msibadili gia anganiBila shaka, marekebisho yamefanyika,ndomaana unaona mambo ya mkataba wa miaka 100,yamekua miaka 30,bandari zote,imekua baadhi ya ghati n.k.
Duh TEC, KKKT na Bakwata waliwekwa meza moja wakishuhudia utiaji saini wa Mikataba ya DP WorldMaaskofu ikiwa wamekubali kuunga mkono mkataba wa DPW....,...INAWAPASA KUANDIKA WARAKA KWA WAUMINI WAO.....ukionyesha kukubali kwao na sababu ya kuukuba sababu awali ....WALIUKATAA KABISAAAA....,na WARAKA HUO Usomwe week 6 kama ule wa awali....,Ikipita kimya kimya....WATAKUWA hawana tofauti na bumunda au Zitwe au Prof Lupumba.......NA NUSU YA WAUMINI WATAACHA KUSALI
Basi tunampongeza Rais Samia kuheshimu maoni ya Kanisa na tunalipongeza kanisa kuridhia Uwekezaji BandariniPunguza uzushi, walichotaka kwenye mkataba kimezingatiwa na ndio maana wakaudhuria, Ukomo wa mkataba, kujitoa wakati wowote, kutopewa gati zote kampuni moja nk.
Kujifariji si kosa kisheriaWalishatoa tamko lao. Leo wameitilia with na kwenda Ikulu. Hainaanishi wamekubaliana.
Wana akili zaidi kuliko tunavyofukiria. Ni mwanzo wa vita ya chini chini na mshindi ni mmoja tu - wao.
Tena na Kanzu zile vipedo😁Katika hili la bandari TEC wakubali kuchutama,
Wasiingie kichwa kichwa tena kwenye masuala ya siasa, mnaishia kujiaibisha mwishoni kama hivi, mnasemwa mpaka na Mrisho Mpoto 💔
Wacheze kwa step za uangalifu zaidi
acha ubishiKanisa Catholic Lina Karne zaidi ya 18! Wanaishigi na Wanasiasa wa rangi yeyote Ile!! Awanaga Papara. CCm awajafikisha ata miaka 70! Brazil huko Chama chenye miaka 80+ kilidondoka!! Yes Utawaibisha.ila Haibu yako itakuwa mara billions.
hachette.co.uk
Hachette UK › titles
The Vulture is a Patient Bird by James Hadley Chase
Sio CATHOLIC NNALOJIWA MIMI! ITALY WAS SO RUDE,😁ILA WALIVAA SHANGA SIKU MOJA! TODATE VATICAN NDO HQ YA WAROMA! HAPA ATA PAEDI ZA WANAWAKE NI KWA HISANI YA WATU WA marekani!! Dubai wamewatemesha ! Mme wainamia😁Kanisa lipo na lilikuwepo na litakuwepo!! Rais wenu Akuna anejuwa Kesho kama saa hizi atakuwa wapi-NASADIKI KANISA KATOLIKI LA ROMA🙏Basi tunampongeza Rais Samia kuheshimu maoni ya Kanisa na tunalipongeza kanisa kuridhia Uwekezaji Bandarini
TEC sambamba na Viongozi wengine wa kidini waliomba appointment kwa Rais na Rais akawakubalia na wakapeleka maoni yao na Rais akapokea tena mbele ya Kamati ya kupokea maoni ya marekebishoSio TEC tu hata mimi mkataba wa DP WORLD wa zamani sikuupenda. Ila huu wa sasa sioni shida Mbona mzuri tu. Ala hata Rais wetu Samia ameusoma na kurekebisha, watu wengi ham Fahamu Dr Samia ni msikivu na anawapenda watanzania wote
Kanisa KATOLIKI! Kama Makonda alikuwa Padre! Ata kama alikuwa anafufuwa wafu! Asingerudi Kundini!! Uwa tunamwomba MUNGU WETU atuletee mwingine😁Hilo ndo Kanisa. DP world !! Ni angamizo kwa CCM na ni Chukizo!! Paka rangi Sifia!! Ila kama ni Mauti ni Mauti tu! Kifo ni kifo ata kama jeneza lenu ni la dhahabuacha ubishi
kuruhusu Wanasiasa na wamiliki wa ICD kukodisha TEC kwny vita ya kupinga uwekezaji Bandari lilikuwa kosa kubwa kama lile la kuruhusu Benki ya kanisa kupitisha miamala ya Escrow 2014
sio kila kinachofanywa na TEC ndio msimamo wa dini, hilo ni Baraza tu na wakati mwingine husukumwa kwa njia mbalimbali zenye .maslahi binafsi na njia ya kusaidia ni kuwapinga wanapokosea na mkikubali kuendelea kuwa Makondoo mtalishushia umaarufu sana kama lilivyoshuka huko Ulaya ukilinganisha na miaka ya nyuma
Alichopokea labda kina msuta! Ale tu hela zao! Ila CCM yake aina Mwisho mzuri! Tusisifie eti tu CCM! Tumia akili Sio Matako😃na sio Ushabiki,CCM 2o25 Aipo sawa kwenuSio TEC tu hata mimi mkataba wa DP WORLD wa zamani sikuupenda. Ila huu wa sasa sioni shida Mbona mzuri tu. Ala hata Rais wetu Samia ameusoma na kurekebisha, watu wengi ham Fahamu Dr Samia ni msikivu na anawapenda watanzania wote
kwani kuna mtu kakwambia alikuwa anapinga Kanisa?Sio CATHOLIC NNALOJIWA MIMI! ITALY WAS SO RUDE,[emoji16]ILA WALIVAA SHANGA SIKU MOJA! TODATE VATICAN NDO HQ YA WAROMA! HAPA ATA PAEDI ZA WANAWAKE NI KWA HISANI YA WATU WA marekani!! Dubai wamewatemesha ! Mme wainamia[emoji16]Kanisa lipo na lilikuwepo na litakuwepo!! Rais wenu Akuna anejuwa Kesho kama saa hizi atakuwa wapi-NASADIKI KANISA KATOLIKI LA ROMA[emoji120]
Wewe umeiona na kuusoma?? Usilete Ushabiki! Huyu mama ni mzanzibar ! Atatuachia masala sisi tutabaki mwenyewe! Yeye kabaki na Madorali$huko kwake KazimkaziMABORESHO YA MKATABA
Wamebadilisha vipengere vyote tata…
1. Mkataba maximum miaka 30
2. Watalipa kodi zote za Serikali kwa mujibu wa Sheria
3. Wamewekewa performance key indicators na watakuwa accessed kila baada ya miaka 5
4. Serikali itachukua 60% ya mapato ya faida
5. Serikali inauwezo wa kuvunja mkataba muda wowote
6. Mkataba huu sio wa gati zote za Bandari ya Dar es Salaam gati ambazo hazipo kwenye mkataba huu zinatafutiwa Mwekezaji mwingine (hata huyu wa sasa)
Hongera Rais Samia kwa kuwa Raia Msikivu kama ulivyoaahidiMABORESHO YA MKATABA
Wamebadilisha vipengere vyote tata…
1. Mkataba maximum miaka 30
2. Watalipa kodi zote za Serikali kwa mujibu wa Sheria
3. Wamewekewa performance key indicators na watakuwa accessed kila baada ya miaka 5
4. Serikali itachukua 60% ya mapato ya faida
5. Serikali inauwezo wa kuvunja mkataba muda wowote
6. Mkataba huu sio wa gati zote za Bandari ya Dar es Salaam gati ambazo hazipo kwenye mkataba huu zinatafutiwa Mwekezaji mwingine (hata huyu wa sasa)
Hongera Rais Samia kwa kuwa Raia Msikivu kama ulivyoaahidi
toeni basi Waraka wa kujulisha Wafuasi wenu kuwa Rais kasikiliza madai yenu
Inajua wamewasilianaje hadi yule askofu Liberatus Sangu akawa kwenye hafla?msibadili gia angani
TEC ilitamka wazi haitaki uwekezaji Bandari
angalau Chadema wao walipinga vipengele vya Mkataba, TEC wao hawakutaka Muarabu apewe Bandari na hilo walitamka wazi mchana kweupe
Kama walihudhuria basi watakuwa wametenda dhambi hizi:-
*wamesaliti waraka wao waliousoma kwa majuma 6 mfululizo kupinga uwekezaji huo;:-
*wamepofushwa na fedha sh milioni 100 waliopewa hivi karibuni na rais Samia .
*wamedharau waumini wao. Kwann kama wameukubali waraka hawajapeleka mrejesho makanisani kwa majuma 6 kama walivyosoma waraka?
* wamepigwa kijembe cha waziwazi Kwasabb Mrisho Mpoto na makamu wa Rais Philip Mpango wamesikika wakisema "na waliokuwa wanapinga mkataba wa DP World, hivi sasa wanaukubali, wamealikwa na wapo hapa. Hakika kama waliokuwepo hawa TEC wamedhalilika.
Kama hawakuwepo, well and good. Nasubiria waraka wao mpya.
MCHAWI MPE MWANAO AKULELEKama walihudhuria basi watakuwa wametenda dhambi hizi:-
*wamesaliti waraka wao waliousoma kwa majuma 6 mfululizo kupinga uwekezaji huo;:-
*wamepofushwa na fedha sh milioni 100 waliopewa hivi karibuni na rais Samia .
*wamedharau waumini wao. Kwann kama wameukubali waraka hawajapeleka mrejesho makanisani kwa majuma 6 kama walivyosoma waraka?
* wamepigwa kijembe cha waziwazi Kwasabb Mrisho Mpoto na makamu wa Rais Philip Mpango wamesikika wakisema "na waliokuwa wanapinga mkataba wa DP World, hivi sasa wanaukubali, wamealikwa na wapo hapa. Hakika kama waliokuwepo hawa TEC wamedhalilika.
Kama hawakuwepo, well and good. Nasubiria waraka wao mpya.
KATOLIKI awanaga unafiki! Wakishasema WAMESEMA! UKIJA KIVYAKO WATAKUITIKIA ILA AWAABATIKISHI KAULI YAO- HAO NDO WAKATOLIKIInajua wamewasilianaje hadi yule askofu Liberatus Sangu akawa kwenye hafla?
Kuna majadiliano ambayo yamefanyika ambayo wewe layman huwezi kujua.Unadhani mama alienda kuonana na baadhi ya maaskofu burebure tu... hata kabla hajapitia kwa Cardinal mpya...?
Think big,to be the greatest.