Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Doto Biteko ateuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati. Makamba Mambo ya Nje, Pindi Chana Katiba na Sheria

Acha woga
 
Huyu btko alishaga chukua mzigo mrefu sna kwa don wangu kahama 1b+..hakuna viongozi hapo ni uozo
🤣
Kuna uzi humu jf watu wanasema jamaa huwa anawakamua hela madon wa madini. Labda wafukua makaburi watafute huo uzi
 
Conspiracy theories.....

Ain't true....

Sikia hili...

Mama yupo....tunaye in shaa Allah [emoji120]

Hao "vijana" watapambana na hali zao 2030 in shaa Allah [emoji120]

#SiempreJMT[emoji120]
 


Hayatoka bado hivyo tusiende mbali. Nafikiri Raisi anataka msaada wa mtu wa kufuatilia miradi badala ya waziri mkuu. Raisi Samia hapendi sana kutembelea miradi na hawa watamsaidia
 
ACha kukariri kada wa ccm wewe, sekta ya nishati Ime mshinda 🙄.
👉Huko ikulu, si ata tuuza na sisi,🤔
Jpm ndo aliiharibu Ile sector kwa kupenda masifa ya mda mfupi bila kuangalia uchakavu wa vipuri, mitambo na vinginevyo. Jpm angeendelea kuwepo nchi IPO siku inheingia gizani mwaka mzima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…