Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Doto Biteko ateuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati. Makamba Mambo ya Nje, Pindi Chana Katiba na Sheria

Membe alikuwa wizara gani?
 
Umezijuwa vipi dini za hawa wateule?
 
Hakuna ujumbe wowote, hata ukimtazama Kassim Majaliwa unamuona kuwa yu mgonjwa-gonjwa. Hana afya njema, ni lazima apunguziwe mzigo, ana "underperform".

Kama si maradhi physically basi ana "depression".
Inaelekea una ugomvi mkubwa sana na Mh. PM au pana kitu alikuahidi huko ujanani kisha akakutelekeza?
 
Hakuna ujumbe wowote, hata ukimtazama Kassim Majaliwa unamuona kuwa yu mgonjwa-gonjwa. Hana afya njema, ni lazima apunguziwe mzigo, ana "underperform".

Kama si maradhi physically basi ana "depression".
We limama ni lichawi? Mbona unambo ya kijinga namna hii?
 
Hii nchi tunahangaika sana. Sasa kama tokea enzi za jiwe miaka nane iliyopita staili ni hihii kweli Hamna la kujifunza ni mbinu ambayo haisaidii. Sasa Raisi anasema kwa mfano mkuu wa mkoa Hana mpango mkakati wa kuusaidia mkoa, Sasa mkuu wa mkoa leo umempeleka morogoro wakati bado hata hajatembelea wilaya zake ushamhamisha na huko unakompeleka hajakaa miezi SITA tayari ushamhamisha Sasa hapo atapanga mipango gani ya maendeleo kwenye mkoa
 
Hapo umeanza kuongea, lakini hujamalizia bado japo umegusia kidogo!! Wakati wa mzee Mwinyi, mawaziri wal;ianza kumlalamikia Mrema kuwa anawaingilia kwenye ofisi zao, wakati huo Mrema akiea waziri wa mambo ya ndani!! Mrema ilikuwa akinusa harufu ya ufisadi kwenye wizara yoyote alikuwa anaingia huko kuhoji kama waziri wa mambo ya ndani!! Kwa kuwa Mrema alikuwa anafanya kazi njema ya kizalendo, na ili kumpa rungu litakalohalalisha yeye kuingia wizara yeyote, ndipo Mwinyi akalazimisha kuunda nafasi ya naibu waziri mkuu (ambayo kimuundo haipo) na kumpa nafasi hiyo Mrema ili kufumba vinywa vya mawaziri wanaodai kuingiliwa!!! Wote walinywea na Mrema alifanya kazi iliyoyukuka sana!!

Sasa tuambie kuna umuhimu upi kwa sasa ulio wazi kwa kila mtu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…