Bhisumbinyama
JF-Expert Member
- Dec 26, 2019
- 797
- 581
Hayo ni tukiwa na dola ya kiislamu ambapo kila kitu kinakwenda islamically.Hata dini yake yenyewe inamkataza kuwa kiongozi katika nafasi aliyopo .
Kwa mujibu wa dini Yako unaruhusiwa kuongozwa na mwanamke? 🤣🤣🤣