gifted mind
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 344
- 202
Sasa kwny rice cooker mpishi sio ww hapo ni hiyo rice cooker so practically hujui kupika wali mkuuHaha hatari mkuu! Ila wali kwa sasa hausymbui kama una rice-cooker, kiukweli mimi wali wa kupikia kwenye jiko la gesi au mkaa siwezi ila kwenye rice-cooker ni rahisi sana
Kioshe na maji ya moto yenye chumvi...Zoezi ngumu kwangu ktk process yote ya kupika ni kukata vitunguu....Hadi juzi nimenunua miwani kwa ajili ya kukinga ule mvuke wa vitunguu kufika machoni na kusababisha macho kulia....!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimecheka mpaka nataka kulia aisee...chapati na bia???Kuna jamaa yangu iliwahi mkuta geto anapiga bia na chapati asubuhi. Anadai kuchemsha chai hawezi.
Kwel mkuu mm huwa nachukia sana hii haliSababu inayofanya n hitaj
Ndoa,n kwa sababu na mm
Nataka kusmamia family
Kama,baba,wa familia
Upweke kwa nyumba nao uishe
Sometimes unajikuta umetulia
Kwa nyumba pekeako utafri n jin
[Color= yellow]Triple A[/color]
Mimi nipo mkuu, najikubali sana kwenye vyapati, purukushani ipo kwenye kupika ubwabwa japo naupenda sanahqhaha hakuna mtoto wa kiume anaweza kupika hii gheton
DagaaNina imani mabachela tuko wengi sana humu.
Katika suala la kupika na kuosha vyombo huwa ni habari ingine. Vipi wewe mkuu ni msosi gani kuupika au kuuandaa huwa unakupa mawazo sana japo unaupenda. Na ukiula mahala unahisi umekosewa kupika sio kama ungeupika japo hujawahi kuutest geto.
Mimi bana WALI naupenda ila kuuandaa hadi utoke ni hatari sana. Halafu nikiwa nakula kitaa huwa mwepesi sana kuwalaumu wahudumu wali haujaiva au wamepika bokoboko au una mawe.
Wewe je msela wa geto nini kinasumbua jikoni?
Unataka uje unisaidie au?We kinakushinda kupika nin7
Uwiii watak upike hadi sambusaMim nina miaka 28...nimeanza kukaa ghetto tangu 2014....baada ya kumaliza chuo na napika kila kitu kwa ufasaha mpaka shemej yenu akija kunitembelea still napika mimi yeye anajifunza ila sijaanza bado kupika vitu kama sambusa maandaz na vyapati...ila pilau wali ndiz ugali na mboga zote nashusha tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseeee!!! Yan kama mm vileMm namshangaa maana makande yanaiva yenyewe na moto taratibu mim nafua nguo nje...ugali ndio unasumbuaga wengi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mm tu mm nkilaGood point....mimi nikila kwa mama ntilie naona ni kama nimetupa hela coz siwez enjoy msos
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii yote inaitwa ujanaa mkuu
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Mm pilau kwangu ni vita siku nikiweza ndio siku nitaona hakuna haja ya kua na mke
Andazi + vya namna hiyo = Tusisumbuane
Miss Neddy...hqhaha hakuna mtoto wa kiume anaweza kupika hii gheton