Mabachela: Ni chakula gani kigumu kupika geto?

Tambi nayo ndo changamoto
Kwang kupika aiseee!!
Nazpenda lakin naishia tuu
Kudoea kwa ndugu zang
Waislam wakat wakiwa kwenye mfungo

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
namshurukuru nilupokuwa o level niliopt cookery aiseee imenisaidiaaa saaanaa coz hambaa chakulaaa nisichojuaa kupikaaa alafu good enough naenjoy kupikaa saana kuliko vitu vyoteee asante walimu Wang wa kibasilaaaa manake french ilinishindaaa now I'm a good cooker Nina mpngo wa kwendaaa kusomeaa zaidi mambo ya mapishi manake huu mdegreee nilionao nilisomaa tu ilaa mapenzi Yang ni kupika!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…