Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Doto Biteko ateuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati. Makamba Mambo ya Nje, Pindi Chana Katiba na Sheria

Kawaida

mfano utaratibu uliopo China kuna Premier moja na vice premier wanne wanao shirikiana kutimiza majukumu ya nchi.

Hao vice premier wanne kila moja anajukumu lake.
 
Watoto wawalala hoi ambao ndio wajenga nchi kwa kodi wanazotoa wanazidi kusota mitaani kwa kukosa ajira,badala ya kupanga mipango ya kuwanusuru na msoto wa kukosa ajira ndio kwanza wanafikria mbinu za kupeana ulaji wenyewe kwa wenyewe,naibu waziri mkuu ndio nini kama siyo kupeana ulaji?wakati hata cheo cha makam wa rais nacho hakina tija yoyote kwa nchi.
 
Yeye mwenyewe ajiuzulu
Acha ujinga. Huyu ndo mkombozi wetu baada ya kuteswa na jiwe miaka mitano bila mishahara kuongezeka Wala ajira mpya zozote. Sasa hivi ajira ni kila pahala hasa sector binafsi ambayo ilikuwa imekufa kabisa kifo Cha Mende.

Sasa hivi utalii inaajiri kwa Kasi mno na waliosoma tourism wanasema mama has rescued them. Sector ya bank inaajiri kwa mamia kwa Sasa baada ya kupulia mashine k a miaka mitano ya jiwe.

Mpaka ameamua kuwarudishia pesa zilizoobwa kwenye akaunti za Hawa wamiliki wa bureau de change. Sasa hatusikii watu kuuawa ovyo ovyo na watu wasiojulikana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…