MtoMsimbazi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2009
- 1,800
- 3,091
mimi vyakula vya kuchemsha sina shida navyo..tatizo ni vile vya kuunga na mazagazaga mara nyingi nachanganya kila kitu sehemu moja..nyanyachungu..nyanya za kawaida...mboga....vitunguu...bamia km nitapenda viwepo...samaki/dagaa
ila km ni nyama nachemsha kwanza halafu ndio naweka pamoja..na hua siweki mafuta kwenye mboga kwakua simpenzi wa mafuta...naweka tu km napika wali.
ila km ni nyama nachemsha kwanza halafu ndio naweka pamoja..na hua siweki mafuta kwenye mboga kwakua simpenzi wa mafuta...naweka tu km napika wali.