Mabachela: Ni chakula gani kigumu kupika geto?

Dagaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm pilau kwangu ni vita siku nikiweza ndio siku nitaona hakuna haja ya kua na mke
 
Uwiii watak upike hadi sambusa welcome
 
Sijawah kusonga ugali ghetto maana siwez.. Wali naweza kimtindo ila jiko la gesi linanitoa ushamba sana kupikia wali

Napenda kachumbari lakin cjui wanakataje
 
Mm namshangaa maana makande yanaiva yenyewe na moto taratibu mim nafua nguo nje...ugali ndio unasumbuaga wengi

Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseeee!!! Yan kama mm vile
Nayabandika hapo jikon
Nkonje nafua zang na washkaj


Tunapga mastory huku yanaiva
Taratibu hutu jamaa n
Uvivu tu wa kuyabandika jikon
Ndyo ako nao

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…