usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,956
- 14,032
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Hata Ile ya kumimina huwezi!
Tena hyo unakorogea tu mayai
Kule uchagan rombo tunaita
Porota
[Color= yellow]Triple A[/color]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Hata Ile ya kumimina huwezi!
Pilau inanizingua sana. Napika wa kawaida tu.
Inabidi nitafute mkombozi wa tatizo hili
Sent using Jamii Forums mobile app
ikoje hiyo mkuu?
Tupooooooooohahaha mabachela mpo?????????
Mkuu mimi kitu cha pilau hadi leo siiwezi kuikorofisha ikakaa poa...naishiaga kupika ya kawaida sana daaah
Eeeeh!!! Yan unanifanya hatanyote wapenda pilau karibuni tule![]()
ni kweli lakini muda ukifika.....kwa sahivi wacha tupambane kwanza na migahawani mpaka kielewekesolution ni kuoa tu..........
[emoji3] [emoji2] ila mastering kina AY na prof jay washasalimu amri na nyie sooon inabidi m-surrenderni kweli lakini muda ukifika.....kwa sahivi wacha tupambane kwanza na migahawani mpaka kieleweke
I BLNG 2 JESUS CHRST
Eeeh!!!mambo c ndyo hayo sweetUsijali hubby jumapil nitakuja kwa ajili ya kazi hiyo tu
Usiseme am a good cooker.. sema am a good cook, anyway kilikuja na meli [emoji2] [emoji2] [emoji2]namshurukuru nilupokuwa o level niliopt cookery aiseee imenisaidiaaa saaanaa coz hambaa chakulaaa nisichojuaa kupikaaa alafu good enough naenjoy kupikaa saana kuliko vitu vyoteee asante walimu Wang wa kibasilaaaa manake french ilinishindaaa now I'm a good cooker Nina mpngo wa kwendaaa kusomeaa zaidi mambo ya mapishi manake huu mdegreee nilionao nilisomaa tu ilaa mapenzi Yang ni kupika!!!!!!
Wale dagaa wa mama juma,naUnanunua Fish wako wa kukaanga unarumangia na ugali utata ni kuosha vyombo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa huyu ndiye Daby nnayemjua mimiMwanaume Kwanza hapiki anaandaa.
Napika karibia kila chakula nachokijua. Hadi mikate naoka.
Cc mama klaree
chapati hata mimi majangaMzazi kitu chapati aiseeh hii theory zake zote kichwani nimezipiga kinoma kwa Bi Mkubwa mara nyingi alikuwa ananianzishia kuchanganya madude mi namalizia kuzisukuma kwenye kibao chake na kuziweka kwa moto.
Kila day nataka kujilipua kigetogeto nikamate ngano toka mwanzo hadi mwisho.
Ila day tu soon nitajilipua mzazi.
tupo...njoo basi nikuoe niuache ubachela bibie..etihahaha mabachela mpo?????????
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2][emoji3] [emoji2] ila mastering kina AY na prof jay washasalimu amri na nyie sooon inabidi m-surrender