usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,956
- 14,032
Ttz,co kumpata ttz kumjua kamaKuoa sio shida mkuu tatizo kupata wa kuoa
Anafaa kuwa wife material
[Color= yellow]Triple A[/color]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ttz,co kumpata ttz kumjua kamaKuoa sio shida mkuu tatizo kupata wa kuoa
Kuna siku mother alisafiri tukabaki na mshua ilikuwa hatari. Tukalilia wali, mshua akazama jikoni. Mhmm kitu kilivokuja mezani balaaa.
Kuna siku nilipika wali aise chini mbichi juu mbichi katikati ndo umeiva
Kufua mabachela wengi huwa wanapeleka kwa dobi,Tutaoa kwa sababu ya
Kufuliwa na kuosha,vyombo tu
[Color= yellow]Triple A[/color]
Kama mm hua napeleka kwa dobKufua mabachela wengi huwa wanapeleka kwa dobi,
Unanunua Fish wako wa kukaanga unarumangia na ugali utata ni kuosha vyombo
Basi unamuda mrefu sana mpaka kuifikia ndoa tichaKama mm hua napeleka kwa dob
Sku nkiona zmechafuka sana
Au zmekua,nyingi
[Color= yellow]Triple A[/color]
Chapati na pilau. Nadhani hata nikipelekwa kozi ntafeli tuNina imani mabachela tuko wengi sana humu.
Katika suala la kupika na kuosha vyombo huwa ni habari ingine. Vipi wewe mkuu ni msosi gani kuupika au kuuandaa huwa unakupa mawazo sana japo unaupenda. Na ukiula mahala unahisi umekosewa kupika sio kama ungeupika japo hujawahi kuutest geto.
Mimi bana WALI naupenda ila kuuandaa hadi utoke ni hatari sana. Halafu nikiwa nakula kitaa huwa mwepesi sana kuwalaumu wahudumu wali haujaiva au wamepika bokoboko au una mawe.
Wewe je msela wa geto nini kinasumbua jikoni?
Kwaiyo mda wote unapikia nini? Au unaongeza jiko la pili?KUPIKA SIMPLE, KINACHONIKERA NI 'KUOSHA VYOMBO'
ASEH, MWAKANI NITAFANYA KILA NIWEZALO NICHUKUE JIKO.
Kilikuwaje?Kuna siku mother alisafiri tukabaki na mshua ilikuwa hatari. Tukalilia wali, mshua akazama jikoni. Mhmm kitu kilivokuja mezani balaaa.
Mods hiki kipengele cha chini cha kutambua mtoa mada katumia kifaa gani watu watakuja na mengi sana ila nimeipenda humuhumu tunajua uwezo wa mtu tukiangalia na simu aliyotumiaKuosha vyombo ndio msala
sent from Sanduku la Posta using JamiiForums mobile app