ras mkweli
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 280
- 105
Me naomba nikuoe ww Miss Neddysolution ni kuoa tu..........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me naomba nikuoe ww Miss Neddysolution ni kuoa tu..........
Aah hapo hata mimi huwa nachoka kuosha vyombo...solution ni kuoa tu hamna namnaUnanunua Fish wako wa kukaanga unarumangia na ugali utata ni kuosha vyombo
Mboga ya mayai aisee kwangu ni shida[emoji12]Nina imani mabachela tuko wengi sana humu.
Katika suala la kupika na kuosha vyombo huwa ni habari ingine. Vipi wewe mkuu ni msosi gani kuupika au kuuandaa huwa unakupa mawazo sana japo unaupenda. Na ukiula mahala unahisi umekosewa kupika sio kama ungeupika japo hujawahi kuutest geto.
Mimi bana WALI naupenda ila kuuandaa hadi utoke ni hatari sana. Halafu nikiwa nakula kitaa huwa mwepesi sana kuwalaumu wahudumu wali haujaiva au wamepika bokoboko au una mawe.
Wewe je msela wa geto nini kinasumbua jikoni?
Kwa hilo tuko wengi, ingawa mie sio bachela ila enzi nikiwa bachela sikuweza kukanda na kusukuma chapatiKwakweli vya ngano sijawahi jaribu kabisa.
Usijali lovuuuu[emoji10][emoji10][emoji10]Eeeh!!!mambo c ndyo hayo sweet
Yan bajet yang huwa j2 nakulaga
Ndiz,lakin wacha nihairshe
Material yote nakuwekea ndan
Mama nakushubir kwa ham sana
Pilau kama hili ulilopost hapo juu
[Color= yellow]Triple A[/color]
Kuoa sio shida mkuu tatizo kupata wa kuoaAah hapo hata mimi huwa nachoka kuosha vyombo...solution ni kuoa tu hamna namna
Wale wamekwisha make mambo sawa sasa sasa wengine hapa ujasiriamali ndio kwanza tumeanza mwaka juzi.....ngoja tuwe mabachelor wakongwe kama wao...huku tunaendelea kuweka sawa mikakati ya hapa mjini[emoji3] [emoji2] ila mastering kina AY na prof jay washasalimu amri na nyie sooon inabidi m-surrender
hahaha mabachela mpo?????????
Tutaoa kwa sababu yaUkiona bachela amenunua hadi kibao cha chapati na akaweza kuzipika pekeyake ghetto basi sahau kuhusu kuoa
Kuna siku nilipika wali aise chini mbichi juu mbichi katikati ndo umeiva
Kweli mkuu...ila cha msingi kujipanga naamini wapoKuoa sio shida mkuu tatizo kupata wa kuoa
Love you to wa uban[emoji7] [emoji7]Usijali lovuuuu[emoji10][emoji10][emoji10]