Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,681
- 8,736
am taken already
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
am taken already
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chapati mie nahisi kuja kuzijua mpaka nitumiwe wataalam kuroka china
Delta Force
It's very simpleNdizi,hii kitu nikitaka kuipika mpaka nimcheki Bimkubwa anipe formula.
[emoji22]tupo...njoo basi nikuoe niuache ubachela bibie..eti
Mzazi kitu chapati aiseeh hii theory zake zote kichwani nimezipiga kinoma kwa Bi Mkubwa mara nyingi alikuwa ananianzishia kuchanganya madude mi namalizia kuzisukuma kwenye kibao chake na kuziweka kwa moto.
Kila day nataka kujilipua kigetogeto nikamate ngano toka mwanzo hadi mwisho.
Ila day tu soon nitajilipua mzazi.
tupo we si ulimchukua member wetu mmojahahaha mabachela mpo?????????
tupo we si ulimchukua member wetu mmoja
Hahaha oa tu mkuuMkuu mimi kitu cha pilau hadi leo siiwezi kuikorofisha ikakaa poa...naishiaga kupika ya kawaida sana daaah
Hehe aibu sana mtoto wa kiume kukaa na kusukuma chapatihqhaha hakuna mtoto wa kiume anaweza kupika hii gheton
Hehe mbona tunapika kuzidi nyie mkuu.Kitu ambacho mabachela wengi wanachokiweza ni kuchemsha chai ya rangi na kupika tambi tu.
Kataeni au mkubali.
% kubwa ya wanaomudu kupika baadhi ya vyakula ni aidha wale waliokulia kwa dada zao au walioondoka kwenda kuanza maisha wakiwa wametoka makwao (kwa wazazi wao) wakiwa 22-25+.
Waliobaki wote ni tambi na chai ya rangi tu
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] wewe jamaaaKuna siku mother alisafiri tukabaki na mshua ilikuwa hatari. Tukalilia wali, mshua akazama jikoni. Mhmm kitu kilivokuja mezani balaaa.
Hehe hapo kwenye nazi ndo kuna utataPilau na kile wachokiita cjui biliani na kukuna nazi
Sent from my itel it1556 Plus using JamiiForums mobile app
Nisaidie viambata na procedure mkuu...nijilipue muda huuHata Ile ya kumimina huwezi!
Hahaha na mfungo umeishaTambi nayo ndo changamoto
Kwang kupika aiseee!!
Nazpenda lakin naishia tuu
Kudoea kwa ndugu zang
Waislam wakat wakiwa kwenye mfungo
[Color= yellow]Triple A[/color]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] brother brother hata kukaanga nyanya huweziUnanunua Fish wako wa kukaanga unarumangia na ugali utata ni kuosha vyombo