Maaskofu wazidi kutoa Maoni, sasa ni zamu ya Askofu Mstaafu Stephen Munga

Maaskofu wazidi kutoa Maoni, sasa ni zamu ya Askofu Mstaafu Stephen Munga

Kuna suala la jinsia yake pia.

Usikute anajihisi kuwa anapingwa kwa sababu yeye ni mwanamke.

Rejea kauli zake za kwamba yeye ni mwanamke, mama, n.k.

Pengine ana hicho ki complex cha kujiona anasakamwa kisa jinsia yake na matokeo yake anazidisha kiburi kwa kutumia hisia kuliko akili.

Angekuwa anatumia akili wala asingepata shida kujielezea.
Ndiyo matatizo ya kuwa na rais mke wa tatu haya.

Kila kitu anaona anadogoshwa na wakewenza, hata kama hawapo.
 
Ukilijua KANISA au msikiti
huwezi beza wanachoshauri ,kanisa duniani nizaidi ya jeshi


Mziki wakanisa ,kamuulize rais DRcongo Kabila ,baada ya kumkataa

Akijikuta anamkabidhi taifa ,mtu asiyesahihi kwake

Kama kanisa dunian ni Zaid ya jeshi why halikushiriki katika kupigania uhuru wa nchi hii??

Badala yake iliungana na wakoloni,

Kanisa halina hadhi hiyo ya Jeshi unayosema.
 
Ndiyo matatizo ya kuwa na rais mke wa tatu haya.

Kila kitu anaona anadogoshwa na wakewenza, hata kama hawapo.

That's your problem

Ndiyo keshakuwa Rais sasa utafanyaje??

Hata mjumbe wa nyumba kumi hujawahi kuwa Leo unabeza mamlaka ya RAIS SAMIA.
 
Magufuli lazima awalinde polisi si alikua anawatuma kudhibiti upinzani ? Huyu mama hakopeshi anawachana kwa sababu hawatumii kama toilet paper
Aaah, wapi.

Hujaona Dr. Nshala kaitwa kuhojiwa na Polisi kwa kujadili mkataba wa bandari, baada ya agizo la waziri.

Unafikiri waziri anaweza kuagiza polisi wasilaze damu bila ya kupata nod ya rais?
 
Kinachotakiwa ni facts, ziwe zimetoka kwa Rais, waziri, askofu, mufti, mchungaji, padre, shehe, raia au mwananchi wa kawaida ni muhimu.
Tujenge taifa lenye watu wanaotumia akili zao badala ya kujigawa kwa dini, kabila, rangi, cheo au hali ya kiuchumi.
Paka mzuri ni yule anayakamata panya, siyo rangi au ukubwa wake.
 
Ukilijua KANISA au msikiti
huwezi beza wanachoshauri ,kanisa duniani nizaidi ya jeshi


Mziki wakanisa ,kamuulize rais DRcongo Kabila ,baada ya kumkataa

Akijikuta anamkabidhi taifa ,mtu asiyesahihi kwake
Kanisa tunaliheshimu na msikiti tunauheshimu , serikali haina dini hao watakaotaka kuingiza uislam na ukristo serikali inajuwa namna ya kuwashughulikia hii si mara ya kwanza chokochoko kama hizi kuanzishwa.
 
Nchini Tanzania, taasisi za kidini zinaaminika mno na raia kuliko vyombo vya dola...........

Kauli za mufti wa BAKWATA au Kadinali wa KATOLIKI zina nguvu mno kuliko hata amri ya mahakama kuu ya Tanzania. Kiufupi ni kwamba hakuna mtawala atakayefanikiwa kuitawala vizuri Tanzania bila kuwepo maelewano na viongozi wa dini hizi mbili. Tangu nchi inapata uhuru CCM imebebwa na waislamu na wakatoliki, kupitia COMPROMISE iliyofanywa na wakina Nyerere baada ya uhuru. Huu ndiyo ukweli mchungu.

Raisi anaweza akawa sahihi na viongozi wa dini wakawa hawako sahihi, au viongozi wa dini wanaweza wakawa sahihi na Raisi hayuko sahihi. Akitunisha misuli na kutotaka kufanya mazungumzo na hawa watu muhimu nchini ili kufikia hatma ya mzozo, kwasababu tu yeye anashikilia dola na anaungwa mkono na watu wa dini yake, basi anawweza kujikuta amekalia kuti kavu. Maraisi woteee kuanzia Nyerere waliufahamu huu ukweli, kwamba Tanzania siyo nchi ya dini moja hata kama waumini wenzako watakuunga mkono asilimia zote.​
 
Nchini Tanzania, taasisi za kidini zinaaminika mno na raia kuliko vyombo vya dola.

Kauli za mufti wa BAKWATA au Kadinali wa KATOLIKI zina nguvu mno kuliko hata amri ya mahakama kuu ya Tanzania. Kiufupi ni kwamba hakuna mtawala atakayefanikiwa kuitawala vizuri Tanzania bila kuwepo maelewano na viongozi wa dini hizi mbili. Tangu nchi inapata uhuru CCM imebebwa na waislamu na wakatoliki, kupitia COMPROMISE iliyofanywa na wakina Nyerere baada ya uhuru. Huu ndiyo ukweli mchungu.

Raisi anaweza akawa sahihi na viongozi wa dini wakawa hawako sahihi, au viongozi wa dini wanaweza wakawa sahihi na Raisi hayuko sahihi. Akitunisha misuli na kutotaka kufanya mazungumzo na hawa watu muhimu nchini ili kufikia hatma ya mzozo, kwasababu tu yeye anashikilia dola na anaungwa mkono na watu wa dini yake, basi anawweza kujikuta amekalia kuti kavu. Maraisi woteee kuanzia Nyerere waliufahamu huu ukweli, kwamba Tanzania siyo nchi ya dini moja hata kama waumini wenzako watakuunga mkono asilimia zote.



Serikali ya nchi hii ina mkono mrefu hakuna shehe wala askofu anaeweza kutoa maelekezo yeyote kwa serikali. Serikali inasikiliza na kuheshimu maoni ya viongozi wa dini lakini kamwe hakuna dini itapanda kichwani mwa serikali hiyo msahau. Never
 
Nchini Tanzania, taasisi za kidini zinaaminika mno na raia kuliko vyombo vya dola...........

Kauli za mufti wa BAKWATA au Kadinali wa KATOLIKI zina nguvu mno kuliko hata amri ya mahakama kuu ya Tanzania. Kiufupi ni kwamba hakuna mtawala atakayefanikiwa kuitawala vizuri Tanzania bila kuwepo maelewano na viongozi wa dini hizi mbili. Tangu nchi inapata uhuru CCM imebebwa na waislamu na wakatoliki, kupitia COMPROMISE iliyofanywa na wakina Nyerere baada ya uhuru. Huu ndiyo ukweli mchungu.

Raisi anaweza akawa sahihi na viongozi wa dini wakawa hawako sahihi, au viongozi wa dini wanaweza wakawa sahihi na Raisi hayuko sahihi. Akitunisha misuli na kutotaka kufanya mazungumzo na hawa watu muhimu nchini ili kufikia hatma ya mzozo, kwasababu tu yeye anashikilia dola na anaungwa mkono na watu wa dini yake, basi anawweza kujikuta amekalia kuti kavu. Maraisi woteee kuanzia Nyerere waliufahamu huu ukweli, kwamba Tanzania siyo nchi ya dini moja hata kama waumini wenzako watakuunga mkono asilimia zote.​
Tafadhali usiusemee Uislam kama huuelewi. Tuulize Waislam tukufahamishe.

kauli ya mufti wa bakwata au Sheikh yeyote yule, ambayo ipo nje ya Uislam haina nguvu kabisa kwa Waislam, hatutaikubali.

kauli ya yeyote mradi isikiuke misingi ya imani za watu inakubalika Kiislam. hata kauli yako ikiwa kwenye haki, uwe usiwe Muislam tutaikubali, ikiwa nje ya haki hatutaikubali.
 
Straight to ignore list, kuanzia hapa sitaona post zako za kichawa.
Kama kawaida yako,ukiishiwa hoja au ukizidiwa unakimbilia sijui ignore list,huo ni udhaifu mkubwa sana,

Hata Mimi nilishakubana ukaishiwa hoja ukakimbilia eti sijui kuniweka igore list,kama unataka kupost bila kukosolewa,nenda Fesibuku ukaendelee ku like mitindo ya nywele na madela.
 
Back
Top Bottom