Maaskofu wazidi kutoa Maoni, sasa ni zamu ya Askofu Mstaafu Stephen Munga

Maaskofu wazidi kutoa Maoni, sasa ni zamu ya Askofu Mstaafu Stephen Munga

Mtatimie kila kete lakini hamtashinda enyi mafisadi wa bandari. Mtamuibua kila mtu mkidhani atawasaidia lakini mama akiamua jambo kwa maslahi ya wengi Huwa harudigi nyuma never and ever again.
Maslahi ya wengi wepi?
Mbona kama unasema kinyume chake?
Yaani wengi hawataki hata kuusikia huo mkataba, halafu utakuwaje na maslahi kwao?
Inamaana Watanzania ni wajinga kiasi hicho?
 
Dk. S.Munga ametoa maoni yake kuhusu mkataba wa bandari kama raia yeyote yule wa Tz, na sio kama Askofu. Ana haki kufanya hivyo.
Kuingiza udini katika uzi huu ni kumkosea Dk. Munga,
ambaye hajawahi kubagua dhehebu au dini nyingine. Anaheshimu na kuheshimiwa na mashehe wengi. Alishirikiana nao vizuri katika mabaraza ya amani kimkoa na kitaifa.
Yaelekea wana CCM wengi wanaamini kama andiko la msahafu iliyokuwa kauli mbiu yao "zidumu fikra za mwenyekiti." M/Kt na raisi akiamua jambo kama hilo la DP World lipite bila kuhojiwa.
 
Rais anapaswa kuambiwa ukweli kwa sababu nae ni binadamu na anakosea kama binadamu wengine asikilize asizibe masikio
 
Maslahi ya wengi wepi?
Mbona kama unasema kinyume chake?
Yaani wengi hawataki hata kuusikia huo mkataba, halafu utakuwaje na maslahi kwao?
Inamaana Watanzania ni wajinga kiasi hicho?
Hawajui tu. Kumbuka watanzania wengi ni bendera fuata upepo. Hawajui kama bandarini kulikuwa kumejaa uozo
 
Kwenye swala la Mwekezaji Mwarabu sitoshangaa Kanisa Kupiga kelele,kama Azam tu wanalialia na media yake wakidai ana Udini vipi huyo Mwarabu mwenyewe

Teh teh teh,

Wanasema eti zile tamthilia za kituruki anazoonesha Azam zinadhalilisha Ukristo.

Jamaa wanashida sana.
 
Maslahi ya wengi wepi?
Mbona kama unasema kinyume chake?
Yaani wengi hawataki hata kuusikia huo mkataba, halafu utakuwaje na maslahi kwao?
Inamaana Watanzania ni wajinga kiasi hicho?

Hao wengi wasiotaka ni wepi??

Hawa wa Jamii forum, Instagram na Twitter??

Wewe unawajua wananchi halisi wanapatika kwenye social media??
 
RC wa morogoro anasema hao sio wajomba zetu
Sawa kabisa, labda si wajomba zako, mimi ni ndugu zangu kabisa hao. Tena kwa amri kabisa.

Tena RC wa Morogoro haelewi kuwa baba'ke mzazi nilikutana nae kwa mara ya kwanza kwa ndugu zetu Waarabu alipokwa waziri.
 
Back
Top Bottom