Mabachela: Ni chakula gani kigumu kupika geto?

Mabachela: Ni chakula gani kigumu kupika geto?

Ulikuwa umelala then muda kama huu ndounaamka vyombo vya jana hujaosha hafu unataka utoe kitu.
 
Hongera Mkuu, hii kitu mie na pilau sikutaka hata kujifunza kutokana na mlolongo mrefuuuu wa maandalizi.

Mzazi kitu chapati aiseeh hii theory zake zote kichwani nimezipiga kinoma kwa Bi Mkubwa mara nyingi alikuwa ananianzishia kuchanganya madude mi namalizia kuzisukuma kwenye kibao chake na kuziweka kwa moto.


Kila day nataka kujilipua kigetogeto nikamate ngano toka mwanzo hadi mwisho.

Ila day tu soon nitajilipua mzazi.
 
Hakuna nisicho kijua kupika. Mwanamke akae pembeni kwanza nimpe training ya kupika. Sitaki mapishi ya mazoea. It is very simple ukiwa gheto kwa mambo haya. na pia iwe ni hobby yako kupata menu sahihi kwa muda muafaka. na pia usiwe bahili katika kuujenga mwili si kwa matofali ya udongo.
 
Kitu ambacho mabachela wengi wanachokiweza ni kuchemsha chai ya rangi na kupika tambi tu.
Kataeni au mkubali.
% kubwa ya wanaomudu kupika baadhi ya vyakula ni aidha wale waliokulia kwa dada zao au walioondoka kwenda kuanza maisha wakiwa wametoka makwao (kwa wazazi wao) wakiwa 22-25+.
Waliobaki wote ni tambi na chai ya rangi tu
Hehe mbona tunapika kuzidi nyie mkuu.
Mfano mzuri selebonge anavotoa biryani la maana

brain is the beautiful part of the body.
 
Kuna siku mother alisafiri tukabaki na mshua ilikuwa hatari. Tukalilia wali, mshua akazama jikoni. Mhmm kitu kilivokuja mezani balaaa.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] wewe jamaaa

brain is the beautiful part of the body.
 
Tambi nayo ndo changamoto
Kwang kupika aiseee!!
Nazpenda lakin naishia tuu
Kudoea kwa ndugu zang
Waislam wakat wakiwa kwenye mfungo

[Color= yellow]Triple A[/color]
Hahaha na mfungo umeisha

brain is the beautiful part of the body.
 
Unanunua Fish wako wa kukaanga unarumangia na ugali utata ni kuosha vyombo
[emoji3] [emoji3] [emoji3] brother brother hata kukaanga nyanya huwezi

brain is the beautiful part of the body.
 
Back
Top Bottom