Mabachela: Ni chakula gani kigumu kupika geto?

Mabachela: Ni chakula gani kigumu kupika geto?

mimi vyakula vya kuchemsha sina shida navyo..tatizo ni vile vya kuunga na mazagazaga mara nyingi nachanganya kila kitu sehemu moja..nyanyachungu..nyanya za kawaida...mboga....vitunguu...bamia km nitapenda viwepo...samaki/dagaa
ila km ni nyama nachemsha kwanza halafu ndio naweka pamoja..na hua siweki mafuta kwenye mboga kwakua simpenzi wa mafuta...naweka tu km napika wali.
 
Sababu inayofanya n hitaj
Ndoa,n kwa sababu na mm
Nataka kusmamia family
Kama,baba,wa familia
Upweke kwa nyumba nao uishe

Sometimes unajikuta umetulia
Kwa nyumba pekeako utafri n jin

[Color= yellow]Triple A[/color]
Sure! Manake hata ukiumwa usiku upate wa kukuhudumia
 
Wali rahisa kupika ukitumia Rice cooker.

The Corner stone which was rejected by Jewish.
 
Back
Top Bottom