Mabachela wenzangu, mnapika vyakula gani vya haraka haraka?

Mabachela wenzangu, mnapika vyakula gani vya haraka haraka?

Mkate, mayai ya kukaanga na chai.
 
Ugali na dagaa mchele wa 500.

dagaa wa 500, nyanya2, carot1, na kitunguu maji1 na kipande cha limao/ndimu

Kwenye jiko la gesi ni dk5

NB: MBOGA NA UGALI VINALIWA KWENYE VYOMBO VILIVYOPIKIWA KUPUNGUZA KAZI YA KUOSHA VYOMBO
Wapi uko dagaa mchele 500?
 
Back
Top Bottom