Gervas Makalo
JF-Expert Member
- Dec 26, 2016
- 202
- 229
Hapangiwi aliyekupenyezea ni mfyeka nyasi ikulu na kama uliota basi ulikuwa mchanaKutokana na Baraza la Mawaziri kuwa na Mapengo kufuatia Mawaziri wengi tu kutoka na kutolewa Uwaziri, Baraza "Jipya" litatangazwa hivi karibuni. Zoezi hili lilipisha kidogo, shughuli za Vikao vya Bunge lililokwisha hivi karibuni. Habari za NDANI ni kuwa, Mawaziri kadhaa, wakiwamo Mwigulu Nchemba na Januari Makamba, wata TUPWA NJE!
mwigulu anatupwa nje ili bashite awe waziri wa mambo ya ndani?hahahaha.
Kwan wizara ya kilimo alifanya nn!!!?Ila kati ya mawaziri wa ajabu ajabu kutokea kwenye wizara hii ya mambo ya ndani miaka ya karibuni ni Mwigulu Nchemba , kwakweli nimeshindwa kumuelewa kabisa. Issue zote zinazohusu wizara yake zinakuwa handled na Makonda.
Kitu kinachoweza kufanya asitemwe, ni kwasababu yeye "hamuingilii" Bashite cheo chake alichopewa na dingi yake wa Magogoni. Na hilo linamfurahisha sana mkuu inavyoonekana, maana anayeenda kinyume na Bashite hana kazi.
Sasa hilo kwenye wizara ya mambo ya ndani anakuwa tu kama "mbwa kibogoyo"
Yani heshima ya Mwigulu Nchemba imeshuka. Kama ni graph imeenda kwenye negative kabisa.
Sio kweli, tatizo ni kuwa hawako huru na hawana bajet ya kutosha ningumu kujitutumua kat hali hii, hata bashite anaonekana mtendaji bora ni kwa vile anabajet ya kutosha kufanya anayoyafanya, na waulize wakuu wa mikoa mingine kama wako huru kiasi cha bashite.Usishangae aliyeko chini ya wazir anafanyakazi za wazir na wazir anapouliza inakuwaje unafanya kazi zangu hata bila kuniuliza, jibu linakuwa nimepewa maelekezo kutoka juu, sasa wewe kama ni wazir utafanya nini hapo.katika mawaziri walioshindwa mwigulu ni mmojawapo. huyu anabebwa tu.
Rais hatachoka kuwashangaza. Natabiri polisi mmoja mwanamke atapaa juu na James Mbatia kuchukua naye ataula kwa kuchukua nafasi ya Januari Makamba ambaye atachukua nafasi ya Ndalichako atakayepelekwa Zanzibar. Mhe. Mbowe atakuwa Mkuu wa Mkoa Geita na Margaret Sakaya atapewa Shirika nyeti kuliongoza. Maprofesa watatu vijana kutoka Mzumbe na mmoja kutoka Makumira (Mchungaji) ndiyo watamalizia mabadiliko Baraza la Mawaziri.Kutokana na Baraza la Mawaziri kuwa na Mapengo kufuatia Mawaziri wengi tu kutoka na kutolewa Uwaziri, Baraza "Jipya" litatangazwa hivi karibuni. Zoezi hili lilipisha kidogo, shughuli za Vikao vya Bunge lililokwisha hivi karibuni. Habari za NDANI ni kuwa, Mawaziri kadhaa, wakiwamo Mwigulu Nchemba na Januari Makamba, wata TUPWA NJE!
Bashite alete vyeti kwanza.Mwigulu anaenda Tamisemi, Bashite anakuwa waziri wa mambo ya ndani.
mange wa jfKutokana na Baraza la Mawaziri kuwa na Mapengo kufuatia Mawaziri wengi tu kutoka na kutolewa Uwaziri, Baraza "Jipya" litatangazwa hivi karibuni. Zoezi hili lilipisha kidogo, shughuli za Vikao vya Bunge lililokwisha hivi karibuni. Habari za NDANI ni kuwa, Mawaziri kadhaa, wakiwamo Mwigulu Nchemba na Januari Makamba, wata TUPWA NJE!
mange's followerKutokana na Baraza la Mawaziri kuwa na Mapengo kufuatia Mawaziri wengi tu kutoka na kutolewa Uwaziri, Baraza "Jipya" litatangazwa hivi karibuni. Zoezi hili lilipisha kidogo, shughuli za Vikao vya Bunge lililokwisha hivi karibuni. Habari za NDANI ni kuwa, Mawaziri kadhaa, wakiwamo Mwigulu Nchemba na Januari Makamba, wata TUPWA NJE!
Anajiandaa kuchukua fomu 2020Kabisa...
Mwigulu kwakweli hayupo kabisa awamu hii..
SIZONJE hana uwezo WA kumtoa kwenye duara MWIGULU WALA JANUARY MAKAMBA. Ila ni lazima amwingize RIZIMOKO KIKWETE KUPOZA MAKALI YA MZEE WA CHIPONDA KACHERO BENARD MEMBEKutokana na Baraza la Mawaziri kuwa na Mapengo kufuatia Mawaziri wengi tu kutoka na kutolewa Uwaziri, Baraza "Jipya" litatangazwa hivi karibuni. Zoezi hili lilipisha kidogo, shughuli za Vikao vya Bunge lililokwisha hivi karibuni. Habari za NDANI ni kuwa, Mawaziri kadhaa, wakiwamo Mwigulu Nchemba na Januari Makamba, wata TUPWA NJE!