THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
- Thread starter
-
- #21
Leo kawapiga Polisi kwamba ni wala rushwa, wakati hao hao Polisi ndio wanaombeba kudhibiti wapinzani.
Kajiamini sana, mwenzake Magufuli angalau aliwalinda Polisi na kusema rushwa wanayochukua ni hela ya kupiga brashi viatu tu.
Kama nawaona vile Polisi wanavyom mind kichinichini.
Siku kikiwaka atawatafuta.
Watu walio survive kwa magu sijui kama watashindwa sasa.Ao maaskofu walimsema sana Magufuli na waraka zao! Na bado kuna waraka utatoka pia.
Huyo aliyejifunga kitenge kiunoni ni nani?
Mkuu,Mjinga usimpe time
Kinafichwa ndani ya dharau za kimyakimyaHuyu rais huenda akawa na kiburi kuliko Magufuli, ila anajua kukificha vizuri tu.
Na watu hawajamstukia tu.
Acha wetu watoe maoni yao brother, serikali ni kitu kinachoongozwa na watu japo kuna sheria na kanuni lakini binadamu siku zote hana ukamilifu.
Tumeona serikali za nyuma zilivyo tutendea na kutuacha kwenye umaskini wa aina yake, sio ajabu hata hii serikali nayo ikawa kama zile zilizopita, viashiria vya kutosha vimeshadhihirika.
Bahati iliyo njema watu nao wanazidi kupambazukiwa ufahamu na wanajua jema na lisilo jema, ukiona sauti zimekua kubwa na kali kutoka kwa wananchi ujue wamekaribia kwenye kilele cha uvumilivu, kituo kitakacho fuata ni kuwa tayari kwa lolote!
Rai kwa viongozi na serikali kwa ujumla waache wafu waongee, acha watoe sumu yote, lakini wasijisahau kwamba mapambazuko yamekaribia sana.
Sio kiburi ni jeuri na dharauHuyu rais huenda akawa na kiburi kuliko Magufuli, ila anajua kukificha vizuri tu.
Na watu hawajamstukia tu.
Alisema mkimpigia kura au msimpompigia kura ana uhakika wa kushinda uchaguzi.Kinafichwa ndani ya dharau za kimyakimya
Kinafichwa ndani ya dharau za kimyakimya
Kuna suala la jinsia yake pia.Huyu rais huenda akawa na kiburi kuliko Magufuli, ila anajua kukificha vizuri tu.
Na watu hawajamstukia tu.
Alisema mkimpigia kura au msimpompigia kura ana uhakika wa kushinda uchaguzi.
Hii ni kauli ya kiburi kikubwa sana ambayo sikumbuki hata Magufuli kuitoa.
Mwanasiasa wakati wote anatakiwa kujiweka chini ya wapiga kura wake na kuwaomba kura.
Huyi anawaambia kura zenu si mali kitu, sijui alishajihakikishia uwezo wa kuiba kura?
Magufuli lazima awalinde polisi si alikua anawatuma kudhibiti upinzani ? Huyu mama hakopeshi anawachana kwa sababu hawatumii kama toilet paperLeo kawapiga Polisi kwamba ni wala rushwa, wakati hao hao Polisi ndio wanaombeba kudhibiti wapinzani.
Kajiamini sana, mwenzake Magufuli angalau aliwalinda Polisi na kusema rushwa wanayochukua ni hela ya kupiga brashi viatu tu.
Kama nawaona vile Polisi wanavyom mind kichinichini.
Siku kikiwaka atawatafuta.
Hapa umeongea kama vile akili zako umeziweka kwenye mfuko wa shati ili baadae uje uzitumie kuvukia Barabara,kwahiyo kama kuna mtu anafanya makosa kama vile kula rushwa asisemwe?Leo kawapiga Polisi kwamba ni wala rushwa, wakati hao hao Polisi ndio wanaombeba kudhibiti wapinzani.
Kajiamini sana, mwenzake Magufuli angalau aliwalinda Polisi na kusema rushwa wanayochukua ni hela ya kupiga brashi viatu tu.
Kama nawaona vile Polisi wanavyom mind kichinichini.
Siku kikiwaka atawatafuta.
Kuna suala la jinsia yake pia.
Usikute anajihisi kuwa anapingwa kwa sababu yeye ni mwanamke.
Rejea kauli zake za kwamba yeye ni mwanamke, mama, n.k.
Pengine ana hicho ki complex cha kujiona anasakamwa kisa jinsia yake na matokeo yake anazidisha kiburi kwa kutumia hisia kuliko akili.
Angekuwa anatumia akili wala asingepata shida kujielezea.
Kuna tofauti kubwa sana kati ya jana na leo na hata kesho pia.
Pia usije ukafananisha mtazamo na imani ya wananchi dhidi ya uongozi wa Magufuli na huu tulio nao.
Hizi kauli ulizozitumia hapa kama mtabiri,zinakufanya uonekana kama mtoto wa darasa la pili,Kuna suala la jinsia yake pia.
Usikute anajihisi kuwa anapingwa kwa sababu yeye ni mwanamke.
Rejea kauli zake za kwamba yeye ni mwanamke, mama, n.k.
Pengine ana hicho ki complex cha kujiona anasakamwa kisa jinsia yake na matokeo yake anazidisha kiburi kwa kutumia hisia kuliko akili.
Angekuwa anatumia akili wala asingepata shida kujielezea.