Hakipo, kikatiba.Hivi cheo cha naibu waziri mkuu huwa kipo
Hiki cheo mara ya mwisho alikishika Mrema kama sikosei enzi za Mwinyi.Naibu waziri mkuu? 🤔 Hiki cheo toka lini kipo 🤔
Ingawa maokoto ya nishati atayamiss sanaFinally January karudi kwenye track
Mkataba wa bandari umeipasua serikali ni wazi Majaliwa katengwa pengine hakubaliani na upumbavu!Hakipo, kikatiba.
Ndo kazi aliyosomeaFinally January karudi kwenye track
Nadhani kuna haja ya kukabiliana na vuguvuugu kubwa kanda ya Ziwa ……lakini wanasahau huyo sio mzawa wa kanda ya ZiwaAcha na iwe ,wasukuma wana akili sana
Hiyo nafasi itakuwa imetengenezwa kimkakati kumpunguzia nguvu na kumweka kando Maja......ngoja tuone huu mtanange unakoelekea.Hii nafasi ipo kikatiba au ndo kusema Kassim Majaliwa haaminiki tena!?
How? katengwa vipi?Mkataba wa bandari umeipasua serikali ni wazi Majaliwa katengwa pengine hakubaliani na upumbavu!