maxime
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 2,231
- 1,315
Mimi naweza....kama haumini njoo magethoni nikuonyeshe.hqhaha hakuna mtoto wa kiume anaweza kupika hii gheton
Post sent using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi naweza....kama haumini njoo magethoni nikuonyeshe.hqhaha hakuna mtoto wa kiume anaweza kupika hii gheton
Mchele mpya unatoaga nishai sana, hauhitaji maji mengiIla kuna wakati mwingine ata wadada wali unawashinda. Maana mara nyingi sana nikiingia mgahawani naborekaaa.
HahahahahahTambi nayo ndo changamoto
Kwang kupika aiseee!!
Nazpenda lakin naishia tuu
Kudoea kwa ndugu zang
Waislam wakat wakiwa kwenye mfungo
[Color= yellow]Triple A[/color]
HahhahhaTambi nayo ndo changamoto
Kwang kupika aiseee!!
Nazpenda lakin naishia tuu
Kudoea kwa ndugu zang
Waislam wakat wakiwa kwenye mfungo
[Color= yellow]Triple A[/color]
Aiseee hongera sana....kama unamudu kupika vyote hivo.Mim nina miaka 28...nimeanza kukaa ghetto tangu 2014....baada ya kumaliza chuo na napika kila kitu kwa ufasaha mpaka shemej yenu akija kunitembelea still napika mimi yeye anajifunza ila sijaanza bado kupika vitu kama sambusa maandaz na vyapati...ila pilau wali ndiz ugali na mboga zote nashusha tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Vyombo ni kwa kila mtu...Me na Me.Vyakula vyote nakorofisha kibingwa tatizo lipo kwenye uoshaji wa vyombo huu ndio mtihani ambapo nimefeli Mara nyingi mno mpaka nimechukua uamuzi wa kugawa vyombo
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mdogo wangu.1. Chapati
Napenda sana chapati ila dah process ya kupika chapati inahitaji uvumilivu sana.
2. Makande
Sio siwezi kuyapika, ila nayo process yake siiwezi ya kuyabadnika halafu usicheze mbali kila wakati kuongeza maji. Sikumbuki ni mara ngapi nikiwa mdogo niliunguza makande kwa kucheza. Mpaka leo naogopa kujaribu
3. Pilau
Dah kupika pilau ghetto ni another level aisee! Hapo ni sawa na kusema hutaki kuoa kabisa. Hapana..hii naiweza ila nadhani kisaikolojia tu nahisi nikifikia level ya kupika pilau peke yangu nitakuwa nimeshindikana.
4. Tambi
Sio ngumu, ila mpaka leo sijawahi kujua vipimo sahihi vya tambi. Sometimes unajikuta umepika nyingi sometimes umepika kidogo alimradi tu vipimo vikosewe tu.
Hahahahaha acha kabisa kuna yale marangi rangi yale acha siku moja nichukue nikaweka kwenye wali nikijifanya fundi wa kujaribu vitu...aisee niliendesha balaaa
Usintamanishe wewe looh kesho nitapika inshaallah[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]Aisee ni mseto wa choroko na mchele.... ila najua kuupika kwa uzuri kabisa, naukunia nazi kwa uzuri kabisa..
Changamoto ipo kwenye maandalizi yake tu mpaka kuja kuula masaa ya kutosha yanatumika jikoni.
Ukiupata na chuzi la ngisi wa nazi hatari we jamaa... usithubutu. Nimeupika wiki iliyopita....
Post sent using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si unachangana tu mkuuMakukuru aisee
Acheni umbea, this is mens talkUsintamanishe wewe looh kesho nitapika inshaallah[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahaha acha kabisa kuna yale marangi rangi yale acha siku moja nichukue nikaweka kwenye wali nikijifanya fundi wa kujaribu vitu...aisee niliendesha balaaa