Maaskofu wameitendea haki Katiba mpya - Warioba

Maaskofu wameitendea haki Katiba mpya - Warioba

Mbona mm nilikuwa kanisani anglikana leo padri hajaongelea katiba .mpya
 
Jinsi walivyosomewa waraka huo wasomewe pia Katiba Inayopendekezwa. Hivi hawa watumishi wakoje. Mbona Mitaguso yao ya Vatican I na II hadi ya African Synod sisi waumini hatukushirikishwa kuipigia kura. Kweli nimeamini na kwenye dini utawala wa kiimla unatawala. Sasa waumini kwa kuonyesha kukomaa kwenu kiroho na kimwili ipigie kura ya Ndiyo baada ya kuielewa Katiba Inayopendekezwa. Acha kukubali kila kitu kitokacho kwa hawa wazee. Wanaweza wakaamua kuwa kuanzia leo hakuna misa je mtafanyaje, mtawafuata. Ndo mana mnaambiwa akili za kuambiwa changanya na za kwako.
 
Sasa ccm na hiyo katiba yao mpya wanataka kuwaongoza watu wa dini ipi? Labda ile dini inayoua maalbino, wachawi na waganga wa kienyeji.
 
Hata hapa Dar leo tumesomewa yaani ni hapana tu.namimi nimetoa waraka kwa ukoo wangu wote na wa mke wangu ni hapana tu.
 
Jinsi walivyosomewa waraka huo wasomewe pia Katiba Inayopendekezwa. Hivi hawa watumishi wakoje. Mbona Mitaguso yao ya Vatican I na II hadi ya African Synod sisi waumini hatukushirikishwa kuipigia kura. Kweli nimeamini na kwenye dini utawala wa kiimla unatawala. Sasa waumini kwa kuonyesha kukomaa kwenu kiroho na kimwili ipigie kura ya Ndiyo baada ya kuielewa Katiba Inayopendekezwa. Acha kukubali kila kitu kitokacho kwa hawa wazee. Wanaweza wakaamua kuwa kuanzia leo hakuna misa je mtafanyaje, mtawafuata. Ndo mana mnaambiwa akili za kuambiwa changanya na za kwako.

Wewe nimnufaika wa mifumo mibovu ya nchi yetu rangi yako inaonekana.
 
mzee tunamshangaa anachong'ang'ani kitu gani yeye alishapewa heshima ya kuwa mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya katiba, sasa anadhani hiyo rasimu yake ndiyo ilitakiwa iwe basi isijadiliwe bungeni na iwe katiba mpya? Khaaaa aibu sana sana kwa huyo mzee

Kama maneno ya Komba Marehemu (R.I.P.) vile! Ukweli wa Maaskofu na Mzee Warioba mnayemchukia na uongo wa ccm kamwe haviwezi kukaa pamoja. Asante wasema ukweli
 
Jinsi walivyosomewa waraka huo wasomewe pia Katiba Inayopendekezwa. Hivi hawa watumishi wakoje. Mbona Mitaguso yao ya Vatican I na II hadi ya African Synod sisi waumini hatukushirikishwa kuipigia kura. Kweli nimeamini na kwenye dini utawala wa kiimla unatawala. Sasa waumini kwa kuonyesha kukomaa kwenu kiroho na kimwili ipigie kura ya Ndiyo baada ya kuielewa Katiba Inayopendekezwa. Acha kukubali kila kitu kitokacho kwa hawa wazee. Wanaweza wakaamua kuwa kuanzia leo hakuna misa je mtafanyaje, mtawafuata. Ndo mana mnaambiwa akili za kuambiwa changanya na za kwako.

Umeitwa kanisani? Umejipeleka mwenyewe. Kilichokupeleka?
 
Sasa ccm na hiyo katiba yao mpya wanataka kuwaongoza watu wa dini ipi? Labda ile dini inayoua maalbino, wachawi na waganga wa kienyeji.

Bakwata, nilimsikia shekh mattaka chanel ten akiisifia akiwataka wa bakwata waipigie kura ya ndio
 
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Warioba amesema amefurahishwa na uamuzi wa Tamko la Maaskofu wa Makanisa yote nchini ya kuikataa Katiba Pendekezwa.

Jaji Warioba amesema ni ukweli ulio wazi kwamba maoni mengi watanzania waliyotoa yamepuuzwa kwenye Bunge la Katiba la Samwel Sitta na badala yake kuingizwa maoni ya watawala.

Jaji huyo mstaafu amesema Tamko la Maaskofu kuomba muda zaidi wa kusoma katiba pendekezwa kabla ya kura ya maoni ni muafaka kabisa hasa ikizingatiwa viongozi wa dini ndiyo wenye waumini.

Tayari leo Jumapili Makanisa yote ya Kikatoliki nchi nzima umesomwa waraka wa kinabii wa kuikataa katiba pendekezwa kwani imebeba maoni ya chama kimoja tu cha CCM.Na waraka umesisitiza katiba hiyo ilipatikana kwa njia ya HILA kubwa.

Mwaka jana Shura ya Maimamu wa dini ya Kiislamu ndiyo ilikuwa taasisi ya kwanza ya dini kuikataa katiba Pendekezwa na kuwataka Waislam wote kupiga kura ya HAPANA



HIVI kwanini iliitwa Rasimu...na kwanini ilipelekwa Bunge Maalum.....tuliamin Rasimu sio kitabu cha dini lazma kipitiwe ndio maana kilipelekwa bunge maalum...kingineee..kwa busara za wajumbe wa bunge maalum zaidI ya 400 waliobaki bungeni kwa ajili ya watanzania na kwa pamoja waliipitisha kwa nguvu moja katiba inayopendekezwa iliyobaki na zaidi ya asilimia 80 ya maudhui ya yaliyokuwa kwenye rasimu na asilimia zilizobaki ziliingizwa kwa maana ya kuboreshwa...sasa nashangaa wanaosema maudhui ya rasimu ya warioba yalipuuzwa...au mlitaka iende kama ilivyokuwa...sasa logic ya kuwa na bunge maalum ipo wapi.....me naona kuna tatizo kwa wanaopinga hii kitu...kuna exaxtly a Specific issue waliokuwa wanaitaka "Serikali 3" hahahahahahahaha kingineee kinachoshangaza ni kuwa asilimia 61 ya maoni ya wazanzibar yalitaka serikali ya mkataba...mbona Tume ya warioba iliyapuuzaa...au yale hayakuwa maoni ya wananchi....

Ifike mahali tutumie akili zetu kuchambua mambo, na wewe Babu uliekuwa katika Tume ya Mabadiliko ya Katiba pumzikaa bhana tumekuchoka sana.
 
ni kwel huko nakanisa yote ya roman imesomwa? ngoja niulizie

Ndiyo imesomwa .
Mimi nilikua Msimbazi ikasomwa pale .
Iko vzr yaani hatuwezi kupigia Kura kitu tusichokijua....
 
Naomba niseme mimi ni mkiristo tena Mseminari safi, niliyefunzwa nikafunzika. Ila naomba niseme MAASKOFU ni wanafiki.
Wakati wa bunge la Katiba, hatukuona kiongozi yeyeto wa dini ya Kikristo amabye alitoka nje kuungana na UKAWA, inakuwaje leo wanasema Katiba ni ya chama kimoja? Naomba niseme karibia viongozi wote wa dini ni wanafiki tu. Kitu kimoja amacho naamini kuwa wanaweza kuwadanganya wanadamu lakini sio MUNGU, Sizungumzii tu katika hili la kupinga katiba bali katika mambo mengi. Mimi huwa nawaona ni wa kawaida sana.

Kama kweli wanamaono toka kwa MUNGU kwanini wasingesimama kipindi kile na kukemea kisawasawa? na wangewaamuru wanaowakilisha watoke.
Naomba nisimulie kitu kimoja.

Wakati tukiwa seminarini pale Mbalizi Siminari, tulikuwa na Mkuu wa seminari (RECTOR) kwa sasa ni marehemu alikuwa anasema kwamba, ikitokea KIRANJA amekupa adhabu, halafu ukaigomea, maana yake ni kwamba umemgomea RECTOR ambaye amemteua huyo kiranja, na kama umemgomea Rector maana yake umemgomea Askofu wa Jimbo ambaye amemteua huyo Rector kuwa hapo, na kwa maana hiyo umemgomea Kadinali na kwa maana hiyo umemgomea Papa(Baba Mtakatifu), na kwa maana hiyo hiyo umemgomea YESU KRISTO ambaye kamteua huyo Papa, na kwa maana hiyo umemgomea MUNGU MWENYEZI aliyemleta mwanaye mpendwa duniani. Hivyo wewe uliyemgomea kiranja adhabu hufai kuendelea kuwepo hapo seminari, zawadi kubwa unayopaswa kuzawadiwa ni kufukuzwa seminarini. Na nikujuze tu kuwa seminarini viranja wana nguvu na wanaogopwa sana.

Sasa katika hili la Maaskofu, je ni nani alipendekeza majina ya hao viongozi wa dini walioyeuliwa kwenye bunge la KATIBA? na walikuwa wanamuwakilisha nani?

Hapo hapo niunganishe na hadithi nyingine.
Kulikuwa na kaka angu, yeye alikuwa kanisa moja la kilokole, sisi wengine tukiwa ni RC. Na yeye kaka yetu alikuwa anatuona sisi kama ni wahuni na tumepoteza mwelekeo, sasa kuna siku akasema ameoteshwa na MUNGU kuwa dada fulani atakuwa ndo mke wake na huyo dada walikuwa wanasali kanisa moja, lakini sisi wahuni tukamwambia kaka huyo dada unayetaka kumuoa hajatulia, na sisi tumekumbana naye sana katika matukio kadhaaa, yeye akawa anabisha, ikawa ni ugomvi mkubwa sana katika familia, yeye akasisitiza ameonyeshwa na ROHO MTAKATIFU, Lakini ukweli ni kwamba alikuwa anashinikizwa na mchungaji wa hili kanisa maana huyo dada alikuwa ni ndugu wa huyo mchungaji, kama mjuavyo siku hizi watu wanamfuata na kumuamini mtu zaidi kuliko neno la MUNGU. basi kama familia tukaridhia, na mahari ikatolewa. Sasa tukiwa tunasubiri kuanza mipango ya lini harusi ifungwe, siku moja kaka kwa macho yake mwenyewe akamfumania huyo mchumba wake anafumuliwa MARINDA. Akajifanya kutuficha lakini siku zilivyokuwa zinakwenda akasema yeye hatamuoa, tukamuuliza kwanini akasema ROHO MTAKATIFU amemtokea kuwa yule sio mke, kumbuka hapo Mahari tayari tumetoa.
Binafsi nikamuuliza hebu tueleze huyo MUNGU wako ambaye leo anakuonyesha kijani halafu kesho anakuonyesha nyekundu.

Sasa hizi habari zinafanana na haya wanayoyafanya maaskofu leo hii.

Mkuu thread yako nimeisoma para ya kwanza tu nimegundua wewe sio mfatiliaji was mambo ya katiba. Ni hivi. Wale viongozi wa dini waliokuwamo bungeni hawakuteuliwa na taasisi za dini husika. Wale waliteuliwa na ccm. Majina yaliyopelekwa na taasisi hizo hayakupitishwa instead ccm wakaweka watu wao, hao kina kadiva,resembles etc.
 
mkuu thread yako nimeisoma para ya kwanza tu nimegundua wewe sio mfatiliaji was mambo ya katiba. Ni hivi. Wale viongozi wa dini waliokuwamo bungeni hawakuteuliwa na taasisi za dini husika. Wale waliteuliwa na ccm. Majina yaliyopelekwa na taasisi hizo hayakupitishwa instead ccm wakaweka watu wao, hao kina kadiva,resembles etc.

anafata mkumbo tuu wala hajui anachokisema anacopy na kupaste tuu. Muelimishe huyo aelewe.
 
Mseminari safi anakuwa padre maana lengo kuu la Seminari ni kuandaa mapadre,sasa we ulikuaje mseminari safi ukashindwa kuwa padre,ulikuwa hujui kuwa ukiwa seminari unaandaliwa kuwa padre.Wewe ni mseminari mnafiki,seminari kulikushinda.Anyway wenzako ni maaskofu safi ndo wameandika waraka.Wanasema muda wa kuisoma katiba uongezwe,sasa we unataka tupige kura bila kusoma? Usijifanye wewe pekee yako ndo umesoma seminari wengi wamesoma seminari ila wapo kimya.Unataka kutuaminisha kuwa kama maaskofu walibugi bungeni basi waendelee kutupoteza na siye,may be walibugi bungeni lakini sasa hivi wameona uhalisia na ukizingatia wawakilishi walikuwa wachache.
Naunga mkono muda usogezwe mbele tuisome kwanza kwa wale wenye kuielewa na wanaohitaji usaidizi basi wapate elimu ya kutosha

Mimi mwenyewe mseminari wa kaengesa achana na mbalizi hapa lakini kwa hili nawaumga mkono maaskofu wana point nyingi sana kwenye waraka wao
 
mimi binafisi tangu walipo nitolea nchi yangu TANGANYIKA nitajiandikisha kisha kura ya HAPANA kwa katiba pendekezwa,
wakirudisha kipengele cha serikali tatu na piga kura ya NDIYOOOOOOOOOOOOOO
 
Mbona mm nilikuwa kanisani anglikana leo padri hajaongelea katiba .mpya

Labda ulichelewa kufika hapo kanisani kwenu. Huku morogoro huo waraka umesomwa makanisa yote ya Anglikan. Na tumeambiwa tutapewa copy kwa wanaohitaji.
 
Naomba niseme mimi ni mkiristo tena Mseminari safi, niliyefunzwa nikafunzika. Ila naomba niseme MAASKOFU ni wanafiki.
Wakati wa bunge la Katiba, hatukuona kiongozi yeyeto wa dini ya Kikristo amabye alitoka nje kuungana na UKAWA, inakuwaje leo wanasema Katiba ni ya chama kimoja? Naomba niseme karibia viongozi wote wa dini ni wanafiki tu. Kitu kimoja amacho naamini kuwa wanaweza kuwadanganya wanadamu lakini sio MUNGU, Sizungumzii tu katika hili la kupinga katiba bali katika mambo mengi. Mimi huwa nawaona ni wa kawaida sana.

Kama kweli wanamaono toka kwa MUNGU kwanini wasingesimama kipindi kile na kukemea kisawasawa? na wangewaamuru wanaowakilisha watoke.
Naomba nisimulie kitu kimoja.

Wakati tukiwa seminarini pale Mbalizi Siminari, tulikuwa na Mkuu wa seminari (RECTOR) kwa sasa ni marehemu alikuwa anasema kwamba, ikitokea KIRANJA amekupa adhabu, halafu ukaigomea, maana yake ni kwamba umemgomea RECTOR ambaye amemteua huyo kiranja, na kama umemgomea Rector maana yake umemgomea Askofu wa Jimbo ambaye amemteua huyo Rector kuwa hapo, na kwa maana hiyo umemgomea Kadinali na kwa maana hiyo umemgomea Papa(Baba Mtakatifu), na kwa maana hiyo hiyo umemgomea YESU KRISTO ambaye kamteua huyo Papa, na kwa maana hiyo umemgomea MUNGU MWENYEZI aliyemleta mwanaye mpendwa duniani. Hivyo wewe uliyemgomea kiranja adhabu hufai kuendelea kuwepo hapo seminari, zawadi kubwa unayopaswa kuzawadiwa ni kufukuzwa seminarini. Na nikujuze tu kuwa seminarini viranja wana nguvu na wanaogopwa sana.

Sasa katika hili la Maaskofu, je ni nani alipendekeza majina ya hao viongozi wa dini walioyeuliwa kwenye bunge la KATIBA? na walikuwa wanamuwakilisha nani?

Hapo hapo niunganishe na hadithi nyingine.
Kulikuwa na kaka angu, yeye alikuwa kanisa moja la kilokole, sisi wengine tukiwa ni RC. Na yeye kaka yetu alikuwa anatuona sisi kama ni wahuni na tumepoteza mwelekeo, sasa kuna siku akasema ameoteshwa na MUNGU kuwa dada fulani atakuwa ndo mke wake na huyo dada walikuwa wanasali kanisa moja, lakini sisi wahuni tukamwambia kaka huyo dada unayetaka kumuoa hajatulia, na sisi tumekumbana naye sana katika matukio kadhaaa, yeye akawa anabisha, ikawa ni ugomvi mkubwa sana katika familia, yeye akasisitiza ameonyeshwa na ROHO MTAKATIFU, Lakini ukweli ni kwamba alikuwa anashinikizwa na mchungaji wa hili kanisa maana huyo dada alikuwa ni ndugu wa huyo mchungaji, kama mjuavyo siku hizi watu wanamfuata na kumuamini mtu zaidi kuliko neno la MUNGU. basi kama familia tukaridhia, na mahari ikatolewa. Sasa tukiwa tunasubiri kuanza mipango ya lini harusi ifungwe, siku moja kaka kwa macho yake mwenyewe akamfumania huyo mchumba wake anafumuliwa MARINDA. Akajifanya kutuficha lakini siku zilivyokuwa zinakwenda akasema yeye hatamuoa, tukamuuliza kwanini akasema ROHO MTAKATIFU amemtokea kuwa yule sio mke, kumbuka hapo Mahari tayari tumetoa.
Binafsi nikamuuliza hebu tueleze huyo MUNGU wako ambaye leo anakuonyesha kijani halafu kesho anakuonyesha nyekundu.

Sasa hizi habari zinafanana na haya wanayoyafanya maaskofu leo hii.

Kwa hiyo hoja yako unataka wawakilishi wa dini nao wangetoka nje ya bunge kususia kikao kama UKAWA? Ndiyo unataka kutushawishi tuamini kama ndiyo ungekuwa uamuzi sahihi? Kumbuka lile bunge lilitekqa na wanasiasa, ambao waliingia bungeni kujitengenezea ma shavu. kenya walikubaliana kuwa wale wote watakaoingia bunge la katiba hwatojishughulisha kwenye shughuli za kisiasa kwa muda wa kiaka saba tangu katiba ipatikane. Wawakilishi wa dini wangetoka pamoja na UKAWA unategemea matusi ambayo yengetukanwa na kina marehemu Komba yangekuwaje? Hii ndiyo hatua sahihi. Hawakutoka nje, ila kwa kuwa waliona kuna uhuni, ndiyo maana waliacha wamalize wanasiasa huku wakijua wao wana mahali pa kuongelea na ndiyo hapa sasa. katiba ni maridhiano wala siyo ubabe na utemi. Tangu lini Chenge akatunga katiba yenye maadili? Hata mwanangu wa darasa la tatu amekataa juzi kwa utashi wake
 
Back
Top Bottom