Doto Biteko.Waziri wa nishati ni nani?
Hata mimi nilikuwa najiuliza!Naibu waziri mkuu? π€ Hiki cheo toka lini kipo π€
Umekuwa Mohammed Saeed al-Sahhaf (Comical Alli) wa Iraq huna lolote tena.Naona hujaielewa dhanna ya Reform and Rebuilding.
Hapo kwa Kassim Majaliwa, kilichositisha asipigwe chini ni mfumo tu, lakini ana "underperform" sana, juzi aliambiwa, usingoje maagizo kutoka juu.
Lyatonga Mrema kama vile amewahi kuwa na cheo hikiNaibu waziri mkuu? π€ Hiki cheo toka lini kipo π€
Anazidi tu kumuongezea nguvu. Swali ni je, Dotto Biteko yeye anakubaliana nayo?Mkataba wa bandari umeipasua serikali ni wazi Majaliwa katengwa pengine hakubaliani na upumbavu!
Kwani Naibu waziri inaleta ujumbe gani?Ukimtafutia PM msaidizi unakuwa umempa ujumbe gani?
Wataalam wa siasa njooni mtupe majibu.
Amepelekwa makusudi kuleFinally January karudi kwenye track
Ngumu sana, katiba inambana sana kubadilisha PM, hadi avunje kabisa baraza la mawaziri.π π π Kamtego hako ka kula kichwa cha mtu
Naibu Waziri Mkuu ipo kikatiba?Katelephone ameshaelekezwa Kibla,ajiongeze aandike barua ajiuzulu kulinda heshima yake.
sidhani.......Bora,jamaa ni kilaza mno tena mno.