumunda au Zitwe au Prof Lupumba.......NA NUSU YA WAUMINI WATAACHA KUSALI
Na ikiwa matakwa na matarajio yao na ya Watanzania yamefanyiwa kazi Kuna dhambi gani.Kama walihudhuria basi watakuwa wametenda dhambi hizi:-
*wamesaliti waraka wao waliousoma kwa majuma 6 mfululizo kupinga uwekezaji huo;:-
*wamepofushwa na fedha sh milioni 100 waliopewa hivi karibuni na rais Samia .
*wamedharau waumini wao. Kwann kama wameukubali waraka hawajapeleka mrejesho makanisani kwa majuma 6 kama walivyosoma waraka?
* wamepigwa kijembe cha waziwazi Kwasabb Mrisho Mpoto na makamu wa Rais Philip Mpango wamesikika wakisema "na waliokuwa wanapinga mkataba wa DP World, hivi sasa wanaukubali, wamealikwa na wapo hapa. Hakika kama waliokuwepo hawa TEC wamedhalilika.
Kama hawakuwepo, well and good. Nasubiria waraka wao mpya.
Maoni ya Tec yamezingatiwa vilivyo na kwa ufupi Serikali imewasikiliza, soma waraka vizuri utaelewa tec walitaka nini.TEC wamepuuzwa mbaya!
Waandike waraka mwingine watusomee tena kwa wiki 6Na ikiwa matakwa na matarajio yao na ya Watanzania yamefanyiwa kazi Kuna dhambi gani.
Maoni yao na ya wadau wengine yamezingatiwa kwenye mikataba hii,ni kwa mujibu wa kauli ya Rais Samia. Serikali imetumia kauli ya tafsida kuwa wamejirekebisha, ule wa kwanza waliingizwa chaka.Kama walihudhuria basi watakuwa wametenda dhambi hizi:-
*wamesaliti waraka wao waliousoma kwa majuma 6 mfululizo kupinga uwekezaji huo;:-
*wamepofushwa na fedha sh milioni 100 waliopewa hivi karibuni na rais Samia .
*wamedharau waumini wao. Kwann kama wameukubali waraka hawajapeleka mrejesho makanisani kwa majuma 6 kama walivyosoma waraka?
* wamepigwa kijembe cha waziwazi Kwasabb Mrisho Mpoto na makamu wa Rais Philip Mpango wamesikika wakisema "na waliokuwa wanapinga mkataba wa DP World, hivi sasa wanaukubali, wamealikwa na wapo hapa. Hakika kama waliokuwepo hawa TEC wamedhalilika.
Kama hawakuwepo, well and good. Nasubiria waraka wao mpya.
Kama maoni yamezingatiwa basi waandaye waraka mpya, wenye mkataba mpya uliyorekebishwa vinginevyo hayo niliyoyaorodhesha yatawahusu.Maoni ya Tec yamezingatiwa vilivyo na kwa ufupi Serikali imewasikiliza, soma waraka vizuri utaelewa tec walitaka nini.
Swadakta,nyani katema bungo,chezea sauti ya umma wewe.Wamehudhuria sababu Hangaya na genge lake walirekebisha mkataba!