Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
ExperienceMkuu kumbe wewe nawe bachela. Mbona huwa unachangia mada za kikubwa?![emoji38][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ExperienceMkuu kumbe wewe nawe bachela. Mbona huwa unachangia mada za kikubwa?![emoji38][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Bil Gate anatumia iPhone ila sidhani kama analingana kiuwezo na watumiaje wengine wa simu hzo, usituharibie uzi wetu makaperaMods hiki kipengele cha chini cha kutambua mtoa mada katumia kifaa gani watu watakuja na mengi sana ila nimeipenda humuhumu tunajua uwezo wa mtu tukiangalia na simu aliyotumia
Mm hua napka sanaSizani kama mabachela wamewahi kupika ndizi
Kabsa aiseee!! Mtu unaumwaSure! Manake hata ukiumwa usiku upate wa kukuhudumia
Aiseeeee!! Nmeimis hyo kituYaani kitu inaitwa mtory haijawahi tokea imepikwa APA gheto
Kama wali huwezi kuupika mkuu tumia rice cookerKuna wakati namkumbuka sana mama. Na wale wadogo zangu wadogo!!! Kale kawimbo kananiingia kuwa " sadikii sasaa ashibaa chakula kingi nyumbani" dah
Unaweza oa ukakuta wife ndo kilaza zaidi yakoSawa tutaoa ila ata tukioa wife akiwa anaumwa may be siitabidi umsaidie.
Mim nina miaka 28...nimeanza kukaa ghetto tangu 2014....baada ya kumaliza chuo na napika kila kitu kwa ufasaha mpaka shemej yenu akija kunitembelea still napika mimi yeye anajifunza ila sijaanza bado kupika vitu kama sambusa maandaz na vyapati...ila pilau wali ndiz ugali na mboga zote nashusha tuKitu ambacho mabachela wengi wanachokiweza ni kuchemsha chai ya rangi na kupika tambi tu.
Kataeni au mkubali.
% kubwa ya wanaomudu kupika baadhi ya vyakula ni aidha wale waliokulia kwa dada zao au walioondoka kwenda kuanza maisha wakiwa wametoka makwao (kwa wazazi wao) wakiwa 22-25+.
Waliobaki wote ni tambi na chai ya rangi tu
Wali una process zake mkuuKuna siku nilipika wali aise chini mbichi juu mbichi katikati ndo umeiva
hqhaha hakuna mtoto wa kiume anaweza kupika hii gheton
Nazi za azam zipo...kazi ya kukuna nazi sintokuja kuifanya...yale meno ya mbuzi yakikuparua unaacha kupika hapo hapoPilau na kile wachokiita cjui biliani na kukuna nazi
Sent from my itel it1556 Plus using JamiiForums mobile app
Mm namshangaa maana makande yanaiva yenyewe na moto taratibu mim nafua nguo nje...ugali ndio unasumbuaga wengiAiseeee!! Makande yanaugumu
Ganj mkuu,kwang ndo naona
Yakiwa simple sana kupika
[Color= yellow]Triple A[/color]
Hapa wanaume wengi tumoSi utafute wafuaji uwalipe kidogo or upeleke laundry
love thé love or hâte thé love.....
Oh i like this spirit...nikikaaga jikoni huwa nakuwa happy sananamshurukuru nilupokuwa o level niliopt cookery aiseee imenisaidiaaa saaanaa coz hambaa chakulaaa nisichojuaa kupikaaa alafu good enough naenjoy kupikaa saana kuliko vitu vyoteee asante walimu Wang wa kibasilaaaa manake french ilinishindaaa now I'm a good cooker Nina mpngo wa kwendaaa kusomeaa zaidi mambo ya mapishi manake huu mdegreee nilionao nilisomaa tu ilaa mapenzi Yang ni kupika!!!!!!
Good point....mimi nikila kwa mama ntilie naona ni kama nimetupa hela coz siwez enjoy msosDaaahhh binafsi Namshukuru Mama alinifanya nijue kupika sanaa,, kwakweli kwa vyakula vya kitanzania tuu najua kupika coz hata vitafunio najitengenezeaga mwenyewe ..
Nachukia kweli kula kwamama ntilie au ktk cafe izi ...basi tu .
Aiseeeee!! Nmeimis hyo kitu
Kichz ngoja nkaile tu nkienda
Bush kuipika gheto jau kichiz
[Color= yellow]Triple A[/color]
Bro ugali si unaweza songa huku uko unagegeda...very simplemi sio bachelor, ila topic imenigusa kwasababu mpaka leo sijaweza kusonga ugali na kupika chapati ila kaukau naweza! ila vyakula vingine ni hatarious mpaka vya makinikia napika, ishu ugali na chapati za kusukuma. nimesalimu amri hapo.
Aseme alitumia jiko gani maaana jiko la gesi umeme na mkaa kila kimoja kina namna yake...mfano ukiwa na gesi na umeme huwez kupalia...i mean kuweka mkaa juu ya mfunikoMhmm hii hatarii. Inabidi tupate technical reasons hapa. Kwanini?