Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Doto Biteko ateuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati. Makamba Mambo ya Nje, Pindi Chana Katiba na Sheria

Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Doto Biteko ateuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati. Makamba Mambo ya Nje, Pindi Chana Katiba na Sheria

Ni wazi mama anamuandaa kijana wao ili ampishe kiti cha Urais 2025

Hatagombea


Hawa watu wamejipanga wanata kijana wao akae kwenye wizara isiyo kuwa na heka heka Ili asichafuke isije kumuharibia kuelekea 2025

Ndio maana awamu hii wanataka wasaini mikataba yote mibovu kwasababu samia anajua hana cha kupoteza kwa kuwa 2025 anamuandaa kijana fulani


Watanganyika tujiandae kwa mateso mengine makubwa kuanzia 2025-2035


TANGANYIKA tulimkosea nini Mungu?
Mtaje huyo Kijana tumjue vinginevyo hii ni comedian thread !
 
Waziri mpya wa Tamisemi ni nani? Je sijaaangalia vizuri au
 
asante Bwana Yesu, asante kwa kutuletea Bwana gabo, njoo Bwana Gabon
Sio hapa kwenye mwenge... Hapa wako bize kukamata walalahoi wanaovaa mavazi yanayofanana na yao...
 
Gabon yaja, JWTZ mzigo huo hauna mwenyewe changamkieni. 😀 😀
 
Jpm ndo aliiharibu Ile sector kwa kupenda masifa ya mda mfupi bila kuangalia uchakavu wa vipuri, mitambo na vinginevyo. Jpm angeendelea kuwepo nchi IPO siku inheingia gizani mwaka mzima
Makamba alivyoingia alisema baada ya siku 20 mgao itakuwa ni historia matokeo yake ndiyo imekuwa ni zaidi ya mgao
 
Back
Top Bottom