LGE2024 Maazimio ya mkutano wa Kamati Kuu ya CHADEMA baada ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Fuatilia kipindi ccm wananunua wabunge na madiwani wa CDM,tone yake,body language I mean facial expression, hakuakisi uzito wa lile jambo wakati wanachama walikwa na hasira kuna wengine walitamani hata kuwakata mapanga wale waliojiuza ila yeye alikuwa normal sana tena sanaaaa.
 
Miaka mitano hatukutoa ushirikiano wowote kwa Wenyeviti wa Mitaa mbona hatujadhurika na tunaendelea kupeta.
 
I see.
 
Miaka mitano hatukutoa ushirikiano wowote kwa Wenyeviti wa Mitaa mbona hatujadhurika na tunaendelea kupeta.
Na ilivyokuwa hamkutoa ushirikiano wowote kwa hao wenyeviti wa mtaa , HAO WENYEVITI WALIDHURIKA AU KUPUNGUKIWA NINI KWA KUKOSA USHIRIKIANO WENU?!.
Hawakudhurika wala kupungukiwa chochote kwa sababu nchi inao raia wazalendo kama sisi ambao tuliwapa ushirikiano na tutaendelea kuwapa ushirikiano daima.
NYINYI ENDELEENI KUSUSA NA SISI TUTAENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA VIONGOZI WA NCHI YETU.
 
Anasema ukitaka mhuri wa mwenyekiti mtaani ususie kama ni dili uiache πŸ˜‚πŸ˜‚
Wanachokifanya chadema ni michezo ya kitoto.
Wao wasusie tu, sisi tutaendelea kutoa ushirikiano kwa viongozi wetu wa mitaa,Kata,wilaya ,mikoa na na taifa kwa ujumla!.
 
Kikubwa nilichoelewa Mbowe bado ni kijana mbichi Uenyekiti haachii ng'ooo! Tumpigie makofi mwenyekiti wetu wa maishaπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒ
CHADEMA ni ya Mbowe na anatamba nayo🀣🀣🀣
 
Mbowe apumzike aachie na wengine.

Aina ya siasa za Mbowe zimeonyesha kugonga mwamba mbele ya CCM.

Ni wakati wa yeye kukaa pembeni abaki kama mshauri mkuu, siasa za aina yake kuitoa CCM ni ndoto maana hawako tayari kutoka kwa mtindo huo.

Mimi sikuamini kama wangeshiriki uchaguzi mwingine wowote bila katiba mpya na tume huru baada ya upuuzi mkuu wa 2020.

Pia kuhusu maridhiano ya Samia ule ulikuwa ni utapeli, huwezi kufanya maridhiano wakati kuna wanachama wako wengi tu wako gerezani kwa kesi za kubumba za kisiasa kutokana na upuuzi wa 2020 .
 
hakuna jipya lililoongelewa zaidi ya ku copy na ku paste ya nyma ameshachoka huyo awaachie wenye nguvu najuwa hata wewe unajuwa lakini kwakuwa ni chawa wake huwezi kukubali
Mimi najua ila siyo najuwa. Nchi ina Wanyamulenge kibao.
 
Chawa happyxxx ktk frustations za kufa mtu..

Au umetoka usingizini, ukakuta notification ya mada hii na bila hata kufikiri vyema ukajiandikia zako...?

Chawa sometimes punguzeni bangi mnazokula kutoa aibu ili mkateke na kutesa raia wenzenu bila sababu...!!

Mbowe hana jipya!!?............ Huko kwenu mna jipya gani by the way...?
 
Wewe una jipya gani??????
 
Mzee Warioba alitangulia kuwapa desa lakini bado wamefeli kwa kuja na maazimio yasiyo na nguvu yoyote

Warioba aliposema waziri wa TAMISEMI ameenda kinyume na maagizo na maelekezo ya viongozi wa CCM walitakiwa watembee humo humo.

Warioba ni mtu mkubwa sana, ni mwana CCM mkongwe. Kutamka yale aliyotamka kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa ilikuwa ni credit kwa watu wote wapenda haki na wapinzani walitakiwa kupenya humo humo

Warioba kusema serikali imeenda kinyume na chama cha CCM kwa kuengua wagombea na kuandikisha wapiga kura feki na kupiga kura feki CHADEMA walikuwa wamepewa desa la maana kutembea nalo
 
CCM hawataki ustaarab; wana siasa za kilaghai hawa dawa yao ni kwenda nao ki mpera mpera...yaani weka ugoko weka chuma ni kuwapelekesha mwanzo mwisho - hiyo number 7 na 10 itawafaa saana.
 
Ni msingi umeweka kama adidu rejea kwa siku zijazo . Nawapongeza Sana chadema kwa kufanya press hii . Aidha chadema wanatunza amani ya nchi kuliko mjuavyo . Wanachofanyiwa hakivumiliki sehemu nyingine . Ila Mungu anaenda kuwagonganisha ndani ya chama Chao na chadema wataipenda baadaye ,mark my words
 
Kamati imekubal
kamati kuu imekubaliana ya kwamba Mzee Mbowe ataendelea kuwa Mwenyekiti hadi hapo atakapoamua vinginevyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…