LGE2024 Maazimio ya mkutano wa Kamati Kuu ya CHADEMA baada ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Mbowe must go
 
Nibsahihl
 
Jipya analo mamayenu
 
Aondoke yeye na wapambe wake wote anaoita kamati kuu ao si ndio alikuwa anaenda nao ikulu?
Kisa wewe mpumbavu wa ccm umesema, chadema haiendeshwa na wapumbavu wa ccm nendeni tadea,nld,tlp na matakataka mengine.
 
hakuna jipya lililoongelewa zaidi ya ku copy na ku paste ya nyma ameshachoka huyo awaachie wenye nguvu najuwa hata wewe unajuwa lakini kwakuwa ni chawa wake huwezi kukubali
Jipya nenda kashangilie janabi anataka kurithi kitu Cha ntungulile.
 
Nyumbu kwa porojo tuu hamjambo. Sijui akili zitawajia lini kujua haya matamko ya miaka yote na hayana la maana zaidi ya vikao vya kugawana ruzuku tuu.
Sasa hapo tamko jipya ni lipi?
Nyumbu hovyo kabisa.
 
Ni
Nyumbu kwa porojo tuu hamjambo. Sijui akili zitawajia lini kujua haya matamko ya miaka yote na hayana la maana zaidi ya vikao vya kugawana ruzuku tuu.
Sasa hapo tamko jipya ni lipi?
Nyumbu hovyo kabisa.
Ni kula ruzuku tu ! Nashauri ruzuku zifutwe kwenye vyama VYOTE ili tujengewe miundombinu kwa jamii tu.
 
...... too late!!!

Ikulu covenant for 2025 accomplished and sealed.
 
Wenzio wanzio
Wenzio Wanakupumulia
 
Wamekosa amani na chama chao kimewatema totally.
 
Unakumbuka mlisusia uchaguzi🀣🀣🀣 Maneno haya si mageni kwa CDM labda kwa mgeni....
Hakuna aliyesusia uchaguzi bali mbinu chafu za Magufuri,Mahera na Ndugai ndizo zilizotumika kuchafua uchaguzi.
 
Kamati kuu imeazimia kuwa Jumuiya ya kimataifa na taasisi zake wachukue hatua dhidi ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuendelea kuminya Demokrasia na kutokuwepo kwa uchaguzi huru, haki na za kuaminika nchini.πŸ“ŒπŸ”¨
Hili halijaanza leo, Tundu Lissu alishaishitaki serikali ya CCM mpaka UN so haya yanafanyika kila mara na hayana effect yoyote
 
hakuna jipya lililoongelewa zaidi ya ku copy na ku paste ya nyma ameshachoka huyo awaachie wenye nguvu najuwa hata wewe unajuwa lakini kwakuwa ni chawa wake huwezi kukubali
Naunga Mkono hoja yako

Mimi nilijua ataazimia kuwa Tususie Uchaguzi kimatendo kabisa

Lakini aliyoyaongea yameshazoeleka na hayana jipya

Watu watamtetea tu lakini huo ndio ukweli
 
Yaani hadi anatia huruma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…