Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Doto Biteko ateuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati. Makamba Mambo ya Nje, Pindi Chana Katiba na Sheria

Huyu ka alivyokuwa Magufuli ana asili ya nchi jirani ya Rwanda, sijui kagame anatumia ujanja gani kupenyeza watu wake kwenye safu ya uongozi wa nchi hii
Ndo kama waarabu wanatumia kufanya faiza foxy kuamini Tanzania sisi wakatoliki tunachukia uislamu na mama kaja kuwakomboa .Azam anawekeza mpra tuu na buku buku maskin.ushadkia katiliki inatoa buku
 
Kumbe jerry silaa amewekwa kukamilisha hii mission ya DP world

Anaweza kujiona ameshinda kwa sasa lakini mbele ya safari mambo yatamuendea mrama pale vizazi na vizazi vitakapomlilia
 

Attachments

  • IMG_20230907_153158.jpg
    1.3 MB · Views: 4
Nikwambie Biteko, baada ya Kalemani kuonekana kizingiti kwa mafisadi pale Nishati alipelekwa Makamba Kwenda kufanikisha misheni,ikiwemo kusaini mikataba ya kipumbavu sana,kamaliza mission,kapelekwa mambo ya nje kubarizi, umekabidhiwa uozo ufe nao,wamekudanganyia kacheo kasiko ka kikatiba uvimbe kichwa,ila hapo nishati ni kaa la moto hutapaweza,ungepaweza kama mkuu wa nchi angekuwa serious na nafasi yake
 
Dotto hana maajab yoyote hapo Nishati hali ya Umeme imezidi kuwa mbaya
 
Sidhani kama alizingatia ushauri wako
 
Mabadiliko huenda yakaja baada ya Hotba ya Warioba leo.
 
Kila Mtu na "Maisha Yake"

Kila enzi na "Mambo yake"

"Akili za Watu hizo"

Mtachomoka hata kwenye UTEUZI kitabu gani cha Uongozi tukitumie


 
Moja kati ya sababu za muhimu kupata katiba mpya ni hivi vyeo visivyo na tija.

Kuna mtu anaweza kusema matokeo 5 chanya na yenye tija baada ya kuwepo hii ofisi ya naibu waziri mkuu?

Yaani ofisi inaanzishwa tu watu wanapiga pesa za walipa kodi na hakuna tija yoyote inaenda miaka 2 sasa.
 
Kuna mtu hatakiwi hapo ila ni king'ang'anizi.
 
Umeme umeanza kukatika katika...Tena bila taarifa!!! Sijui ndiyo hujuma anafanyiwa Yeye ama anafanyiwa Mama na watu wake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…