Bhisumbinyama
JF-Expert Member
- Dec 26, 2019
- 797
- 581
Hayo ni tukiwa na dola ya kiislamu ambapo kila kitu kinakwenda islamically.Hata dini yake yenyewe inamkataza kuwa kiongozi katika nafasi aliyopo .
Kwa mujibu wa dini Yako unaruhusiwa kuongozwa na mwanamke? π€£π€£π€£
Ambapo Rais Samia ni matokeo ya kuiba kura pia...Kwa hivyo unakubali Magufuli aliiba kura na kupanga wabunge?
Hakuna asiyetaka kukosolewa ila unatakiwa ukosoe kwa lugha ya staha na sio matusi,dharau,hate speech,racism...Na kama kuna mtu anataka kuwa kiongozi bila kukosolewa,aachie uongozi awe kiongozi wa familia yake.
Maaskofu kazi yao ni ya kitume kazi kubwa ni kuonya na kurekebishaAo maaskofu walimsema sana Magufuli na waraka zao! Na bado kuna waraka utatoka pia.
Wewe hujui unachokiongeaMaaskofu wamumizwa sana na hili la bandari kuwekewa udhibiti.
Mama haingiliki.
Hivi Mpango roho inamuuma sana, hana la kufanya tu.
Hebu ongea wewe unachokijua tukusome.Wewe hujui unachokiongea
Mtanganyika yeyote mwenye akili timamu hawezi kufurahia kuona kiongozi mbatata akiuza rasilimari za nchi kama ufanyavyo hapa wewe ajuza ππMaaskofu wamumizwa sana na hili la bandari kuwekewa udhibiti.
Mama haingiliki.
Hivi Mpango roho inamuuma sana, hana la kufanya tu.
Mtanganyika yeyote mwenye akili timamu hawezi kufurahia kuona kiongozi mbatata akiuza rasilimari za nchi kama ufanyavyo hapa wewe ajuza ππ
Aaah, hao ni chui ndani ya vazi la kondoo.Maaskofu kazi yao ni ya kitume kazi kubwa ni kuonya na kurekebisha
wacha kujaza watu ujinga uliojazwa nao.Mtanganyika yeyote mwenye akili timamu hawezi kufurahia kuona kiongozi mbatata akiuza rasilimari za nchi kama ufanyavyo hapa wewe ajuza ππ
Aliambiwa Tubu . Akaleta kiburi hatimaye tukafunika tuta . Then anatokea mtu anasema kufa ni ahadi wote tutakufa πππ
Udini umekujaa mjinga weweAaah, hao ni chui ndani ya vazi la kondoo.
SureBandari ni ya Watanganyika.. Msituondoe relini na haya ma Uzi ya kufunika nanl kupotosha ukweli kwamba wajomba wamepewa Bandari kiulaini....wamegawiwa
No to DPW No to Neo-Colonialism.
Bandari ni ya Watanganyika.. Msituondoe relini na haya ma Uzi ya kufunika nanl kupotosha ukweli kwamba wajomba wamepewa Bandari kiulaini....wamegawiwa
No to DPW No to Neo-Colonialism.
Mkuu naona umepiga panapouma.Kwenye swala la Mwekezaji Mwarabu sitoshangaa Kanisa Kupiga kelele,kama Azam tu wanalialia na media yake wakidai ana Udini vipi huyo Mwarabu mwenyewe
Huyu basha ako mdini hana mpya